Rais Dkt. Magufuli tuko katika Majonzi makubwa, lakini Kocha wa Yanga ametutukana Watanzania wote. Akamatwe upesi

Rais Dkt. Magufuli tuko katika Majonzi makubwa, lakini Kocha wa Yanga ametutukana Watanzania wote. Akamatwe upesi

Naomba serikali inipe kibali indirect way...nikusanye wahuni na mafuta yetu ya mgando ya babycare tunaweka rundo la mafuta kwenye sikio alafu uone majibu mpaka keshokutwa Kama atarudia ujinga wake...na huu uhuni kafundishwa na Morrison...alikua kijana mzuri tu huyu alipokuja bongo

Na niiombe tu Serikali hii ya Rais Dkt. Magufuli na Vyombo vyake wasipomkamata huyu ' Mpumbavu ' Sisi wengine tutajua tu jinsi ya Kumnyoosha.
 
Tungekuwa na elimu,tungekuwa na akili unadhani ccm ingetutawala for 60 good days? Hata hivyo viwanja vya kufugia mbwa ccm walijimilikisha na still wameshindwa kuvitunza? Kwa ujumla if can summary yote aliyosema ni kuwa.Watu wenye akili hawawezi kutawaliwa na CCM,watu wenye akili hawawezi wakaambiwa na wanasiasa tena akiwa amejifungia kijijini kwake kuwa Covid_19 imeisha wanakubali kirahisi na kujiachia Kama wanavyofanya watanzania
Kweli wewe hujijui na hujitambui kabisa
 
" kuidhalilisha Tanzania NA HADI sisi Watanzania" FaizaFoxy njoo umfundishe Kiswahili fasaha huyu Jamaa kutoka mkoani..
 
Hii haivumiliki na GENTAMYCINE nasema tena kuwa hii haivumiliki na namuomba Waziri wa Michezo aamuru Jeshi la Polisi nchini Tanzania chini yake IGP upesi sana wamsake ( wamtafute ) popote pale alipo Kocha wa Yanga SC Raia Ubelgiji Luc Eymael kwa ‘ Matamshi ‘ ya Kuidhalilisha Tanzania na hadi Sisi Watanzania.

Muda si mrefu Kituo cha Redio cha Wasafi FM katika Kipindi chao ‘ Maarufu ‘ cha Michezo Kiitwacho ‘ Sports Court ‘ kimetoka Kucheza ‘ Sauti ‘ ya Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga SC ambayo kiukweli aliyoyasema huko ‘ hayavumiliki ‘ na naenda kuweka hapa baadhi ya ‘ Kashfa ‘ zake Kwetu Watanzania…


  1. Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana
  2. Viongozi wa Tanzania ni Wahuni
  3. Mashabiki wa Yanga SC hawajui Mpira ni kama Nyani au Sokwe ( a.k.a mpya ya Yanga SC sasa ni Sokwe Nyani SC badala ya Utopolo SC )
  4. Shirikisho la Mpira nchini Tanzania lina Watu Wajinga mno na Wanaipendelea mno Simba SC
  5. Watanzania wengi ni Watu ambao hawana Elimu na wapo wapo tu
  6. Uongozi wa Yanga SC ni wa Watu Wapumbavu na Waongo nitashangaa Klabu ikipata Maendeleo chini yao
  7. Viwanja vingi vya Soka vya Tanzania ni vya Kufugia Mbwa na hata huu mnaousifia nao ni Mbovu tu
Na kutokana na ‘ Maadili ‘ kuna maneno yake mengine ya ‘ Matusi ‘ makubwa makubwa Kocha huyu ‘ Katutukana ‘ Sisi Watanzania. Japo ‘ Hasira ‘ zake nyingi zilikuwa ni kwa ‘ Mashabiki ‘ wa Yanga SC na Uongozi wake lakini pia ‘ ametutukana ‘ sana Watanzania na Rais wetu JPM nae ni Mtanzania vile vile.

Kwa wale ambao mtapenda Kusikia ‘ Kashfa ‘ hizi nzito za Kocha wa Yanga SC Mbelgiji Luc Eymael kwa Watanzania na Klabu ya Yanga SC Kesho Saa 2 na Nusu hadi Saa 5 Kamili asubuhi tegea Sikio Wasafi FM hasa katika Kipindi chao cha Michezo cha ‘ Sports Arena ‘ ambapo wameahidi Kuirudia hiyo ‘ Sauti ‘ huku wakisema kuwa Kesho ni Siku ya Kocha wa Yanga SC Luc Eymael.

