Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho Nina uhakika ndugu zake Engonga De Baltazar lazima wawapelekee moto CCM na timu yao.
Wajipigie ata chuma tano kama ikiweaekana,siasa na mpira wapi na wapi .Kesho Nina uhakika ndugu zake Engonga De Baltazar lazima wawapelekee moto CCM na timu yao.
Yaa alitokea sturgart alikuwa anachuana na harry Kane kwenye ufungaji bora.Mkuu huyu jamaa anachezea timu ya borussia Dortmund
Mimi nitavaa tai ya bendera kama mr tozoNitakuwa nimevalia jezi na skafu ya bendera.
Wacha niende shekheUshalipiwa yakhe
Sawa. Tukajae uwanjani sasa.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza ofa ya kipekee kwa watanzania kuiona mechi ya timu ya taifa, Taifa Stars, bila malipo. Ofa hii inalenga kuongeza hamasa kwa wapenzi wa soka nchini katika kipindi hiki kigumu baada ya tukio la kusikitisha la kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo.
Soma: Mwana FA: Ushindi wa Taifa Stars ni maalum kwa Rais Dkt. Samia Suluhu
Kwa upande wake, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeungana na Rais kutoa pole kwa waathirika wa tukio hilo pamoja na familia za waliopoteza maisha. Taarifa hiyo imetolewa na Afisa Habari wa TFF, Cliford Marion Dimbo, akibainisha kuwa Shirikisho limeguswa sana na tukio hilo na linaendelea kusimama pamoja na watanzania wote wakati huu wa majonzi.
Wakati taifa likiendelea kuomboleza, hatua hizi zimeonekana kuwa faraja kwa wapenzi wa soka na wananchi kwa ujumla.
NaaamMimi nitavaa tai ya bendera kama mr tozo
Serhou noma sana huyo jamaa.😀 😀 soka letu linaangamia kwa kuendekeza siasa, na kesho presha hii Guirassy hatuachi
engo anatoka equitorial guinea. hawa ni guinea kama guineaKesho Nina uhakika ndugu zake Engonga De Baltazar lazima wawapelekee moto CCM na timu yao.
Shida Sasa hii😀Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza ofa ya kipekee kwa watanzania kuiona mechi ya timu ya taifa, Taifa Stars, bila malipo. Ofa hii inalenga kuongeza hamasa kwa wapenzi wa soka nchini katika kipindi hiki kigumu baada ya tukio la kusikitisha la kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo.
Soma: Mwana FA: Ushindi wa Taifa Stars ni maalum kwa Rais Dkt. Samia Suluhu
Kwa upande wake, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeungana na Rais kutoa pole kwa waathirika wa tukio hilo pamoja na familia za waliopoteza maisha. Taarifa hiyo imetolewa na Afisa Habari wa TFF, Cliford Marion Dimbo, akibainisha kuwa Shirikisho limeguswa sana na tukio hilo na linaendelea kusimama pamoja na watanzania wote wakati huu wa majonzi.
Wakati taifa likiendelea kuomboleza, hatua hizi zimeonekana kuwa faraja kwa wapenzi wa soka na wananchi kwa ujumla.
Kichwani umejaa mavi t ..koo wewe ssaiv hutombi,mtu ata akikushka kalio unatulia t sababu Kuna maafa kariakoo..Akili zenu zina akili kweli? Yaani siku ya 3 watu wamenasa kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka hawajaokolewa lakini nyie mko busy kupiga blah blah za Taifa stars. Huo mpira wenu wa kisiasa na uhai wa watanzania walionasa kwenye vifusi lipi bora? Crocodile madonna!
Guirassy atatufariji kesho!Guirassy usituangushe mjomba tubatue mbili za haraka wahi ndege uludi Borussia fasta.