Tetesi: Rais Dkt Magufuli kufanya ziara nchini China

Tetesi: Rais Dkt Magufuli kufanya ziara nchini China


Nenda tena kasome nilichoandika.
Oanisha asigwa anaposema Magu kwenda China Marekani wataachia.
Kwa hiyo Marekani walibana Simply bcoz Magu alikuwa hataki kwenda China ?
Do you know the Reason behind jamaa ku Ban MCC grant ?
Magu kwenda China ndio itakuwa Suluhu ?
Kwa hiyo Magu kwako kwenda China sio Kutetemekea the ones you called Ma Bwanyenye ?

NB
Jifunze namna ya ku quote JF.
Unapo quote mtu,ujumbe wake unafaa uwe in quoting area
 
Wameanza tena kutunuku Shahada?

nadhani Mh. Rais awakazanie wachina wajenge viwanda nchini
 
Comment kama mtu aliyeenda shule..
Acha unazi, hili ni jambo serious, kufanikiwa kwake wewe, kama umeoa / kuolewa + Wazazi wako watanufaika pia.... Comment kwa kutumia kichwa / akili




Usinilazimishe nikudharau kama Mh.Jussa Ladhu alivyomdharau Mpanju.Ziara pekee ninazoweza kuzihesabu kama ziara zenye tija kwangu ni zile zilizofanywa na Mwl.Nyerere(R.I.P)za kwenda Uingereza "kufuatilia Uhuru wa Tanganyika".

Zaidi ya hapo sioni cha Maana toka kwa hao unaowaabudu.Kama ni suala la uwekezaji,hakuna uwekezaji wowote uliowahi kufanywa na mgeni ukaleta tija kwa Taifa letu.Uwekezaji unaokomba Rasilimali zetu huku Taifa likiambulia Mlabaha wa 3% kwangu mimi sioni kama ni jambo la kujivunia kiasi cha kupongeza ziara za ng'ambo.

Iko wapi mikataba 17 iliyisainiwa Ikulu baina ya Uchina na Tanzania? Imeleta tija gani kwa Taifa letu? Wachina hao unaowashabikia ndiyo walioligeuza Taifa letu kuwa " dampo"la kutupia kila aina ya bidhaa feki toka uchina kwa kisingizio cha kukuza biashara kati yetu.Leo hii hadi baadhi ya member wa jf wapo hatarini kutoweka jukwaani kwa sababu ya kutumia "vifaa feki" vya kichina.

Sijaona mchango wa maana ulioletwa na Uchina,zaidi sana Wachina ndiyo wanaonufaika na kandarasi za miradi mbalimbali ya Maendeleo ambayo inafadhiliwa na Mataifa mengine,Wachina wanatajirika zaidi toka kwetu kuliko sisi tunavyopokea toka kwao.
 
Kwa mujibu wa duru muhim ndani ya Wizara ya Mambo ya Nje, Mheshimiwa Rais anatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini China baadae mwezi huu.

Katika ziara hiyo Pamoja na matukio mengine Mhe Raisi atashiriki mazungumzo na kusaini makubaliano mbalimbali juu ushirikiano wa China na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na kisiasa.

Kadhalika Mheshimiwa atatunukiwa Shahada ya juu ya heshma toka chuo kikuu kimojawapo mashuhuri Jijini Beijing.


acha umbea, fanya kazi
 
Binafsi naunga mkono sana kwa ziara hii ya China kwenda kuweka mambo sawa ikiwamo mikataba tata ya Bandari ya Bagamoyo (kama ni kweli) laikini pia kutafuta fedha kufufua TAZARA na kujenga reli ya Kati ya SG.

Akitoka huko apitie na Japan ili tuboreshe barabara za majiji hususan kujenga njia za juu na ikiwezekana Uwanja wa Ndege wa Mwanza
 
Kwa mujibu wa duru muhim ndani ya Wizara ya Mambo ya Nje, Mheshimiwa Rais anatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini China baadae mwezi huu.

Katika ziara hiyo Pamoja na matukio mengine Mhe Raisi atashiriki mazungumzo na kusaini makubaliano mbalimbali juu ushirikiano wa China na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na kisiasa.