Kwa ‘ Udhalilishaji ‘ aliousema Kocha wa Yanga SC Luc Eymael nitashangaa kama kuanzia Usiku huu hadi Kesho kama ‘ hajakamatwa ‘ na Mamlaka husika. Na kwa msiojua hii ni mara ya Pili Kocha huyu ‘ Mpumbavu ‘ anaichokonoa Tanzania kwani alipokuja alishawahi ‘ Kuhitilafiana ‘ na Shirikisho la Soka nchini na ‘ Kutishia ‘ kuwaambia Wazungu huko Ulaya kuwa wasije Kutalii nchini Tanzania.

Kwa wale mliopo katika Makundi ya WhatsApp ya Wanahabari za Michezo nadhani hivi sasa mnaisikia hiyo ' Clip ' ya huyu Kocha. Ni balaa tupu!!!!
Kuhusu viwanja vya mpira Tz mi namuunga mkono ni vibovu kupita kiasi. Hayo mengine simuungi mkono akamatwe haraka.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Wewe unayelazimisha uwepo wa corona unahisa na huu ugonjwa? Kama ulikuwa umetuletea mabarakoa na masanitizer uwauzie watu na baadae korona imesepa jua umeula wachuya

Mbona ulazimishe uwepo wa kitu wakati wewe sio mtaalamu wa fani hiyo,rais pamoja na wataalamu wa afya wamekili kuwa korona haipo,wewe mtu wa mitandaoni unalazimisha kuwa ipo.

Kama ndivyo hama nchi uende ambako hawana korona.

Mkuu jina la ' ID ' yake tu linatosha kukupa ' Uhalisia ' wake mzima ulivyo hasa katika Bichwa lake Kubwa kama Spare Tyre ya Malori ya Migodini.
 
Walikosea hao Yanga walioshindwa kumpa uhalisia wa huku.
Ilitakiwa wamwambie Tz sio EU unapoweza kujiachia kutukana tu unapotaka na adhabu yenyewe wanakupa umalize juisi ya mo chungwa saa moja.
Kama kasema hayo kweli naweka maiki pembeni tuangalie movie hii Kali.
 
Hii haivumiliki na GENTAMYCINE nasema tena kuwa hii haivumiliki na namuomba Waziri wa Michezo aamuru Jeshi la Polisi nchini Tanzania chini yake IGP upesi sana wamsake ( wamtafute ) popote pale alipo Kocha wa Yanga SC Raia Ubelgiji Luc Eymael kwa ‘ Matamshi ‘ ya Kuidhalilisha Tanzania na hadi Sisi Watanzania.

Muda si mrefu Kituo cha Redio cha Wasafi FM katika Kipindi chao ‘ Maarufu ‘ cha Michezo Kiitwacho ‘ Sports Court ‘ kimetoka Kucheza ‘ Sauti ‘ ya Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga SC ambayo kiukweli aliyoyasema huko ‘ hayavumiliki ‘ na naenda kuweka hapa baadhi ya ‘ Kashfa ‘ zake Kwetu Watanzania…


  1. Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana
  2. Viongozi wa Tanzania ni Wahuni
  3. Mashabiki wa Yanga SC hawajui Mpira ni kama Nyani au Sokwe ( a.k.a mpya ya Yanga SC sasa ni Sokwe Nyani SC badala ya Utopolo SC )
  4. Shirikisho la Mpira nchini Tanzania lina Watu Wajinga mno na Wanaipendelea mno Simba SC
  5. Watanzania wengi ni Watu ambao hawana Elimu na wapo wapo tu
  6. Uongozi wa Yanga SC ni wa Watu Wapumbavu na Waongo nitashangaa Klabu ikipata Maendeleo chini yao
  7. Viwanja vingi vya Soka vya Tanzania ni vya Kufugia Mbwa na hata huu mnaousifia nao ni Mbovu tu
Na kutokana na ‘ Maadili ‘ kuna maneno yake mengine ya ‘ Matusi ‘ makubwa makubwa Kocha huyu ‘ Katutukana ‘ Sisi Watanzania. Japo ‘ Hasira ‘ zake nyingi zilikuwa ni kwa ‘ Mashabiki ‘ wa Yanga SC na Uongozi wake lakini pia ‘ ametutukana ‘ sana Watanzania na Rais wetu JPM nae ni Mtanzania vile vile.

Kwa wale ambao mtapenda Kusikia ‘ Kashfa ‘ hizi nzito za Kocha wa Yanga SC Mbelgiji Luc Eymael kwa Watanzania na Klabu ya Yanga SC Kesho Saa 2 na Nusu hadi Saa 5 Kamili asubuhi tegea Sikio Wasafi FM hasa katika Kipindi chao cha Michezo cha ‘ Sports Arena ‘ ambapo wameahidi Kuirudia hiyo ‘ Sauti ‘ huku wakisema kuwa Kesho ni Siku ya Kocha wa Yanga SC Luc Eymael.

