Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
kila la heri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaota ndoto za mchana! Amka kumekucha!Hapo ndo nasema chama cha upinzani tanzania ni chadema tuuuu
Wiki kama Tatu hivi nikiwa katika 'Kijiwe' changu Kimoja nakumbuka niliwaambia wana Kijiwe Wenzangu kuwa kama kuna Mwanasiasa hapa nchini Tanzania na tena atokae 'Zanzibar Isles' ambaye wasipoteze muda Wao katika Kumuamini na hata Kumsikiliza kwakuwa ni 'Mnafiki' Mwandamizi ni Maalim Seif Sharif Hamad na kuwaambia kuwa akiteuliwa hiki Cheo hatokikataa ng'o kwani nae pia ana 'Njaa' na hatimaye Usiku huu imekuwa.View attachment 1643490
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Maalim Seif Shariff Hamad, kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar kuanzia leo Disemba 06, 2020.
View attachment 1643462
Unashangaa au?Aisee
Ulijua lini kuwa wananchi wengi walitarajia?Kama ilivyotarajiwa na wengi
Hii siyo habariRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Maalim Seif Shariff Hamad, kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar kuanzia leo Disemba 06, 2020.
View attachment 1643462
NOTA BENE:
Tanzania ni nchi yetu sote, tushirikiane kuijenga pamoja na uwepo wa tofauti za kiitikadi za kisiasa!
ACT-Wazalendo wameanza kwa matakwa ya kikatiba, natumaini na wengine watafuata!
kama ukweli umekuuma unaweza kumuona daktariUnaota ndoto za mchana! Amka kumekucha!
Hapana Mkuu ,harakati za kina zitto ndio wamefikia hapa kukubali kusaliti wananchi wa ZNZ,kama wamekubali basi wakachape kazi waachane na ICC.Kiongozi umeanza kuzeeka sasa!
kwenye sakata la Mzee mdeeUlijua lini kuwa wananchi wengi walitarajia?
ACT mmehalibu vibaya mno ,mnaenda au mnaelekea shimoni,sijui ila naona Zanzibar ya zambalau, mmeiyangusha Sana,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Maalim Seif Shariff Hamad, kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar kuanzia leo Disemba 06, 2020.
View attachment 1643462
NOTA BENE:
Tanzania ni nchi yetu sote, tushirikiane kuijenga pamoja na uwepo wa tofauti za kiitikadi za kisiasa!
ACT-Wazalendo wameanza kwa matakwa ya kikatiba, natumaini na wengine watafuata!
Kakudanganya nani? Angalia usijepata heartattackHapo ndo nasema chama cha upinzani tanzania ni chadema tuuuu
Sio kwamba ukweli umeniuma bali ujinga ulionao kuhusu siana nchini mpaka sasa ndio ninaushangaa!kama ukweli umekuuma unaweza kumuona daktari
Naona wazanzibari sasa wataelewa na wataacha kutumikaACT mmehalibu vibaya mno ,mnaenda au mnaelekea shimoni,sijui ila naona Zanzibar ya zambalau, mmeiyangusha Sana,
Mh seif namkubali ,ila Hapa either KWA baadhi ya wajumbe kupitia mlango wa nyuma mmemuingiza chaka,
ha ha ha ha ha subirini mapinduzi chini ya kamanda mboyeKakudanganya nani? Angalia usijepata heartattack
Wonders will never end in Tanzania, the legitimate president is appointed to be vice president by the impositor