STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Eti unagombana na Canada, mara unataka mataifa ya ulaya wamtenge China vikwazo bila sababu za msingi mara uvunje dili la Nuclear la Iran, unampangia India aueze nn, ulete sera za ubaguzi nchini mwako, lazima mzee aharibu, kuna vitu vingi dunia ya sasa vimaitaj busara sio unatimia ubabe