GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Naomba serikali inipe kibali indirect way...nikusanye wahuni na mafuta yetu ya mgando ya babycare tunaweka rundo la mafuta kwenye sikio alafu uone majibu mpaka keshokutwa Kama atarudia ujinga wake...na huu uhuni kafundishwa na Morrison...alikua kijana mzuri tu huyu alipokuja bongo
Na niiombe tu Serikali hii ya Rais Dkt. Magufuli na Vyombo vyake wasipomkamata huyu ' Mpumbavu ' Sisi wengine tutajua tu jinsi ya Kumnyoosha.