inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Bara wameongoza nchi kwa miaka 42,acha wazanzibar nao waongozeKwahiyo bara hakuna watu wenye sifa mpaka tuongozwe na wazanzibar pekee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bara wameongoza nchi kwa miaka 42,acha wazanzibar nao waongozeKwahiyo bara hakuna watu wenye sifa mpaka tuongozwe na wazanzibar pekee?
Viwanja malinyi mmemaliza!?Wa Zanzibar mnatamaa sana mnataka vyote ila sisi kununua hata kiwanja tu huko kwenu haturuhusiwi mmezoea kudekezwa eeh?
Mbona visiwani mpo pekee yenu na hatulalamiki?Bara wameongoza nchi kwa miaka 42,acha wazanzibar nao waongoze
Aktoka huyo mkumbukeni na KolimbaBaada yake nadhani Ridhiwani kikwete anafaa kuwa rais wa jmt
Unataka pengo afe kwa sononaSALAAM WAKUU.
Kwa jinsi bw: HUSSEIN ALLY MWINYI anavyoiongoza ZANZIBAR naona anafaa kabisa kuiongoza TANZANIA baada ya mama SAMIA.
AU WAKULUNGWA MNAONAJE?
Yaani Mataga mnakazi kweli,SALAAM WAKUU.
Kwa jinsi bw: HUSSEIN ALLY MWINYI anavyoiongoza ZANZIBAR naona anafaa kabisa kuiongoza TANZANIA baada ya mama SAMIA.
AU WAKULUNGWA MNAONAJE?
Kuongoza Tanzania siyo tanganyikaMbona visiwani mpo pekee yenu na hatulalamiki?
Ni zamu ya mkristoSALAAM WAKUU.
Kwa jinsi bw: HUSSEIN ALLY MWINYI anavyoiongoza ZANZIBAR naona anafaa kabisa kuiongoza TANZANIA baada ya mama SAMIA.
AU WAKULUNGWA MNAONAJE?
Tuanze na visiwaniKuongoza Tanzania siyo tanganyika
Visiwani ni nchiTuanze na visiwani
Hizo hesabu pigeni baada ya 2030SALAAM WAKUU.
Kwa jinsi bw: HUSSEIN ALLY MWINYI anavyoiongoza ZANZIBAR naona anafaa kabisa kuiongoza TANZANIA baada ya mama SAMIA.
AU WAKULUNGWA MNAONAJE?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Licha ya kuwa raisi , Hfai hata kuwa Mkuu wa mkoa wa DSM.
Amefeli ZNZ apema sana
Ameacha Miradi na mipango Mikubwa kama Bandari, Uvuvi na na Kuchimba Mafuta na Gesi inayoweza kuondoa nchi kwenye umasikini na kuongeza ajira kwa Taifa badlayake anashughulika kujenga Masoko ya Pili pilina Mbatata.
Huyu ni mwehu sana na amefeli miserably.
Msitake kuwatibua wananchi, hii nchi sio ya ukoo.Baada yake nadhani Ridhiwani kikwete anafaa kuwa rais wa jmt
Ni rare advantage kuwa na ukoo ambao una sifa za uongozi. Kwa hiyo ni upendelleo wa kipekee muno kujikuta kwenye nchi fulani muna ukoo ambao una sifaza uongoz. Watu ni wengi, binadamu si wengi kama walivyo watuNaona mmeifanya hii nchi ya ukoo wenu.
#MaendeleoHayanaChama
Zanzibar ungekuwa unaishi pekeako ungedanganya kirahisi; ila nasi tupo huko! Una maanisha nini kusema "ameacha miradi mikubwa kama bandari, uvuvi na kuchimba mafuta n gesi," wakati hivyo vitu ndiyo vinafanyika kwa kasi? Umeandika hisia za chuki siyo FACTS! Badilika.🙏🙏🙏Licha ya kuwa raisi , Hfai hata kuwa Mkuu wa mkoa wa DSM.
Amefeli ZNZ apema sana
Ameacha Miradi na mipango Mikubwa kama Bandari, Uvuvi na na Kuchimba Mafuta na Gesi inayoweza kuondoa nchi kwenye umasikini na kuongeza ajira kwa Taifa badlayake anashughulika kujenga Masoko ya Pili pilina Mbatata.
Huyu ni mwehu sana na amefeli miserably.
Mzanzibar ni yupi!?..baba yake si mzanzibar!?
Na baba ake aliwekwa kwa nguvu?
Zanzibar ungekuwa unaishi pekeako ungedanganya kirahisi; ila nasi tupo huko! Una maanisha nini kusema "ameacha miradi mikubwa kama bandari, uvuvi na khchimba mafuta n gesi," wakati hivyo vitu ndiyo vinafanyika kwa kasi? Umeandika hisia za chuki siyo FACTS! Badilika.🙏🙏🙏
Kwanini Ridhiwani na usiwe wewe, au wewe haufai kuwa Rais..Baada yake nadhani Ridhiwani kikwete anafaa kuwa rais wa jmt