Tetesi: Rais Dkt Magufuli kufanya ziara nchini China

Tetesi: Rais Dkt Magufuli kufanya ziara nchini China

This is very Pathetic.
Misaada including ya MCC imezuiliwa with a very Clear reason,uchaguzi wa Zenj na Cyber crime act.
Sasa Magu kwenda China ndio Solutions za hizo items mbili zitakuwa zimepatikana na Fedha za MCC kuachiliwa.
Think Big Mkuu.
Nimekudharau sana na ule uzi wako wa Makonda na Omba Omba.
That show your thinking Capacity
Mkuu hii ni soverign state. Hii sio NGO ambayo kila siku mnawaza misaada. Hapa kuna zaid ya misaada. Sasa hivi impot kubwa ya nchi inatoka china. Wafanyabiashara wengi wanaagiza bidhaa kutoka china ikiwemo Marekani. Kwa hiyo kwenda china na kuimarisha uhusiano na china ni faida kubwa kwa nchi. Kule kuna mpaka wafagizi wa hotel kutoka tz. Sio sawa na Marekani. Hakuna mtanzania anaeweza kuagiza bidhaa kutoka Marekani.

Halafu wale jamaa wa MCC walisha suspend misaada yao. Kwa hiyo sio muhimu kwa sasa. Mambo yote muhimu yakishafanyiwa kazi ndo unaanza ku deal na hao MCC tuone kama wanaweza kurudisha misaada yao au ni porojo zao tu.

Ukiwa na majeruh na mtu mzima halafu na marehem. Unaanza kwanza ku deal na mtu mzima then majeruhi halafu wa mwisho ni marehem.
 
Kwani viongozi wakuu WA nchi hii China wameanza kwenda Leo? Rais wao alianza kuzuru nchi gani hapa Africa? Wachina wana mikataba mingapi na sisi? Hivi kwanini watanzania tuna uwezo mdogo/finyu/duni Sana WA reasoning kiasi hiki?


Duh, watu wabishi aisee!? Ubishi wa namna hii unatia huruma
 
Marekani na Yuropa wakisikia hivi, lazima warejeshe hela walizosusa kuzitoa.

Hawatakubali kuona mchina anapata influence kubwa namna hii ukanda huu.
Na ukitaka kupata influence kwa masikini, we mwaga mihela, utapendwajeee
Wala usijidanganye ndugu yaangu. Mugabe alikwenda China mara 70 lakini hawakurejesha!
 
JK alicheza kama Pelle kutuletea Magu
JK alimtaka uyo wa kwenye avatar yako!hakua na uweledi wa kumuibua JPM,husu ni faida ya vita panzi tu,Mungu alishapanga aje mtu makini manake Jk alishafanya ikulu shamba la bibi!sijui anajionaje akiwa msoga jinsi jamaa anavyopambana na wale aliokua anawalinda kwa hali na mali.Ritz moja naye hasikiki kabisa saivi,jpm noma sana japo inshu ya zenji kaboronga na itamcost kwy legacy yake
 
Vipi tena,si mnajinasibu kutohitaji misaada mbona unatoa orodha ndefu ya miradi inayohitaji "ufadhiri", si uwahimize TRA wakusanye kodi?Si tuliambiwa kuwa Tupo tayari kulipa hadi kodi ya pumzi kuliko kupokea misaada yenye mwelekeo wa kumpinga Jecha na Nkuluzinza shein?

Tanzania haihitaji misaada na ili kukabiliana na matatizo ya kiuchumi,naishauri serikali yetu ijenge maabara za kuzalisha viwavijeshi vya kutosha kwa ajili ya kulisha Watanzania(wanaCCM).Tunaweza pia kutafuta soko la viwavijeshi huko China ili vituingizie fedha za kigeni na kufidia pengo lililoachwa na MCC.

Hoja si kukataa misaada, bali kutathmini masharti ya misaada. Na mwisho wa siku iwe ni misaada itakayotujengea uwezo wa kuitegemea kama taifa. Kuna masuala ambayo hayahitaji uchama-chama...
 
Mkuu hii ni soverign state. Hii sio NGO ambayo kila siku mnawaza misaada. Hapa kuna zaid ya misaada. Sasa hivi impot kubwa ya nchi inatoka china. Wafanyabiashara wengi wanaagiza bidhaa kutoka china ikiwemo Marekani. Kwa hiyo kwenda china na kuimarisha uhusiano na china ni faida kubwa kwa nchi. Kule kuna mpaka wafagizi wa hotel kutoka tz. Sio sawa na Marekani. Hakuna mtanzania anaeweza kuagiza bidhaa kutoka Marekani.

Halafu wale jamaa wa MCC walisha suspend misaada yao. Kwa hiyo sio muhimu kwa sasa. Mambo yote muhimu yakishafanyiwa kazi ndo unaanza ku deal na hao MCC tuone kama wanaweza kurudisha misaada yao au ni porojo zao tu.