Kadhalika Mheshimiwa atatunukiwa Shahada ya juu ya heshma toka chuo kikuu kimojawapo mashuhuri Jijini Beijing.
***
Shahada ya Juu ya kichina/
Table's doctrine!
 
Ba
Kwa mujibu wa duru muhim ndani ya Wizara ya Mambo ya Nje, Mheshimiwa Rais anatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini China baadae mwezi huu.

Katika ziara hiyo Pamoja na matukio mengine Mhe Raisi atashiriki mazungumzo na kusaini makubaliano mbalimbali juu ushirikiano wa China na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na kisiasa.

Kadhalika Mheshimiwa atatunukiwa Shahada ya juu ya heshma toka chuo kikuu kimojawapo mashuhuri Jijini Beijing.
Bado kuna makubaliano ya ushirikiano ya kusaini baada ya yale tuliyosaini katika utawala uliopita? Au yale yatafutwa!
 
Wach
ok,.. naona ile MCC kutunyima hela wachina wataziba pengo.

China kuanzia mwakajana uchumi wao siyo mzuri. Wameshindwa kuendeleza miradi ya Liganga na mchuchuma kutokana na kukosa hela. Serikali inafikiria kuinyang'anya miradi hiyo kutoka kwa wachina ili itangazwe upya, na makampuni yenye uwezo hasa toka Ulaya yaweze kuendeleza miradi hiyo mikubwa kwa manufaa ya Taifa.
 
Nchiii hiii walalamishi hawaishi hata Rais afanye zuri lipi wao ni malalamiko tu
 
Binafsi naunga mkono sana kwa ziara hii ya China kwenda kuweka mambo sawa ikiwamo mikataba tata ya Bandari ya Bagamoyo (kama ni kweli) laikini pia kutafuta fedha kufufua TAZARA na kujenga reli ya Kati ya SG.

Akitoka huko apitie na Japan ili tuboreshe barabara za majiji hususan kujenga njia za juu na ikiwezekana Uwanja wa Ndege wa Mwanza



Vipi tena,si mnajinasibu kutohitaji misaada mbona unatoa orodha ndefu ya miradi inayohitaji "ufadhiri", si uwahimize TRA wakusanye kodi?Si tuliambiwa kuwa Tupo tayari kulipa hadi kodi ya pumzi kuliko kupokea misaada yenye mwelekeo wa kumpinga Jecha na Nkuluzinza shein?

Tanzania haihitaji misaada na ili kukabiliana na matatizo ya kiuchumi,naishauri serikali yetu ijenge maabara za kuzalisha viwavijeshi vya kutosha kwa ajili ya kulisha Watanzania(wanaCCM).Tunaweza pia kutafuta soko la viwavijeshi huko China ili vituingizie fedha za kigeni na kufidia pengo lililoachwa na MCC.
 
China kuanzia mwaka jana uchumi wao siyo mzuri. Wameshindwa kuendeleza miradi ya Liganga na mchuchuma kutokana na kukosa hela. Serikali inafikiria kuinyang'anya miradi hiyo kutoka kwa wachina ili itangazwe upya, na makampuni yenye uwezo hasa toka Ulaya yaweze kuendeleza miradi hiyo mikubwa kwa manufaa ya Taifa.
...Unaongelea kampuni la kiChina au China, ambayo ni nchi. Kuna tofauti kubwa hapo!
 
Hivi wanachoficha ni nini.... Hii nchi ya kiwaki kweli

Obama huwa ziara yake inawekwa hadharani miez miwili kabla ambaye ndiye kiongozi mwenye risk zaid dunian.. Sasa uyu wa Tanzania anaficha ficha utafikiri ni big deal kumbe uzanza tu
 
Sio kila maskini ni cheap,wapo maskini jeuri.Hata hivyo Tanzania sio maskini na msimamo wetu uko pale pale,they can't dictate their terms on us,we are an independent country.
Marekani na Yuropa wakisikia hivi, lazima warejeshe hela walizosusa kuzitoa.

Hawatakubali kuona mchina anapata influence kubwa namna hii ukanda huu.
Na ukitaka kupata influence kwa masikini, we mwaga mihela, utapendwajeee
 
Back
Top Bottom