Kwa ‘ Udhalilishaji ‘ aliousema Kocha wa Yanga SC Luc Eymael nitashangaa kama kuanzia Usiku huu hadi Kesho kama ‘ hajakamatwa ‘ na Mamlaka husika. Na kwa msiojua hii ni mara ya Pili Kocha huyu ‘ Mpumbavu ‘ anaichokonoa Tanzania kwani alipokuja alishawahi ‘ Kuhitilafiana ‘ na Shirikisho la Soka nchini na ‘ Kutishia ‘ kuwaambia Wazungu huko Ulaya kuwa wasije Kutalii nchini Tanzania.

Kwa wale mliopo katika Makundi ya WhatsApp ya Wanahabari za Michezo nadhani hivi sasa mnaisikia hiyo ' Clip ' ya huyu Kocha. Ni balaa tupu!!!!
Hili ndio jibu lake.........kama aliyajua hayo mbona kareta mku*** wake hapa bongo..........au kamfata bahasha ..........?? Akuona timu kama manchester uko au liverpool au barc au arsenal?? Kama wachezaji ni wajinga na hawajui mpira si angeenda kwa kina Messi na ronaldo .......kilicho mreta uku ni nini kama sio kuwashwa mk*** u tena hadharani......huyu dawa yake kumpa madole uku mnamsindikiza airport mpaka apande ndege ndio atajua kuwa mafuta ya taa tunakunywa kama chai ........
 
Sijasikiliza kama kasema ni ukweli [emoji817] percent
 
We umejifungia ndani mzee? Tuache wazalendo tuendelee Jenga nchi
 
Hii haivumiliki na GENTAMYCINE nasema tena kuwa hii haivumiliki na namuomba Waziri wa Michezo aamuru Jeshi la Polisi nchini Tanzania chini yake IGP upesi sana wamsake ( wamtafute ) popote pale alipo Kocha wa Yanga SC Raia Ubelgiji Luc Eymael kwa ‘ Matamshi ‘ ya Kuidhalilisha Tanzania na hadi Sisi Watanzania.

Muda si mrefu Kituo cha Redio cha Wasafi FM katika Kipindi chao ‘ Maarufu ‘ cha Michezo Kiitwacho ‘ Sports Court ‘ kimetoka Kucheza ‘ Sauti ‘ ya Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga SC ambayo kiukweli aliyoyasema huko ‘ hayavumiliki ‘ na naenda kuweka hapa baadhi ya ‘ Kashfa ‘ zake Kwetu Watanzania…


  1. Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana
  2. Viongozi wa Tanzania ni Wahuni
  3. Mashabiki wa Yanga SC hawajui Mpira ni kama Nyani au Sokwe ( a.k.a mpya ya Yanga SC sasa ni Sokwe Nyani SC badala ya Utopolo SC )
  4. Shirikisho la Mpira nchini Tanzania lina Watu Wajinga mno na Wanaipendelea mno Simba SC
  5. Watanzania wengi ni Watu ambao hawana Elimu na wapo wapo tu
  6. Uongozi wa Yanga SC ni wa Watu Wapumbavu na Waongo nitashangaa Klabu ikipata Maendeleo chini yao
  7. Viwanja vingi vya Soka vya Tanzania ni vya Kufugia Mbwa na hata huu mnaousifia nao ni Mbovu tu
Na kutokana na ‘ Maadili ‘ kuna maneno yake mengine ya ‘ Matusi ‘ makubwa makubwa Kocha huyu ‘ Katutukana ‘ Sisi Watanzania. Japo ‘ Hasira ‘ zake nyingi zilikuwa ni kwa ‘ Mashabiki ‘ wa Yanga SC na Uongozi wake lakini pia ‘ ametutukana ‘ sana Watanzania na Rais wetu JPM nae ni Mtanzania vile vile.

Kwa wale ambao mtapenda Kusikia ‘ Kashfa ‘ hizi nzito za Kocha wa Yanga SC Mbelgiji Luc Eymael kwa Watanzania na Klabu ya Yanga SC Kesho Saa 2 na Nusu hadi Saa 5 Kamili asubuhi tegea Sikio Wasafi FM hasa katika Kipindi chao cha Michezo cha ‘ Sports Arena ‘ ambapo wameahidi Kuirudia hiyo ‘ Sauti ‘ huku wakisema kuwa Kesho ni Siku ya Kocha wa Yanga SC Luc Eymael.

Kwa ‘ Udhalilishaji ‘ aliousema Kocha wa Yanga SC Luc Eymael nitashangaa kama kuanzia Usiku huu hadi Kesho kama ‘ hajakamatwa ‘ na Mamlaka husika. Na kwa msiojua hii ni mara ya Pili Kocha huyu ‘ Mpumbavu ‘ anaichokonoa Tanzania kwani alipokuja alishawahi ‘ Kuhitilafiana ‘ na Shirikisho la Soka nchini na ‘ Kutishia ‘ kuwaambia Wazungu huko Ulaya kuwa wasije Kutalii nchini Tanzania.

