Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Waswahili wanasema 'No smoking' maana yake ni kuwa 'there is no small king'!AU WAKULUNGWA MNAONAJE
Watu wa visiwani wote wahamiaji,hata karume ni mmalawiUkisoma kitabu kaandika Baba yake utawajua wametoka wapi , Hakuficha
Watu wa visiwani wote wahamiaji,hata karume ni mmalawi
Tanganyika,Kenya,Malawi,msumbijiWalihamia kutoka wapi ,?
Nitajie mahali gani ya hizo sehemu ulizotaja inakoongewa lugha ya kimakunduchi, kitumbatu, kikojani,kiuyu,?Tanganyika,Kenya,Malawi,msumbiji
Bwashee, huko kwenu Useri rombo ni karibu na kwao Mshana Jr? Siamini kama wapare wote mko hovyo!Sukuma gang mmeshaanza figisu mkishirikiana na Ufipa!
Ili iweje!!?..kivipi mtu mwanzo wake uwe kisiwani!?...yaani Adam na Hawa walishushwa kisiwani!?..unadhani mtu alitoka kisiwani akaenda bara,wakazaliana wakawa wengi au walitoka bara wakaenda visiwani!?..hili nalo kunahitaji PhD!?Nitajie mahali gani ya hizo sehemu ulizotaja inakoongewa lugha ya kimakunduchi, kitumbatu, kikojani,kiuyu,?
Una akili sana mkuuWewe umeona wapi? Ulipie vitu vyote hivyo halafu mwisho wa siku vinakuwa mali yao? Yaani ni malipo kandamizi.
Elfu 27 inatosha kabisa kwa sababu hawawezi kutuuzia vifaa halafu viwe vyao. After all tunakuja kulipia umeme kwa miaka 100 vijukuu na vitukuu. Ni kama vile kampuni za simu zinagharamika kutengeneza line za simu (chip) lengo likiwa ni kupata wateja lukuki bila kujali gharama halisi, unanunua line kwa 1,000, siyo gharama halisi, wangeweza kutuuzia kwa 20,000 lkn wanajua wasingekuza client base, watakuja kufaidi pale unapoweka bando, unapopiga simu, sms, vifurushi mbalimbali, hapo hatujazungumzia makato ya mobile money, internet banking etc.
Utafikiri hatuna watu wa uchumi!
Ili iweje!!?..kivipi mtu mwanzo wake uwe kisiwani!?...yaani Adam na Hawa walishushwa kisiwani!?..unadhani mtu alitoka kisiwani akaenda bara,wakazaliana wakawa wengi au walitoka bara wakaenda visiwani!?..hili nalo kunahitaji PhD!?
Hilo nakuachia wewe kujua lugha inazaliwajeHujajibu swali?
Watu gani ,hizo nchi ulizozitaja wanaongea Kitumbatu, Kikojani, Kimakunduchi, Ki Kiuyu?
Sijakuuliza kuzaliwa kwa lugha ,jifunze kusoma unachoulizwa ,usirukeruke,Hilo nakuachia wewe kujua lugha inazaliwaje
Hizo lugha kitumbatu,kojani nk zimezaliwa lini!?Sijakuuliza kuzaliwa kwa lugha ,jifunze kusoma unachoulizwa ,usirukeruke,
Hujajibu swali?
Watu gani ,hizo nchi ulizozitaja wanaongea Kitumbatu, Kikojani, Kimakunduchi, Ki Kiuyu?
Sijakuuliza zimezaliwa lini. Kiswahili kinakupiga chenga?Hizo lugha kitumbatu,kojani nk zimezaliwa lini!?
Tatizo lako u mpumbavu,uneng'ang'ana na hoja yako bila tafakuri juu ya unachoambiwa na mwenzio..ndiyo maana nilitaka ufikiri nanna gani lugha huzaliwa,nikidhani una elimu ya kujua lugha huzaliwa vipi,unadhani kitumbatu chako kilishuka toka mbinguni Kama taurati!?...ikiwa kiswahili Kuna kibantu,kiarabu,kizungu,kijerumani,kichina,kifarsi nk..unadhani kikojani kilishuka tu!?Sijakuuliza zimezaliwa lini. Kiswahili kinakupiga chenga?
Hujajibu swali?
Watu gani ,hizo nchi ulizozitaja wanaongea Kitumbatu, Kikojani, Kimakunduchi, Ki Kiuyu?
Tatizo lako u mpumbavu,uneng'ang'ana na hoja yako bila tafakuri juu ya unachoambiwa na mwenzio..ndiyo maana nilitaka ufikiri nanna gani lugha huzaliwa,nikidhani una elimu ya kujua lugha huzaliwa vipi,unadhani kitumbatu chako kilishuka toka mbinguni Kama taurati!?...ikiwa kiswahili Kuna kibantu,kiarabu,kizungu,kijerumani,kichina,kifarsi nk..unadhani kikojani kilishuka tu!?
Mumetoka kwenye Hoja ya msingiMimi ni mpumbavu , wewe mwenye akili jibu swali unaloulizwa,
Hujajibu swali?
Watu gani ,hizo nchi ulizozitaja wanaongea Kitumbatu, Kikojani, Kimakunduchi, Ki Kiuyu?