Rais Dkt. Mwinyi anafaa kuwa Rais wa Tanzania
1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ,upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.

2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi ameshusha gharama ya kuunga umeme mpaka laki 2 tu kwa mtu ambaye hana nguzo.

My take.
1. Smartphone zimeondolewa VAT ili zishuke bei na watanzania wengi wanunue na serikali ikate tozo, kwa nini wasishushe bei ya kuunga umeme ili wakate tozo pia?

2. Serikali inatoa elimu bure kwa nini umeme ishindwe?

3. Serikali inatoa mikopo vyuo vikuu?
4. Serikali inakusanya kodi ya majengo kupitia Luku.
Hiyo serikali imewezaje yote hayo alafu ishindwe kushusha bei ya kuunga umeme?
Naunga mkono hoja.
 
1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ,upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.

2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi ameshusha gharama ya kuunga umeme mpaka laki 2 tu kwa mtu ambaye hana nguzo.

My take.
1. Smartphone zimeondolewa VAT ili zishuke bei na watanzania wengi wanunue na serikali ikate tozo, kwa nini wasishushe bei ya kuunga umeme ili wakate tozo pia?

2. Serikali inatoa elimu bure kwa nini umeme ishindwe?

3. Serikali inatoa mikopo vyuo vikuu?
4. Serikali inakusanya kodi ya majengo kupitia Luku.
Hiyo serikali imewezaje yote hayo alafu ishindwe kushusha bei ya kuunga umeme?
Kwa hiyo Rais akitoa vitambulisho tu ndiyo anakuwa Rais mzuri? Hebu kuwa serious. Kuna Mambo mengi na mhimu kuliko hata machinga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2296]
Mambo ni mengi Pep
Afghanistan mnamuonea, alishasema huwa anapenda kuchungulia mitandaoni,

Afghanistan kutumia simu ni only 7 hrs tu kwa siku, ataupigaje mwingi sasa?
 
1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ,upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.

2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi ameshusha gharama ya kuunga umeme mpaka laki 2 tu kwa mtu ambaye hana nguzo.

My take.
1. Smartphone zimeondolewa VAT ili zishuke bei na watanzania wengi wanunue na serikali ikate tozo, kwa nini wasishushe bei ya kuunga umeme ili wakate tozo pia?

2. Serikali inatoa elimu bure kwa nini umeme ishindwe?

3. Serikali inatoa mikopo vyuo vikuu?
4. Serikali inakusanya kodi ya majengo kupitia Luku.
Hiyo serikali imewezaje yote hayo alafu ishindwe kushusha bei ya kuunga umeme?
Wewe acha upotoshaji wa kijinga,hakuna machinga wanaofukuzwa,wanafukuzwa waende wapi? Wamachinga wanapangwa.vizuri wasiwe KERO Wala uchafu wa kuathiri shughuli zingine.

Namba 3 na 4 vimeigwa kutoka Bara.

Namba moja serikali ilishafuta au kushusha gharama za smartphone ila kwa kuwa.mda.wote unawaza Mbowe huwezi jua hili.

Kuhusu kushusha umeme , serikali sio tuu ilishusha umeme via REA bali ilisambaza Vijijini, unfortunately muitikio umekuwa mdogo Sana kiasi kwamba matarajio hayakufikiwa hivyo kuwa mzigo kwa Tanesco.

Kwa Sasa accessibility ya umeme ni kubwa ila connectivity ni ndogo Sana,licha ya kuweka sh.27,000 Huko Vijijini lakini kijiji kizima unakuta walio na umeme hawafiki 10..

Hivi hivi ukileta Mjini pia bado connectivity itakuwa ndogo hivyo Tanesco kubeba mzigo mkubwa,ni heri uwe na watu wachache ambao watalipa kibiashara inaleta tija kuliko kuwa na watu wengi ambao ni hasara.
 
Wewe acha upotoshaji wa kijinga,hakuna machinga wanaofukuzwa,wanafukuzwa waende wapi? Wamachinga wanapangwa.vizuri wasiwe KERO Wala uchafu wa kuathiri shughuli zingine.

