Rais Dkt. Mwinyi anafaa kuwa Rais wa Tanzania
SALAAM WAKUU.

Kwa jinsi bw: HUSSEIN ALLY MWINYI anavyoiongoza ZANZIBAR naona anafaa kabisa kuiongoza TANZANIA baada ya mama SAMIA.

AU WAKULUNGWA MNAONAJE?
Licha ya kuwa raisi , Hfai hata kuwa Mkuu wa mkoa wa DSM.
Amefeli ZNZ apema sana
Ameacha Miradi na mipango Mikubwa kama Bandari, Uvuvi na na Kuchimba Mafuta na Gesi inayoweza kuondoa nchi kwenye umasikini na kuongeza ajira kwa Taifa badlayake anashughulika kujenga Masoko ya Pili pilina Mbatata.
Huyu ni mwehu sana na amefeli miserably.
 
Licha ya kuwa raisi , Hfai hata kuwa Mkuu wa mkoa wa DSM.
Amefeli ZNZ apema sana
Ameacha Miradi na mipango Mikubwa kama Bandari, Uvuvi na na Kuchimba Mafuta na Gesi inayoweza kuondoa nchi kwenye umasikini na kuongeza ajira kwa Taifa badlayake anashughulika kujenga Masoko ya Pili pilina Mbatata.
Huyu ni mwehu sana na amefeli miserably.
umesahau na kuuza visiwa , labda atawasaidia kuuza visiwa vya Tanganyika
 
SALAAM WAKUU.

Kwa jinsi bw: HUSSEIN ALLY MWINYI anavyoiongoza ZANZIBAR naona anafaa kabisa kuiongoza TANZANIA baada ya mama SAMIA.

AU WAKULUNGWA MNAONAJE?

Anafaa sana baada ya kuuza visiwa Zanzibar aje auze na tanganyika huko ardhi na visiwa ni vingi zaidi kuuza
 
SALAAM WAKUU.

Kwa jinsi bw: HUSSEIN ALLY MWINYI anavyoiongoza ZANZIBAR naona anafaa kabisa kuiongoza TANZANIA baada ya mama SAMIA.

AU WAKULUNGWA MNAONAJE?
Tupate KATIBA mpya kwanza,Maana Kwa Katiba hii iliyopo Hata ukimtelemsha MALAIKA, akikalia tu kile KITI anakuwa...........,..
 
Kwahiyo bara hakuna watu wenye sifa mpaka tuongozwe na wazanzibar pekee?
Mwinyi si mzanzibari ni kijana wa Mkuranga, Kwa mujibu wa Katiba na Sheria za uchaguzi hafai kuongoza zanzibar. Amewekwa kwa mabavu na Magufuli baada ya kuuwa na kutesa watu na kutia vilema watu
 
Mwinyi si mzanzibari ni kijana wa Mkuranga, Kwa mujibu wa Katiba na Sheria za uchaguzi hafai kuongoza zanzibar. Amewekwa kwa mabavu na Magufuli baada ya kuuwa na kutesa watu na kutia vilema watu
Na baba ake aliwekwa kwa nguvu?
 
Licha ya kuwa raisi , Hfai hata kuwa Mkuu wa mkoa wa DSM.
Amefeli ZNZ apema sana
Ameacha Miradi na mipango Mikubwa kama Bandari, Uvuvi na na Kuchimba Mafuta na Gesi inayoweza kuondoa nchi kwenye umasikini na kuongeza ajira kwa Taifa badlayake anashughulika kujenga Masoko ya Pili pilina Mbatata.
Huyu ni mwehu sana na amefeli miserably.
Kwamba serikali ya Zanzibar in uwezo wa kuwekeza kwenye mafuta na gesi!?
 
Mwinyi si mzanzibari ni kijana wa Mkuranga, Kwa mujibu wa Katiba na Sheria za uchaguzi hafai kuongoza zanzibar. Amewekwa kwa mabavu na Magufuli baada ya kuuwa na kutesa watu na kutia vilema watu
Mzanzibar ni yupi!?..baba yake si mzanzibar!?
 
Wa Zanzibar mnatamaa sana mnataka vyote ila sisi kununua hata kiwanja tu huko kwenu haturuhusiwi mmezoea kudekezwa eeh?
 
Back
Top Bottom