Rais Dkt. Mwinyi anafaa kuwa Rais wa Tanzania
1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ,upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.

2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi ameshusha gharama ya kuunga umeme mpaka laki 2 tu kwa mtu ambaye hana nguzo.

My take.
1. Smartphone zimeondolewa VAT ili zishuke bei na watanzania wengi wanunue na serikali ikate tozo, kwa nini wasishushe bei ya kuunga umeme ili wakate tozo pia?

2. Serikali inatoa elimu bure kwa nini umeme ishindwe?

3. Serikali inatoa mikopo vyuo vikuu?
4. Serikali inakusanya kodi ya majengo kupitia Luku.
Hiyo serikali imewezaje yote hayo alafu ishindwe kushusha bei ya kuunga umeme?
Rais Hussein Mwinyi kawa waziri wa Naibu waziri enzi ya Mkapa
Waziri wa Muungano enzi ya JK
Waziri wa Ulinzi enzi ya JK
Waziri wa Afya enzi ya JK
Waziri wa Ulinzi tena enzi ya JPM

Kwa maelezo ya JPM wakati ameteuliwa na Mkutano Mkuu CCM 2020, alisema chaguo lake la mgombea mwenza alikuwa Dr. Hussein Mwinyi, isipokuwa "akashauriwa" aende na SSH.
Kwa maelezo yale, kama hili la March 17, 2021 lingetokea basi Hussein Mwinyi angeapishwa tar 19 March na sasa angekuwa mkazi wa magogoni au chamwino.

Hata hivyo kwa kuwa SSH tunae na anakusudia kuliungisha mpaka 2030, kule Zenji Dr. Mwinyi nae tenure yake ya pili itakuwa inakoma na kwa uzoefu wa miaka 10 ya urais wa Zbar, he can make a very good and experienced president kuliko wote waliowahi kutokea.

Tuombene heri, ila yale mafigisu, zengwe na uchawi yanayosewa yasikatishe tamaa watu wenye uwezo mzuri na upeo mkubwa wa uongozi ili waweze kutuongoza na kukusanya kodi zetu na kuongeza chachu ya shughuli za kimaendeleo.

Ijumaa kareem
 
China hawana hilo lakini wana Rais wa wengi
Rais wa China sio wa wengi anatokana na chama cha kikomunisti cha China chenye wanachama milioni 95 tu wakati China ina watu bilioni 1.3. Huwezi kuwa na Rais wa wengi bila sanduku la kura linalohusisha watu wote angalau wenye kuanzia miaka 18 na kusimamiwa na tume huru ya uchaguzi.
 
1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ,upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.

2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi ameshusha gharama ya kuunga umeme mpaka laki 2 tu kwa mtu ambaye hana nguzo.

My take.
1. Smartphone zimeondolewa VAT ili zishuke bei na watanzania wengi wanunue na serikali ikate tozo, kwa nini wasishushe bei ya kuunga umeme ili wakate tozo pia?

2. Serikali inatoa elimu bure kwa nini umeme ishindwe?

3. Serikali inatoa mikopo vyuo vikuu?
4. Serikali inakusanya kodi ya majengo kupitia Luku.
Hiyo serikali imewezaje yote hayo alafu ishindwe kushusha bei ya kuunga umeme?
Kama unamkubali sana waambie chama chako akimaliza kutawala miaka 10 Zanzibar aje kutawala miaka 10 Tanzania.
 
Nawashangaa hoja zinazoletwa humu ambazo zinakuwa very shallow and short sightedness indeed. Qualifications za Urais sio kushusha bei ya kuunga umeme tu. We have to be realistic in things with impact in our economy or economy of TANESCO. Tutayauwa haya mashirika ya umma. Vitu vingine vifanyike kwa uhalisia sio kisiasa hata kidogo. Kweli tulilishwa matango pori mengi na mwendazake tokea ujenzi, mnunuzi, Covid, na hata ustawi wa mashirika yetu. Kila kitu kilikuwa siasa zenye mrengo wa kujinufaisha kisiasa na wala sio uhalisia wa kiuchumi it was very wrong.
 
Nyie midomo payu hapa tz aje rais wa aina yoyote kelele ni zile zile, kuanzia nyerere walitaka kumpindua, mwinyi mkapiga kelele hafai mlaini sana, mkapa fisadi kelele lungo, kikwete ndio hadi watoto wadogo wakawa wanamtukana, magufuli ndio balaa sasa ni samia atatoka atakuja mwingine mwendo ni huo huo. Ila kelele zote hizo ni kwamba mnakuwa mmeguswa maslahi yenu na wala si maslahi ya taifa. Poleni sana
Tunasubiri siku atakayoshuka malaika kuja kutawala. Na hata hivyo tutaendelea kulalamika tu.
 
Rais Hussein Mwinyi kawa waziri wa Naibu waziri enzi ya Mkapa
Waziri wa Muungano enzi ya JK
Waziri wa Ulinzi enzi ya JK
Waziri wa Afya enzi ya JK
Waziri wa Ulinzi tena enzi ya JPM

Kwa maelezo ya JPM wakati ameteuliwa na Mkutano Mkuu CCM 2020, alisema chaguo lake la mgombea mwenza alikuwa Dr. Hussein Mwinyi, isipokuwa "akashauriwa" aende na SSH.
Kwa maelezo yale, kama hili la March 17, 2021 lingetokea basi Hussein Mwinyi angeapishwa tar 19 March na sasa angekuwa mkazi wa magogoni au chamwino.

