Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hapo sasaUmejulia wapi hili? Mjomba
Qualification ya uraisi wa JMT ume ishusha kwa kiasi hicho, kweli?
Kosa la mwendazake ni kuacha kumteua huyu kijana kuwa makamu
Tena kosa la kustahili kufaKwakweli hapo alifanya kosa kubwa sana.
Tena kosa la kustahili kufa
Safi sana Rais MwinyiTayari amepiga marufuku wananchi kuuziwa nguzoView attachment 2112316
Namkubali sana Mwinyi. Apewe Uraisi wa JMT 2025, Mama aende Zanzibar (wabadilishane)
Kipindi cha nyerere kulikuwa na maslahi gani???Nyie midomo payu hapa tz aje rais wa aina yoyote kelele ni zile zile, kuanzia nyerere walitaka kumpindua, mwinyi mkapiga kelele hafai mlaini sana, mkapa fisadi kelele lungo, kikwete ndio hadi watoto wadogo wakawa wanamtukana, magufuli ndio balaa sasa ni samia atatoka atakuja mwingine mwendo ni huo huo. Ila kelele zote hizo ni kwamba mnakuwa mmeguswa maslahi yenu na wala si maslahi ya taifa. Poleni sana
Point 100%Naomba nikili Mimi ni mfuasi sanaaa wa utendaji kazi wa Rais wa Zanzibar hata kabla hajawa Rais wa Zanzibar tangu akiwa mbunge wa huko Pwani. Kwa maana ya Bara mpaka anakuwa Waziri hakika nilianza kumfatilia kitambo,
Jambo moja kubwa liliromshinda,kuliratibu vizuri akiwa Waziri wa Ulinzi ni kukomesha jeshi letu wa wananchi kuondoa ajira za undugulization hili lilimshinda kwa sababu nyingi ipo siku tutazitaja maana zipo wazi na tunaishi nazo kila uchwao.
Baada ya ndugu Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar Bado nimeendelea Tena nimezidisha mara tele kumfuatilia ninayoyaona ni majonzi. Rais Mwinyi amekuwa mwingi wa majonzi dhidi yale anayoyatamani ayafanye ila watumishi walio chini yake wanamkwamisha sana kwa sababu ya nature of Zanzibar they are very slow in decision making even hata wakiamua ni wazito kutenda.
Mwinyi anatamani Sasa apate majembe kutoka Bara kama akina Juma Aweso sidhani kama kuna kijana anayekimbia huku kama yeye,waende Zenji wamsadie kuwaamsha wazanzibar hakika lakini hata Rais Mwinyi anatakiwa kutambua ya kuwa exposure aliyonayo ni kwa sababu ya kufanya kazi Bara na kutumika ndani na nje ya Tanganyika.
Kimsingi ukimsikia Mwinyi utaona kabsa anatamani walau achukue wabara kadhaa awapeleke zenji wakawakimbize mchaka mchaka watumishi wa kule Ili waamke.
Je sheria inamruhusu? Nahisi kama anabanwa na vifungu hivyo vya Muungano Serikali ya Jamhuri ni chuo cha kupika wazenji wakae sawa ila walioko huko wengi wao huwaza rojo hata muda kunywa chai.
Mwinyi alifaa kuiongoza Bara jamhuri walah angekata kiu yake ya kutukimbiza mchakamchaka na Mwinyi angetawala baada ya Magufuli hasingediriki kuondoa mchaka mchaka kama ulivyoondolewa na Mama yetu akidhani ni tiba kumbe ni TOBO leo anajua anatamani arudishe kumbe too late watu washampiga vya kutosha wanasubiri afurukute wasepe maana mafao washajilipa.
Umesahau j.p.m alisema yeye alimpendekeza mwinyi ndo awe mgombea mwenza ila kamati ikaona awe saruruKosa la mwendazake ni kuacha kumteua huyu kijana kuwa makamu
Wewe umeona wapi? Ulipie vitu vyote hivyo halafu mwisho wa siku vinakuwa mali yao? Yaani ni malipo kandamizi.Watanzania watu wa ajabu sana, unataka uungiwe umeme kwa elfu 27..gari ya Tanesco iwekwe mafuta, wafanyakazi walipwe na wewe utoe elfu 27..
Hivi ile remote feeder ya units yenyewe tu pesa ngapi?
Na hapo hutaki kusikia deni la taifa linaongezeka..
Machinga anachukua bidhaa anaenda kuuzia mbele ya fremu ya mtu, halipii fremu, halipi VAT, halipi leseni, halipi usafi, halipi Zimamoto, hana bili ya umeme wala maji..na wewe unaona sawa tu hiyo hali iendelee..
Ifike mahali tuwe serious tunataka nini..
Zanzibar wameshusha umeme mpaka laki mbili kwa wale wasio na nguzo na bado unafanya comparison na elfu 27??
Hivi Zanzibar ina watu wangapi?? Kimsingi yote ilipaswa kuwa na umeme toka enzi za Sultan
Naona mmeifanya hii nchi ya ukoo wenu.SALAAM WAKUU.
Kwa jinsi bw: HUSSEIN ALLY MWINYI anavyoiongoza ZANZIBAR naona anafaa kabisa kuiongoza TANZANIA baada ya mama SAMIA.
AU WAKULUNGWA MNAONAJE?
No. Nape anafaa kuwa arais wa nchi hii ili awanyooshe sukuma gangSALAAM WAKUU.
Kwa jinsi bw: HUSSEIN ALLY MWINYI anavyoiongoza ZANZIBAR naona anafaa kabisa kuiongoza TANZANIA baada ya mama SAMIA.
AU WAKULUNGWA MNAONAJE?