Kwa wale mliopo katika Makundi ya WhatsApp ya Wanahabari za Michezo nadhani hivi sasa mnaisikia hiyo ' Clip ' ya huyu Kocha. Ni balaa tupu!!!!
yupo sahihi hapo kwenye 1,2, 5 na 7.

so, kwa kutumia hii scale yako, score ya huyu kocha ni 4/7 = 57%.
hii ni B, amefaulu. tujirekebishe Watz!
 
Hii haivumiliki na GENTAMYCINE nasema tena kuwa hii haivumiliki na namuomba Waziri wa Michezo aamuru Jeshi la Polisi nchini Tanzania chini yake IGP upesi sana wamsake ( wamtafute ) popote pale alipo Kocha wa Yanga SC Raia Ubelgiji Luc Eymael kwa ‘ Matamshi ‘ ya Kuidhalilisha Tanzania na hadi Sisi Watanzania.

Muda si mrefu Kituo cha Redio cha Wasafi FM katika Kipindi chao ‘ Maarufu ‘ cha Michezo Kiitwacho ‘ Sports Court ‘ kimetoka Kucheza ‘ Sauti ‘ ya Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga SC ambayo kiukweli aliyoyasema huko ‘ hayavumiliki ‘ na naenda kuweka hapa baadhi ya ‘ Kashfa ‘ zake Kwetu Watanzania…


  1. Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana
  2. Viongozi wa Tanzania ni Wahuni
  3. Mashabiki wa Yanga SC hawajui Mpira ni kama Nyani au Sokwe ( a.k.a mpya ya Yanga SC sasa ni Sokwe Nyani SC badala ya Utopolo SC )
  4. Shirikisho la Mpira nchini Tanzania lina Watu Wajinga mno na Wanaipendelea mno Simba SC
  5. Watanzania wengi ni Watu ambao hawana Elimu na wapo wapo tu
  6. Uongozi wa Yanga SC ni wa Watu Wapumbavu na Waongo nitashangaa Klabu ikipata Maendeleo chini yao
  7. Viwanja vingi vya Soka vya Tanzania ni vya Kufugia Mbwa na hata huu mnaousifia nao ni Mbovu tu
Na kutokana na ‘ Maadili ‘ kuna maneno yake mengine ya ‘ Matusi ‘ makubwa makubwa Kocha huyu ‘ Katutukana ‘ Sisi Watanzania. Japo ‘ Hasira ‘ zake nyingi zilikuwa ni kwa ‘ Mashabiki ‘ wa Yanga SC na Uongozi wake lakini pia ‘ ametutukana ‘ sana Watanzania na Rais wetu JPM nae ni Mtanzania vile vile.

Kwa wale ambao mtapenda Kusikia ‘ Kashfa ‘ hizi nzito za Kocha wa Yanga SC Mbelgiji Luc Eymael kwa Watanzania na Klabu ya Yanga SC Kesho Saa 2 na Nusu hadi Saa 5 Kamili asubuhi tegea Sikio Wasafi FM hasa katika Kipindi chao cha Michezo cha ‘ Sports Arena ‘ ambapo wameahidi Kuirudia hiyo ‘ Sauti ‘ huku wakisema kuwa Kesho ni Siku ya Kocha wa Yanga SC Luc Eymael.

Kwa ‘ Udhalilishaji ‘ aliousema Kocha wa Yanga SC Luc Eymael nitashangaa kama kuanzia Usiku huu hadi Kesho kama ‘ hajakamatwa ‘ na Mamlaka husika. Na kwa msiojua hii ni mara ya Pili Kocha huyu ‘ Mpumbavu ‘ anaichokonoa Tanzania kwani alipokuja alishawahi ‘ Kuhitilafiana ‘ na Shirikisho la Soka nchini na ‘ Kutishia ‘ kuwaambia Wazungu huko Ulaya kuwa wasije Kutalii nchini Tanzania.

Kwa wale mliopo katika Makundi ya WhatsApp ya Wanahabari za Michezo nadhani hivi sasa mnaisikia hiyo ' Clip ' ya huyu Kocha. Ni balaa tupu!!!!
Huyo Kocha yuko sahihi 100% ukweli unauma


Covid 19 ipo na inaua..... Ipime Serikali ya Tz kuanzia hapo, ndipo utamuelewa Kocha.... [emoji56][emoji48][emoji48]
 
Napata ukakasi na source ya audio clip ya wasafi! nmesikiliza radio zote kocha anawasifu mashabiki, isije ikawa wametulisha matango pori!
 
Back
Top Bottom