pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 508
- 788
Hivi katiba ya Zanzibar kuhusu makamo wa rais nae anatumbuliwa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ninyi mlitaka akatae wakati ukweli ndio alishindwa na nafasi aliyostahili ndio hiyo. Maalim Seif sio mnafiki ila ninyi ndio wanafiki.Wiki kama Tatu hivi nikiwa katika 'Kijiwe' changu Kimoja nakumbuka niliwaambia wana Kijiwe Wenzangu kuwa kama kuna Mwanasiasa hapa nchini Tanzania na tena atokae 'Zanzibar Isles' ambaye wasipoteze muda Wao katika Kumuamini na hata Kumsikiliza kwakuwa ni 'Mnafiki' Mwandamizi ni Maalim Seif Sharif Hamad na kuwaambia kuwa akiteuliwa hiki Cheo hatokikataa ng'o kwani nae pia ana 'Njaa' na hatimaye Usiku huu imekuwa.
Kusonga mbele kisiasa kwa kulamba matapishi yako....Kazi kwa CHADEMA sasa; ACT inasonga mbele kisiasa wakati CHADEMA bado imejifungia chumbani.
Ingawa najua kuwa huu mwafaka ndiyo huwa lengo kuu la Sharif Hamad ili awena madaraka, akishyakosa ndipo anapoanzan kulalamika. Sasa hivi swala la "haki za binadamu" au "kuuwawa kwa raia wasikuwa na hatia" huo Zanzibar hutalisikia tena.
aloo! ya wana siasa waachieni wanasiasa, watu walikufa kisa wanasiasa na siasa, leo hii ndo haooo wameungana kula bata kwa pamoja, nadhani siku zingine hakuna atakae kubali kufa au kudhurika kisa mwana siasa au siasa, bila shaka hili ni fundisho na litakuwa ni fundisho tosha kwa watu wote.
Swadakta....Tanzania ni kisiwa cha amani na upendo, waliotaka kutufarakanisha wamefarakana wenyewe
Lala unono Jumbe
Hivi ninyi mlitaka akatae wakati ukweli ndio alishindwa na nafasi aliyostahili ndio hiyo. Maalim Seif sio mnafiki ila ninyi ndio wanafiki.
Tanzania ni kisiwa cha amani na upendo, waliotaka kutufarakanisha wamefarakana wenyewe
Lala unono Jumbe
Hiyo 2015 alipewa huo ushindi wake?Hivi na wewe umekaa ukawaza na kujiaminisha kweli maalim Seif alishinda. Mambo mengine mnajipa presha bure tu.
Maalim Seif ashinde halafu akubali kuwa makamu kirahisi vile...
Tangu 1995 tunasusia kimebadilika nini?
Tuache siasa za chuki tusonge mbele.
Isitoshe miaka yote hiyo wazanzibar tunasusia nyinyi watanganyika munaenda bungeni hata hamjali kuhusu sisi leo kibao kimewageuka ndio mnajifanya wapinzani kweli.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Kamati kuu ya ACT imeshakaa na kuamua! Kwenye siasa kuna ushauri kuwa mwenzi akikushinda, shirikiana naye ili upate sehemu ya madaraka yake! Ukizila, yeye ataendelea na madaraka yote na hutapata hata chembe yake.Kusonga mbele kisiasa kwa kulamba matapishi yako....
😄😄😄Wazanzibari msirudie tena kupiga polisi mawe
View attachment 1643490
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Maalim Seif Shariff Hamad, kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar kuanzia leo Disemba 06, 2020.
=====
Taarifa kwa vyombo vya Habari
Kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984,kinachosema kwamba “Muundo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar utakuwa na Umoja wa Kitaifa na utendaji wa kazi zake utafanywa katika utaratibu utakaohakikisha kuendelezwa kwa umoja nchini na lengo la kufikia demokrasia”.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amemteua Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Uteuzi huo umeanza leo tarehe 6 Disemba,2020
View attachment 1643495
Hahahaaa mkuu naamini na ww ni mmoja kati ya wale walioaminishwa mwaka 2015 kua Maalim Seif ataapishwa uraisi na hatimae katimkia ACTHujui upizani wa Wazanzibar we
Nyinyi mnajua upizani ni kama mchezo wa kuvuta kamba unavuta tuuu.
Mabadiliko yatakayo TOKEA znz hamtaamini macho na masikio yenu . Hizi ni karata zishachezwa tulieniiiiiii.?
Kwani kuna chama hakitaki madaraka?Ama kweli unafiki ni KIPAJI. ACT Wazalendo mmekusanya ushahidi na kupeleka katika taasisi za Kimataifa ICC, UNHRC na kwingineko kuwashtaki madhalimu wa maccm. Hata kabla hamjajibiwa MMEKURUPUKA kudandia madaraka! Chama cha wasaliti na waroho wa madaraka. Haya sasa jipongezeni kwa usaliti wenu. Zitto
Muache kuwasema na kina halima sasa😅😅😅