Rais Dkt. Mwinyi amteua Maalim Seif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

Rais Dkt. Mwinyi amteua Maalim Seif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

Rest in peace wote mliouwawa na kuvunjwa viungo mbalimbali katika uchaguzi uliopita visiwani Z'bar. Mliokuwa mkiwatetea na kuamini katika Sera zao wameamua kuwafungia vioo na kuwasahau moja kwa moja.
 
View attachment 1643490
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Maalim Seif Shariff Hamad, kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar kuanzia leo Disemba 06, 2020.

=====

Taarifa kwa vyombo vya Habari

Kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984,kinachosema kwamba “Muundo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar utakuwa na Umoja wa Kitaifa na utendaji wa kazi zake utafanywa katika utaratibu utakaohakikisha kuendelezwa kwa umoja nchini na lengo la kufikia demokrasia”.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amemteua Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.

Uteuzi huo umeanza leo tarehe 6 Disemba,2020
View attachment 1643495
[emoji17][emoji17][emoji17] ... kuanzia leo kwangu mimi Maalim Seif hana tofauti na Lipumba na ACT haina tofauti na CUF au NCCR
 
Wale ambao ndugu zao wameuwawa sijui wanajisikiaje.
Tunawapa pole sana. Inabidi tujikite kwenye kutengeneza mazingira ya kuleta amani badala ya kuendekeza chuki ambazo zinaweza kusababisha maumivu au hata vifo kwa watu wengi zaidi.
 
View attachment 1643490
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Maalim Seif Shariff Hamad, kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar kuanzia leo Disemba 06, 2020.

=====

Taarifa kwa vyombo vya Habari

Kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984,kinachosema kwamba “Muundo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar utakuwa na Umoja wa Kitaifa na utendaji wa kazi zake utafanywa katika utaratibu utakaohakikisha kuendelezwa kwa umoja nchini na lengo la kufikia demokrasia”.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amemteua Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.

Uteuzi huo umeanza leo tarehe 6 Disemba,2020
View attachment 1643495
Hatua hii ni kufuatia taarifa hii
Kamati kuu ya chama chetu imeazimia kwamba, wawakilishi wachache kwa maana ya madiwani, wajumbe wa baraza la wawakilishi na wabunge ambao wametangazwa kushinda waruhusiwe kushiriki kwenye vyombo vyao vya uwakilishi ili waendeleze mapambano kwenye vyombo hivyo.

Ni muhimu ieleweke kwamba, kamati kuu imefikia uamuzi huu sio kwamba tunaufurahia, kamati kuu ilikuwa kwenye njia panda ya kuchagua njia moja kati ya njia mbili. Ilikuwa ni kuchagua ama uamuzi mbaya, ama uamuzi mbaya zaidi.

Haikuwa chagua baina ya uamuzi mzuri sana na uamuzi mbaya, hilo ni muhimu sana lieleweke. Kwa hiyo tumechagua njia mbayo tumeona ina nafuu.

Pili, kamati kuu ya chama chetu kwa kuzingatia ibara ya 9(3) ya katiba ya Zanzibar imeridhia chama kushiriki kwenye serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar na imeielekeza kamati ya uongozi ya chama chetu kupendekeza jina la mwanachama ataekuwa makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar na muhimu ieleweke katika kuhitimisha, kamati kuu ya chama chetu imefikia maamuzi haya baada ya kufanya tafakuri ya kina.
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani, if you can't get what you want, just take what you get!, and if you can't beat them, join them!.
Hatimaye ACT Wazalendo sasa wamekubali matokeo, sio tuu watapokea kidogo walichopata, bali pia wata wa join them kwenye kuunda SUK.
Hongera sana ACT, hizi ndio siasa za kweli.
P
 
View attachment 1643490
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Maalim Seif Shariff Hamad, kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar kuanzia leo Disemba 06, 2020.

=====

Taarifa kwa vyombo vya Habari

Kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984,kinachosema kwamba “Muundo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar utakuwa na Umoja wa Kitaifa na utendaji wa kazi zake utafanywa katika utaratibu utakaohakikisha kuendelezwa kwa umoja nchini na lengo la kufikia demokrasia”.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amemteua Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.

