Rais Dkt. Samia atangaza ofa ya kuiona Taifa Stars bure dhidi ya Guinea

Rais Dkt. Samia atangaza ofa ya kuiona Taifa Stars bure dhidi ya Guinea

Wanasiasa wakianza kutia mikono tu, mara nyingi huwa hatutoboi
 
Okoeni watu kariakoo kwanza, kwenye ujinga pesa ipo kwenye mambo ya maana mnataka wananchi tuwachangie
 
Hii inasaidia nini sasa! Naombea wale magoli ya kutosha.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza ofa ya kipekee kwa watanzania kuiona mechi ya timu ya taifa, Taifa Stars, bila malipo. Ofa hii inalenga kuongeza hamasa kwa wapenzi wa soka nchini katika kipindi hiki kigumu baada ya tukio la kusikitisha la kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo.

Soma: Mwana FA: Ushindi wa Taifa Stars ni maalum kwa Rais Dkt. Samia Suluhu

Kwa upande wake, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeungana na Rais kutoa pole kwa waathirika wa tukio hilo pamoja na familia za waliopoteza maisha. Taarifa hiyo imetolewa na Afisa Habari wa TFF, Cliford Marion Dimbo, akibainisha kuwa Shirikisho limeguswa sana na tukio hilo na linaendelea kusimama pamoja na watanzania wote wakati huu wa majonzi.

Wakati taifa likiendelea kuomboleza, hatua hizi zimeonekana kuwa faraja kwa wapenzi wa soka na wananchi kwa ujumla.

Sawa. Tukajae uwanjani sasa.
 
Watu walishalipiwa waende tu tena hadi nauli mmeshalipiwa panda daradara kutoka mvuti,msongola mbande kisewe wewe sema mama ameshalipa.
We zama ndani .
 
We are the third world not because the sun rises on the West and sets in the East, but because we have engaged the reverse gear and we are moving with jet like speed in the wrong direction...😑
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza ofa ya kipekee kwa watanzania kuiona mechi ya timu ya taifa, Taifa Stars, bila malipo. Ofa hii inalenga kuongeza hamasa kwa wapenzi wa soka nchini katika kipindi hiki kigumu baada ya tukio la kusikitisha la kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo.

Soma: Mwana FA: Ushindi wa Taifa Stars ni maalum kwa Rais Dkt. Samia Suluhu

Kwa upande wake, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeungana na Rais kutoa pole kwa waathirika wa tukio hilo pamoja na familia za waliopoteza maisha. Taarifa hiyo imetolewa na Afisa Habari wa TFF, Cliford Marion Dimbo, akibainisha kuwa Shirikisho limeguswa sana na tukio hilo na linaendelea kusimama pamoja na watanzania wote wakati huu wa majonzi.

Wakati taifa likiendelea kuomboleza, hatua hizi zimeonekana kuwa faraja kwa wapenzi wa soka na wananchi kwa ujumla.

Shida Sasa hii😀
 
nilijua tu serikali ya ccm haipendi taifa staras itoboe kwenye hili kundi kwasababu wanajua wakijiingiza hapo tutakwama so wameamua watukwamishe
 
Huyu bibi inapenda vitu vyepesi.vitu vya muhimu kama uokoaji Kwa waliopata ajali anadai Hana pesa za kuwahudumia hospitali na ameonesha uzembe wa hali ya juu katika uokoaji.Watu wanapata ajali yeye anaenda kudundika mdundiko brasili!
 
Akili zenu zina akili kweli? Yaani siku ya 3 watu wamenasa kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka hawajaokolewa lakini nyie mko busy kupiga blah blah za Taifa stars. Huo mpira wenu wa kisiasa na uhai wa watanzania walionasa kwenye vifusi lipi bora? Crocodile madonna!
Kichwani umejaa mavi t ..koo wewe ssaiv hutombi,mtu ata akikushka kalio unatulia t sababu Kuna maafa kariakoo..
Acha usenge bas.
 
Back
Top Bottom