Ukiwa na majeruh na mtu mzima halafu na marehem. Unaanza kwanza ku deal na mtu mzima then majeruhi halafu wa mwisho ni marehem.
Kwa hiyo ndio Maana tumehamia China
 
Kwa mujibu wa duru muhim ndani ya Wizara ya Mambo ya Nje, Mheshimiwa Rais anatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini China baadae mwezi huu.

Katika ziara hiyo Pamoja na matukio mengine Mhe Raisi atashiriki mazungumzo na kusaini makubaliano mbalimbali juu ushirikiano wa China na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na kisiasa.

Kadhalika Mheshimiwa atatunukiwa Shahada ya juu ya heshma toka chuo kikuu kimojawapo mashuhuri Jijini Beijing.
Kama ni kweli Tz tunabahati mbaya na kupata viongozi wasio na maono wala wasioitakia nchi hii mema bali kuchumia tumbo zao mchina na mrusi sio wa kushirikiana naye kwa undani kiuchumi na kiusalama Nyerere alifanya kishindikana wasema wajamaa kumbe bepari, sio wakweli na wako kwa ajili ya maslahi yao na kuunga mkono viongozi wanaolinda maslahi yao hata kama wanaua wananchi wao, mfano zimbabwe na sudani nk.
 
Wachina ni wachumia tumbo hawana msaada wowote kwa mataifa yanayoendelea!! Huwa ni wababaishaji duniani hakuna! Sasa wameamua kuleta vijana wao kwa gear ya wakalimani! Uhamiaji amkeni ndio njia ambayo wanatumia sasa
 
Usinilazimishe nikudharau kama Mh.Jussa Ladhu alivyomdharau Mpanju.Ziara pekee ninazoweza kuzihesabu kama ziara zenye tija kwangu ni zile zilizofanywa na Mwl.Nyerere(R.I.P)za kwenda Uingereza "kufuatilia Uhuru wa Tanganyika".

Zaidi ya hapo sioni cha Maana toka kwa hao unaowaabudu.Kama ni suala la uwekezaji,hakuna uwekezaji wowote uliowahi kufanywa na mgeni ukaleta tija kwa Taifa letu.Uwekezaji unaokomba Rasilimali zetu huku Taifa likiambulia Mlabaha wa 3% kwangu mimi sioni kama ni jambo la kujivunia kiasi cha kupongeza ziara za ng'ambo.

Iko wapi mikataba 17 iliyisainiwa Ikulu baina ya Uchina na Tanzania? Imeleta tija gani kwa Taifa letu? Wachina hao unaowashabikia ndiyo walioligeuza Taifa letu kuwa " dampo"la kutupia kila aina ya bidhaa feki toka uchina kwa kisingizio cha kukuza biashara kati yetu.Leo hii hadi baadhi ya member wa jf wapo hatarini kutoweka jukwaani kwa sababu ya kutumia "vifaa feki" vya kichina.

Sijaona mchango wa maana ulioletwa na Uchina,zaidi sana Wachina ndiyo wanaonufaika na kandarasi za miradi mbalimbali ya Maendeleo ambayo inafadhiliwa na Mataifa mengine,Wachina wanatajirika zaidi toka kwetu kuliko sisi tunavyopokea toka kwao.

Mrabaha ni 4% sio 3%.Mikataba yote alisaini JK ni yakupitia upya na kufanya marekebisho na mingine bora kuivunjilia mbali km haina tija kwa taifa letu.China inataka ubia na mataifa ya Afrika kwa ajili ya makampuni yake ya ujenzi nk na pia kuongeza ushawishi wao Afrika.Angeenda Vietnam tuna mengi ya kujifunza kutoka kwao kuliko wachina wanaongoza kwa biashara ya pembe za ndovu na kuifanya tz dampo mpk la yeboyebo
 
Duh, watu wabishi aisee!? Ubishi wa namna hii unatia huruma
Hivi mbona Marekani na Ulaya haikufungua vikwazo vya Zimbabwe baada ya Mugabe kufungamana na China? Mbona China hakumwaga hayo mapesa kuokoa uchumi wa Zimbabwe? Sio kosa lenu.... Lishe duni imewatafuna akili zenu kiasi cha kushindwa kufikiri.
 
  • Thanks
Reactions: Gut
Hivi mbona Marekani na Ulaya haikufungua vikwazo vya Zimbabwe baada ya Mugabe kufungamana na China? Mbona China hakumwaga hayo mapesa kuokoa uchumi wa Zimbabwe? Sio kosa lenu.... Lishe duni imewatafuna akili zenu kiasi cha kushindwa kufikiri.

Watu wabishi bwana! inatia huruma....unayosema kuhusu "lishe duni imewatuna akili ..." inaweza kuwa ni opposite.
 
Unfortunately, China is our competitor in development while Europe and America are not, rather our partners. The good thing of partnership is that, you set cooperation frameworks and draw lines for each part to play for. No such frameworks and lines under competition. There are only "signed" agreements under the auspices of international legal practice. "Playing" is a matter of smartness of the parties. One mistake, one goal! No referee, nor assistant, no penalty, no goal kick. Only "written" international legal practices.....Still loading when considering china/Africa economic cooperation. Watch out.
 
Back
Top Bottom