Rais Dkt. Mwinyi anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Imemshinda Zanzibar yenye wakaazi Mil moja atawezaje Jamhuri ya Muungano , tusihadaike na majina ya watoto wa viongizi wengine hawana uwezo wala maono ya uongozi
 
Naomba nikili Mimi ni mfuasi sanaaa wa utendaji kazi wa Rais wa Zanzibar hata kabla hajawa Rais wa Zanzibar tangu akiwa mbunge wa huko Pwani. Kwa maana ya Bara mpaka anakuwa Waziri hakika nilianza kumfatilia kitambo,

Jambo moja kubwa liliromshinda,kuliratibu vizuri akiwa Waziri wa Ulinzi ni kukomesha jeshi letu wa wananchi kuondoa ajira za undugulization hili lilimshinda kwa sababu nyingi ipo siku tutazitaja maana zipo wazi na tunaishi nazo kila uchwao.

Baada ya ndugu Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar Bado nimeendelea Tena nimezidisha mara tele kumfuatilia ninayoyaona ni majonzi. Rais Mwinyi amekuwa mwingi wa majonzi dhidi yale anayoyatamani ayafanye ila watumishi walio chini yake wanamkwamisha sana kwa sababu ya nature of Zanzibar they are very slow in decision making even hata wakiamua ni wazito kutenda.

Mwinyi anatamani Sasa apate majembe kutoka Bara kama akina Juma Aweso sidhani kama kuna kijana anayekimbia huku kama yeye,waende Zenji wamsadie kuwaamsha wazanzibar hakika lakini hata Rais Mwinyi anatakiwa kutambua ya kuwa exposure aliyonayo ni kwa sababu ya kufanya kazi Bara na kutumika ndani na nje ya Tanganyika.

Kimsingi ukimsikia Mwinyi utaona kabsa anatamani walau achukue wabara kadhaa awapeleke zenji wakawakimbize mchaka mchaka watumishi wa kule Ili waamke.

Je sheria inamruhusu? Nahisi kama anabanwa na vifungu hivyo vya Muungano Serikali ya Jamhuri ni chuo cha kupika wazenji wakae sawa ila walioko huko wengi wao huwaza rojo hata muda kunywa chai.

Mwinyi alifaa kuiongoza Bara jamhuri walah angekata kiu yake ya kutukimbiza mchakamchaka na Mwinyi angetawala baada ya Magufuli hasingediriki kuondoa mchaka mchaka kama ulivyoondolewa na Mama yetu akidhani ni tiba kumbe ni TOBO leo anajua anatamani arudishe kumbe too late watu washampiga vya kutosha wanasubiri afurukute wasepe maana mafao washajilipa.
 
Hii ni mada chonganishi! Wala haina heshima kwa viongozi wetu wakuu wa JMT na SMZ. 🙏🙏
 
Nyie midomo payu hapa tz aje rais wa aina yoyote kelele ni zile zile, kuanzia nyerere walitaka kumpindua, mwinyi mkapiga kelele hafai mlaini sana, mkapa fisadi kelele lungo, kikwete ndio hadi watoto wadogo wakawa wanamtukana, magufuli ndio balaa sasa ni samia atatoka atakuja mwingine mwendo ni huo huo. Ila kelele zote hizo ni kwamba mnakuwa mmeguswa maslahi yenu na wala si maslahi ya taifa. Poleni sana
Kipindi cha nyerere kulikuwa na maslahi gani???
 
Naomba nikili Mimi ni mfuasi sanaaa wa utendaji kazi wa Rais wa Zanzibar hata kabla hajawa Rais wa Zanzibar tangu akiwa mbunge wa huko Pwani. Kwa maana ya Bara mpaka anakuwa Waziri hakika nilianza kumfatilia kitambo,

Jambo moja kubwa liliromshinda,kuliratibu vizuri akiwa Waziri wa Ulinzi ni kukomesha jeshi letu wa wananchi kuondoa ajira za undugulization hili lilimshinda kwa sababu nyingi ipo siku tutazitaja maana zipo wazi na tunaishi nazo kila uchwao.

