Imekwisha hiyoWale ambao ndugu zao wameuwawa sijui wanajisikiaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekwisha hiyoWale ambao ndugu zao wameuwawa sijui wanajisikiaje.
Atakua mboye na nani? Usijibebeshe imani kubwa hivyo kwa watu ambao wanawake wao wako bungeniha ha ha ha ha subirini mapinduzi chini ya kamanda mboye
kama umemuona daktari subiri majibu huwenda una kaswende ya akili wewe mzee wa mapambioSio kwamba ukweli umeniuma bali ujinga ulionao kuhusu siana nchini mpaka sasa ndio ninaushangaa!
Hujui upizani wa Wazanzibar weKazi kwa CHADEMA sasa; ACT inasonga mbele kisiasa wakati CHADEMA bado imejifungia chumbani.
Ingawa najua kuwa huu mwafaka ndiyo huwa lengo kuu la Sharif Hamad ili awena madaraka, akishyakosa ndipo anapoanzan kulalamika. Sasa hivi swala la "haki za binadamu" au "kuuwawa kwa raia wasikuwa na hatia" huo Zanzibar hutalisikia tena.
Hujui upizani wa Wazanzibar we
Nyinyi mnajua upizani ni kama mchezo wa kuvuta kamba unavuta tuuu.
Mabadiliko yatakayo TOKEA znz hamtaamini macho na masikio yenu . Hizi ni karata zishachezwa tulieniiiiiii.?
acha kuchekesha hao wanawake wa ndugai sasa kwanini aliwahaid kulinda? Eti wanawake wa mboye jaribu kuona hata aibuAtakua mboye na nani? Usijibebeshe imani kubwa hivyo kwa watu ambao wanawake wao wako bungeni
Jiulize kwanini hawatoi taarifa rasmi ya kuwafuta chama kwa taratibu na vyombo vinavyohusika
Wasingekuwa wachumia tumbo ulitaka waishi vipi? Chama kingeenda vipi?Pongezi kwa CCM kwa ukomavu wa kisiasa, hongera ACT kwa kukubali kwamba maendeleo hayana chama
Tuliwaasa sana ndugu zetu kwamba hakuna upinzani Tanzania ila kuna wachumia tumbo na vibaraka wakatukatalia....... ila nadhani sasa wataelewa
View attachment 1643488
Mungu ibariki Tanzania
Kama ni wanawake wa ndugai kweli basi wanaume wa chadema wote ni marioo. Wanawatuma wanawake wao kutafuta pesa popote vyovyote na kuzifurahia bila wivuacha kuchekesha hao wanawake wa ndugai sasa kwanini aliwahaid kulinda? Eti wanawake wa mboye jaribu kuona hata aibu
Mlitaka aendelee kuwasikiliza nyie watu wa mitandao ambao mnaandika wakati mambo yenu yanaendaHongera sana Zitto...umebounce kwa mara nyingine
Hamna lolote.Hujui upizani wa Wazanzibar we
Nyinyi mnajua upizani ni kama mchezo wa kuvuta kamba unavuta tuuu.
Mabadiliko yatakayo TOKEA znz hamtaamini macho na masikio yenu . Hizi ni karata zishachezwa tulieniiiiiii.?
mama naomba ulale usubiri ukombozi kutoka chadema ni usikuu sana huuKama ni wanawake wa ndugai kweli basi wanaume wa chadema wote ni marioo. Wanawatuma wanawake wao kutafuta pesa popote vyovyote na kuzifurahia bila wivu
Sasa mama D ukisema hakuna upinzani Tanzania una maanisha nini? 😄🤸♂️Pongezi kwa CCM kwa ukomavu wa kisiasa, hongera ACT kwa kukubali kwamba maendeleo hayana chama
Tuliwaasa sana ndugu zetu kwamba hakuna upinzani Tanzania ila kuna wachumia tumbo na vibaraka wakatukatalia....... ila nadhani sasa wataelewa
View attachment 1643488
Mungu ibariki Tanzania
Na hicho ndio kinawakera wasio Itakia mema Zanzibar.Kwani mara ya kwanza hii kuwa na serikali ya CCM na Upinzani Zanzibar? Wee ota tu. Siasa nimewaachia wanasiasa tangu leo!
Wasingekuwa wachumia tumbo ulitaka waishi vipi? Chama kingeenda vipi?
ACT bado wanataka kudumu kwenye siasa na wamesoma upepo vizuri
Unanuna huna ela hata ya kutengeneza kipeperushi Inakusaidia nn?
Yaani ukombozi wa wamama utoke Chadema wakati mnawaonea wivu wanawake na viti vyao 19 tena hamjawatafutia wametafuta wao kwa kupata hiyo asilimia majimboni.mama naomba ulale usubiri ukombozi kutoka chadema ni usikuu sana huu