Uteuzi huo umeanza leo tarehe 6 Disemba,2020
View attachment 1643495
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani, if you can't get what you want, just take what you get!, and if you can't beat them, join them!.

Hatimaye ACT Wazalendo sasa wamekubali matokeo, sio tuu watapokea kidogo walichopata, bali pia wata wa join them kwenye kuunda SUK.
Wana jf, tujifunze kuukubali ukweli jinsi ulivyo, hakuna mkate mgumu mbele ya chai!. Maalim Seif at 77, has everything to gain and nothing to lose.
Hongera Dr. Mwinyi kwa uteuzi huu.

Hongera Maalim Seif kwa kuitanguliza mbele Zanzibar.
Hongera sana ACT Wazalendo for doing the right thing na sasa hizi ndio siasa za kweli za maendeleo, na sio kususa susa bila manufaa yoyote.
P
 
Hahaha Maalim Seif kanishangaza sana mimi na Lipumba.

Nini kilifanyika asijiunge 2015 akiwa CUF, na nini kimemfanya akubali kujiunga 2020 akiwa ACT?!

Walimlaumu na kumfokea Membe kugombea kwa kukataa kumuunga mkono LISU leo wao ndio wanaonekana wa ajabu na wa hovyo kabisa.

Wamefikiria nini hicho cha ajabu na ujinga kabisa.

Yani walikuwa wanaringa, mi nilidhani wana msimamo kumbe maringo?!

Hahaha ACT buriani.
 
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani, if you can't get what you want, just take what you get!, and if you can't beat them, join them!.
Hatimaye ACT Wazalendo sasa wamekubali matokeo, sio tuu watapokea kidogo walichopata, bali pia wata wa join them kwenye kuunda SUK.
Wana jf, tujifunze kuukubali ukweli jinsi ulivyo, hakuna mkate mgumu mbele ya chai!. Maalim Seif at 77, has everything to gain and nothing to lose.
Hongera Dr. Mwinyi kwa uteuzi huu.
Hongera Maalim Seif kwa kuitanguliza mbele Zanzibar.
Hongera sana ACT Wazalendo for doing the right thing na sasa hizi ndio siasa za kweli za maendeleo, na sio kususa susa bila manufaa yoyote.
P
Baada ya kukosa uteuzi Bara, Mayalla anajaribu visiwani ateuliwe hata kuongoza Shehia mradi mkono uende kinywani.
 
Wale ambao ndugu zao wameuwawa sijui wanajisikiaje.

Ndiyo wajifunze kile kinachoitwa "kumtegemea mwanadamu mwenye pumzi ambayo hutoka watakatishwa tamaa". Nadhani tayari kila kitu kimeeleweka sasa.
 
Sasa wazanzibari shikamaneni kuijenga znz, huu sasa ni muda wenu, chuki, majungu na fitina wekeni kando chapeni kazi kwa mendeleo.
Hongera Makamu wa Rais hongera sana kwa Mhe. Rais Dr. Hussein
 
Siasa zina wenyewe bhana, wengine tubaki watizamaji tu.
 
Hahaha nakushangaa wewe Leo kukuona pande hizi. Rudi kulekule, huku kichwa kitakuuma bure mdogo wangu[emoji1][emoji1]
Mimi huku kichwa hakiniumi maana nawaangalia tu jinsi mnavyoweweseka na wapinzani wenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na bado chadema haijawatenda[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa kutoka katika vyanzo vya uhakika zinasema mwenyekiti wa chama cha upinzani visiwani zanzibar mh Seif Shariff Hamad ameteuliwa kuwa makam wa kwanza wa Rais Wa serikali ya mapinduzi Zanzibar.

Hiyo imejiri siku moja baada ya Kiongozi wa juu wa chama hicho kutangaza hapo jana kuwa wameridhia na kupendekeza jina la makam wa Rais na kushiriki katika Serikali ya SMZ.

Source:BBC habari

#jr
 
9087654654.jpg
 
Back
Top Bottom