Namba 3 na 4 vimeigwa kutoka Bara.

Namba moja serikali ilishafuta au kushusha gharama za smartphone ila kwa kuwa.mda.wote unawaza Mbowe huwezi jua hili.

Kuhusu kushusha umeme , serikali sio tuu ilishusha umeme via REA bali ilisambaza Vijijini, unfortunately muitikio umekuwa mdogo Sana kiasi kwamba matarajio hayakufikiwa hivyo kuwa mzigo kwa Tanesco.

Kwa Sasa accessibility ya umeme ni kubwa ila connectivity ni ndogo Sana,licha ya kuweka sh.27,000 Huko Vijijini lakini kijiji kizima unakuta walio na umeme hawafiki 10..

Hivi hivi ukileta Mjini pia bado connectivity itakuwa ndogo hivyo Tanesco kubeba mzigo mkubwa,ni heri uwe na watu wachache ambao watalipa kibiashara inaleta tija kuliko kuwa na watu wengi ambao ni hasara.
Unatetea ujinga na wewe ni mjinga
 
Unatetea ujinga na wewe ni mjinga
Wewe ndio mjinga mkubwa,nakuelimisha huelewi unakomaa na upuuzi wako tuu.

Screenshot_20220114-130538.png
 
Watanzania watu wa ajabu sana, unataka uungiwe umeme kwa elfu 27..gari ya Tanesco iwekwe mafuta, wafanyakazi walipwe na wewe utoe elfu 27..
Hivi ile remote feeder ya units yenyewe tu pesa ngapi?
Unashabikia upumbavu mwamba! Unafikri wafanyakazi wa TANESCO wanalipwa kutokana na hela ya kuunganisha umeme? Akili matope kabisa hii! Hivi unajua hiyo 27k ilikuwa mradi wa REA? Ambako Kuna hela inayokusanywa kutokana na manunuzi ya umeme wa LUKU!
 
Unashabikia upumbavu mwamba! Unafikri wafanyakazi wa TANESCO wanalipwa kutokana na hela ya kuunganisha umeme? Akili matope kabisa hii! Hivi unajua hiyo 27k ilikuwa mradi wa REA? Ambako Kuna hela inayokusanywa kutokana na manunuzi ya umeme wa LUKU!
Hajui kitu huyo jamaa
 
1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ,upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.

2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi ameshusha gharama ya kuunga umeme mpaka laki 2 tu kwa mtu ambaye hana nguzo.

My take.
1. Smartphone zimeondolewa VAT ili zishuke bei na watanzania wengi wanunue na serikali ikate tozo, kwa nini wasishushe bei ya kuunga umeme ili wakate tozo pia?

2. Serikali inatoa elimu bure kwa nini umeme ishindwe?

3. Serikali inatoa mikopo vyuo vikuu?
4. Serikali inakusanya kodi ya majengo kupitia Luku.
Hiyo serikali imewezaje yote hayo alafu ishindwe kushusha bei ya kuunga umeme?
Zanzibar saiv wana maraisi wa 2

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ,upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.

2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi ameshusha gharama ya kuunga umeme mpaka laki 2 tu kwa mtu ambaye hana nguzo.

My take.
1. Smartphone zimeondolewa VAT ili zishuke bei na watanzania wengi wanunue na serikali ikate tozo, kwa nini wasishushe bei ya kuunga umeme ili wakate tozo pia?

2. Serikali inatoa elimu bure kwa nini umeme ishindwe?

3. Serikali inatoa mikopo vyuo vikuu?
4. Serikali inakusanya kodi ya majengo kupitia Luku.
Hiyo serikali imewezaje yote hayo alafu ishindwe kushusha bei ya kuunga umeme?

Mimi kwakweli wote nawaona perfect SAMIA and MWINYI) hapa tumepata presidents, we are so proud kamanda
 
Back
Top Bottom