Rais Dkt. Samia atangaza ofa ya kuiona Taifa Stars bure dhidi ya Guinea

Rais Dkt. Samia atangaza ofa ya kuiona Taifa Stars bure dhidi ya Guinea

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza ofa ya kipekee kwa watanzania kuiona mechi ya timu ya taifa, Taifa Stars, bila malipo. Ofa hii inalenga kuongeza hamasa kwa wapenzi wa soka nchini katika kipindi hiki kigumu baada ya tukio la kusikitisha la kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo.

Soma: Mwana FA: Ushindi wa Taifa Stars ni maalum kwa Rais Dkt. Samia Suluhu

Kwa upande wake, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeungana na Rais kutoa pole kwa waathirika wa tukio hilo pamoja na familia za waliopoteza maisha. Taarifa hiyo imetolewa na Afisa Habari wa TFF, Cliford Marion Dimbo, akibainisha kuwa Shirikisho limeguswa sana na tukio hilo na linaendelea kusimama pamoja na watanzania wote wakati huu wa majonzi.

Wakati taifa likiendelea kuomboleza, hatua hizi zimeonekana kuwa faraja kwa wapenzi wa soka na wananchi kwa ujumla.

 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza ofa ya kipekee kwa watanzania kuiona mechi ya timu ya taifa, Taifa Stars, bila malipo. Ofa hii inalenga kuongeza hamasa kwa wapenzi wa soka nchini katika kipindi hiki kigumu baada ya tukio la kusikitisha la kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo.

Soma: Mwana FA: Ushindi wa Taifa Stars ni maalum kwa Rais Dkt. Samia Suluhu

Kwa upande wake, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeungana na Rais kutoa pole kwa waathirika wa tukio hilo pamoja na familia za waliopoteza maisha. Taarifa hiyo imetolewa na Afisa Habari wa TFF, Cliford Marion Dimbo, akibainisha kuwa Shirikisho limeguswa sana na tukio hilo na linaendelea kusimama pamoja na watanzania wote wakati huu wa majonzi.

Wakati taifa likiendelea kuomboleza, hatua hizi zimeonekana kuwa faraja kwa wapenzi wa soka na wananchi kwa ujumla.

Hapa sasa tunaenda kuipoteza timu na vitu vya bure.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza ofa ya kipekee kwa watanzania kuiona mechi ya timu ya taifa, Taifa Stars, bila malipo. Ofa hii inalenga kuongeza hamasa kwa wapenzi wa soka nchini katika kipindi hiki kigumu baada ya tukio la kusikitisha la kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo.

Soma: Mwana FA: Ushindi wa Taifa Stars ni maalum kwa Rais Dkt. Samia Suluhu

Kwa upande wake, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeungana na Rais kutoa pole kwa waathirika wa tukio hilo pamoja na familia za waliopoteza maisha. Taarifa hiyo imetolewa na Afisa Habari wa TFF, Cliford Marion Dimbo, akibainisha kuwa Shirikisho limeguswa sana na tukio hilo na linaendelea kusimama pamoja na watanzania wote wakati huu wa majonzi.

Wakati taifa likiendelea kuomboleza, hatua hizi zimeonekana kuwa faraja kwa wapenzi wa soka na wananchi kwa ujumla.

Wakati watanzania wanahangaika kuokoa raia walionasa chini ya kifusi, bibi yenu anatangaza ofa za kuona mpira? Nchi hii inajiongoza yenyewe.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza ofa ya kipekee kwa watanzania kuiona mechi ya timu ya taifa, Taifa Stars, bila malipo. Ofa hii inalenga kuongeza hamasa kwa wapenzi wa soka nchini katika kipindi hiki kigumu baada ya tukio la kusikitisha la kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo.

Soma: Mwana FA: Ushindi wa Taifa Stars ni maalum kwa Rais Dkt. Samia Suluhu

Kwa upande wake, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeungana na Rais kutoa pole kwa waathirika wa tukio hilo pamoja na familia za waliopoteza maisha. Taarifa hiyo imetolewa na Afisa Habari wa TFF, Cliford Marion Dimbo, akibainisha kuwa Shirikisho limeguswa sana na tukio hilo na linaendelea kusimama pamoja na watanzania wote wakati huu wa majonzi.

Wakati taifa likiendelea kuomboleza, hatua hizi zimeonekana kuwa faraja kwa wapenzi wa soka na wananchi kwa ujumla.

Akili zenu zina akili kweli? Yaani siku ya 3 watu wamenasa kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka hawajaokolewa lakini nyie mko busy kupiga blah blah za Taifa stars. Huo mpira wenu wa kisiasa na uhai wa watanzania walionasa kwenye vifusi lipi bora? Crocodile madonna!
 
Baba Jeni Bai ao
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza ofa ya kipekee kwa watanzania kuiona mechi ya timu ya taifa, Taifa Stars, bila malipo. Ofa hii inalenga kuongeza hamasa kwa wapenzi wa soka nchini katika kipindi hiki kigumu baada ya tukio la kusikitisha la kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo.

Soma: Mwana FA: Ushindi wa Taifa Stars ni maalum kwa Rais Dkt. Samia Suluhu

Kwa upande wake, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeungana na Rais kutoa pole kwa waathirika wa tukio hilo pamoja na familia za waliopoteza maisha. Taarifa hiyo imetolewa na Afisa Habari wa TFF, Cliford Marion Dimbo, akibainisha kuwa Shirikisho limeguswa sana na tukio hilo na linaendelea kusimama pamoja na watanzania wote wakati huu wa majonzi.

Wakati taifa likiendelea kuomboleza, hatua hizi zimeonekana kuwa faraja kwa wapenzi wa soka na wananchi kwa ujumla.

Baba Jeni Bai Bai. Angeacha watTZ waende kivyao Kwa kulipa.
 
Siasa

Gundu tayari subilini kichapo sasa

Mnaenda kujazana uwanjani piga sana makelele, mwisho wa mchezo anapewa sifa na shukurani mtu yupo kwa akina Neymar
 
Back
Top Bottom