Hata hivyo kwa kuwa SSH tunae na anakusudia kuliungisha mpaka 2030, kule Zenji Dr. Mwinyi nae tenure yake ya pili itakuwa inakoma na kwa uzoefu wa miaka 10 ya urais wa Zbar, he can make a very good and experienced president kuliko wote waliowahi kutokea.

Tuombene heri, ila yale mafigisu, zengwe na uchawi yanayosewa yasikatishe tamaa watu wenye uwezo mzuri na upeo mkubwa wa uongozi ili waweze kutuongoza na kukusanya kodi zetu na kuongeza chachu ya shughuli za kimaendeleo.

Ijumaa kareem
Umenena vyema sana
 
Nawashangaa hoja zinazoletwa humu ambazo zinakuwa very shallow and short sightedness indeed. Qualifications za Urais sio kushusha bei ya kuunga umeme tu. We have to be realistic in things with impact in our economy or economy of TANESCO. Tutayauwa haya mashirika ya umma. Vitu vingine vifanyike kwa uhalisia sio kisiasa hata kidogo. Kweli tulilishwa matango pori mengi na mwendazake tokea ujenzi, mnunuzi, Covid, na hata ustawi wa mashirika yetu. Kila kitu kilikuwa siasa zenye mrengo wa kujinufaisha kisiasa na wala sio uhalisia wa kiuchumi it was very wrong.
Who care about covid now? Au mwenzetu umejifungia?

Unajua kwenye utawala wa JPM TANESCO wamefungia umeme watu wangapi?unajua TANESCO since then wanakusanya shs ngapi kwa mwezi?
 
Tunasubiri siku atakayoshuka malaika kuja kutawala. Na hata hivyo tutaendelea kulalamika tu.

Ndio kawaida yetu sisi binadamu katika dini yetu sisi waislam inaonesha pia watu walikuwa wakiwakataa mitume na manabii kwa style hii hii
 
Rais wa China sio wa wengi anatokana na chama cha kikomunisti cha China chenye wanachama milioni 95 tu wakati China ina watu bilioni 1.3. Huwezi kuwa na Rais wa wengi bila sanduku la kura linalohusisha watu wote angalau wenye kuanzia miaka 18 na kusimamiwa na tume huru ya uchaguzi.
Ulishawahi kuona Rais wa China anahangaika kujaza tumbo lake?
 
Ikiwa wakati wa baba yake Loliondo ilizwa kwa waarabu kwa mkataba wa kijinga kabisa, Mzee alijimilikisha mali za umma, Ikulu ikageuzwa pango la walanguzi na wala rushwa na wakaigeuza sebule, n.k...kwa mwanae ndiyo itakuwa balaa kubwa!

Hana kabisa sifa za kuwa kiuongozi, kabebwa tu kama anavyotaka kubebwa Rizmoja!!
Asante mkuu....
Na wakumbuke pia kuwa wakati lile dege la kijeshi la Qatar linaingia nchini kinyemela na 'kuiba' wanyama hai 103 (?) na nyara nyingine za serikali, huyo mtu wao ndiye alikuwa waziri wa ulinzi!
Na hakuwajibika kwa namna yoyote.....
 
1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ,upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.

2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi ameshusha gharama ya kuunga umeme mpaka laki 2 tu kwa mtu ambaye hana nguzo.

My take.
1. Smartphone zimeondolewa VAT ili zishuke bei na watanzania wengi wanunue na serikali ikate tozo, kwa nini wasishushe bei ya kuunga umeme ili wakate tozo pia?

2. Serikali inatoa elimu bure kwa nini umeme ishindwe?

3. Serikali inatoa mikopo vyuo vikuu?
4. Serikali inakusanya kodi ya majengo kupitia Luku.
Hiyo serikali imewezaje yote hayo alafu ishindwe kushusha bei ya kuunga umeme?
Kabisa kabisaaaa

Ila ndo haiwezekani tena
 
1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ,upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.

2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi ameshusha gharama ya kuunga umeme mpaka laki 2 tu kwa mtu ambaye hana nguzo.

My take.
1. Smartphone zimeondolewa VAT ili zishuke bei na watanzania wengi wanunue na serikali ikate tozo, kwa nini wasishushe bei ya kuunga umeme ili wakate tozo pia?

2. Serikali inatoa elimu bure kwa nini umeme ishindwe?

3. Serikali inatoa mikopo vyuo vikuu?
4. Serikali inakusanya kodi ya majengo kupitia Luku.
Hiyo serikali imewezaje yote hayo alafu ishindwe kushusha bei ya kuunga umeme?
Ataachaje kufanya hivyo angali nasikia sikia walipewa Bilionee za koviifidii
 
Ulishawahi kuona Rais wa China anahangaika kujaza tumbo lake?
Nchi nyingi kusini mwa jangwa na sahara, ruksa kujimegea kwa kadri ya urefu wa kamba, ila tahadhari imetolewa "wasivimbiwe". Bila shaka ndani ya muda mfupi watu wamejimegea "mapande makubwa ya minofu"
 
Nchi nyingi kusini mwa jangwa na sahara, ruksa kujimegea kwa kadri ya urefu wa kamba, ila tahadhari imetolewa "wasivimbiwe". Bila shaka ndani ya muda mfupi watu wamejimegea "mapande makubwa ya minofu"
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mapato ya bara si ndio yanapelekwa uko Mwanakwerekwe kuleta maendeleo kwahyo zenji lazima kuwe Kama Dubai.
 
Back
Top Bottom