Baada ya ndugu Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar Bado nimeendelea Tena nimezidisha mara tele kumfuatilia ninayoyaona ni majonzi. Rais Mwinyi amekuwa mwingi wa majonzi dhidi yale anayoyatamani ayafanye ila watumishi walio chini yake wanamkwamisha sana kwa sababu ya nature of Zanzibar they are very slow in decision making even hata wakiamua ni wazito kutenda.

Mwinyi anatamani Sasa apate majembe kutoka Bara kama akina Juma Aweso sidhani kama kuna kijana anayekimbia huku kama yeye,waende Zenji wamsadie kuwaamsha wazanzibar hakika lakini hata Rais Mwinyi anatakiwa kutambua ya kuwa exposure aliyonayo ni kwa sababu ya kufanya kazi Bara na kutumika ndani na nje ya Tanganyika.

Kimsingi ukimsikia Mwinyi utaona kabsa anatamani walau achukue wabara kadhaa awapeleke zenji wakawakimbize mchaka mchaka watumishi wa kule Ili waamke.

Je sheria inamruhusu? Nahisi kama anabanwa na vifungu hivyo vya Muungano Serikali ya Jamhuri ni chuo cha kupika wazenji wakae sawa ila walioko huko wengi wao huwaza rojo hata muda kunywa chai.

Mwinyi alifaa kuiongoza Bara jamhuri walah angekata kiu yake ya kutukimbiza mchakamchaka na Mwinyi angetawala baada ya Magufuli hasingediriki kuondoa mchaka mchaka kama ulivyoondolewa na Mama yetu akidhani ni tiba kumbe ni TOBO leo anajua anatamani arudishe kumbe too late watu washampiga vya kutosha wanasubiri afurukute wasepe maana mafao washajilipa.
Point 100%
 
Watanzania watu wa ajabu sana, unataka uungiwe umeme kwa elfu 27..gari ya Tanesco iwekwe mafuta, wafanyakazi walipwe na wewe utoe elfu 27..
Hivi ile remote feeder ya units yenyewe tu pesa ngapi?
Na hapo hutaki kusikia deni la taifa linaongezeka..

Machinga anachukua bidhaa anaenda kuuzia mbele ya fremu ya mtu, halipii fremu, halipi VAT, halipi leseni, halipi usafi, halipi Zimamoto, hana bili ya umeme wala maji..na wewe unaona sawa tu hiyo hali iendelee..
Ifike mahali tuwe serious tunataka nini..

Zanzibar wameshusha umeme mpaka laki mbili kwa wale wasio na nguzo na bado unafanya comparison na elfu 27??
Hivi Zanzibar ina watu wangapi?? Kimsingi yote ilipaswa kuwa na umeme toka enzi za Sultan
Wewe umeona wapi? Ulipie vitu vyote hivyo halafu mwisho wa siku vinakuwa mali yao? Yaani ni malipo kandamizi.
Elfu 27 inatosha kabisa kwa sababu hawawezi kutuuzia vifaa halafu viwe vyao. After all tunakuja kulipia umeme kwa miaka 100 vijukuu na vitukuu. Ni kama vile kampuni za simu zinagharamika kutengeneza line za simu (chip) lengo likiwa ni kupata wateja lukuki bila kujali gharama halisi, unanunua line kwa 1,000, siyo gharama halisi, wangeweza kutuuzia kwa 20,000 lkn wanajua wasingekuza client base, watakuja kufaidi pale unapoweka bando, unapopiga simu, sms, vifurushi mbalimbali, hapo hatujazungumzia makato ya mobile money, internet banking etc.
Utafikiri hatuna watu wa uchumi!
 
Back
Top Bottom