Rais Donald Trump kulihutubia taifa wiki hii. Ajenda kuu | Ubaguzi wa rangi na umoja wa kitaifa

Rais Donald Trump kulihutubia taifa wiki hii. Ajenda kuu | Ubaguzi wa rangi na umoja wa kitaifa

FRANC THE GREAT

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2016
Posts
5,500
Reaction score
8,060
Habari!

Katika kipindi kifupi kijacho, rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kulihutubia taifa la Marekani kulingana na vyanzo kutoka Ikulu ya White House huku ajenda kuu ikiwa ni masuala ya ubaguzi wa rangi pamoja na umoja wa kitaifa.

Jambo jingine linalotarajiwa kuzungumziwa zaidi na Trump ni kuhusu mauaji ya George Floyd sanjari na mvutano uliopo.

Maafisa kutoka White House wangali wakilifanyia kazi suala hilo na kipindi kifupi kuanzia sasa inatarajiwa kutolewa taarifa rasmi kuhusiana na hotuba hiyo.

Ni hayo tu kwa sasa. Asante!
 
... hapo ndipo nawapendea hawa jamaa! Ingekuwa kule kwingine, kwanza internet ingezimwa nchi nzima; habari zote zinazotoka na kuingia zingechujwa na serikali; habari zisizoipendeza serikali zingezuiwa kutoka; waandishi makini wangewekwa detention kwa muda; Kiongozi Mkuu angesimama hadharani kuitukana Marekani and the West kuonesha ndio waliosababisha mauwaji nchini mwake hata kama askari wao (wa hiyo nchi) ndio waliohusika. Mwisho yangeandaliwa maandamano makubwa sana ya kumsifu Kiongozi wao na kuilaani Marekani! Marekani ni Katiba na sheria tu; longolongo tupa kule.
 
Maneno meengi but we can't forget the evil ya wazungu
... hapo ndipo nawapendea hawa jamaa! Ingekuwa kule kwingine, kwanza internet ingezimwa nchi nzima; habari zote zinazotoka na kuingia zingechujwa na serikali; habari zisizoipendeza serikali zingezuiwa kutoka; waandishi makini wangewekwa detention kwa muda; Kiongozi Mkuu angesimama hadharani kuitukana Marekani and the West kuonesha ndio waliosababisha mauwaji nchini mwake hata kama askari wao (wa hiyo nchi) ndio waliohusika. Mwisho yangeandaliwa maandamano makubwa sana ya kumsifu Kiongozi wao na kuilaani Marekani! Marekani ni Katiba na sheria tu; longolongo tupa kule.
JamiiForums-1464965847.jpg
 
Marekani bado inatoa takwimu za corona? Vipi yale maandamano hayajaongeza wagonjwa wa corona?
Kama ilivyo ada, takwimu zinatolewa kila siku.

Kuhusu haya maandamano bado hakujakuwepo na dalili zozote zinazoashiria kuwa wagonjwa wameongezeka tofauti na wakati ambapo maandamano hayakuwepo.
 
Usitegemee jipya kutoka kwa Trump. Atasoma yale aliyoandikiwa tena pole pole sana ila akishaanza uulizwa maswali tu basi analipuka na kuanza kujaza pumba zinazotoka moyoni mwake na kuziweka kwenye microphone
 
Too late!

Sidhani kama kuna atayemsikiliza.

Ni kama vile kalazimishwa tu kwa sababu za kisiasa na si jambo lenye umuhimu kwake.

Naamini ni wachache mno wataomwona kuwa anayaamini hayo atayoyaongelea.

Jamaa kachemsha sana kwenye hili suala la Floyd.

Sijawahi kuona incumbent president anayefanya kila juhudi ili asiweze kuchaguliwa kwa muhula wa pili kama ambavyo afanyavyo Trump!

Hivi ni nani kwanza atayeamini kwamba hayo atayoyaongea yanatoka moyoni?
 
... hapo ndipo nawapendea hawa jamaa! Ingekuwa kule kwingine, kwanza internet ingezimwa nchi nzima; habari zote zinazotoka na kuingia zingechujwa na serikali; habari zisizoipendeza serikali zingezuiwa kutoka; waandishi makini wangewekwa detention kwa muda; Kiongozi Mkuu angesimama hadharani kuitukana Marekani and the West kuonesha ndio waliosababisha mauwaji nchini mwake hata kama askari wao (wa hiyo nchi) ndio waliohusika. Mwisho yangeandaliwa maandamano makubwa sana ya kumsifu Kiongozi wao na kuilaani Marekani! Marekani ni Katiba na sheria tu; longolongo tupa kule.

Hahahah umemaliza kila kitu!
 
Too late!

Sidhani kama kuna atayemsikiliza.

Ni kama vile kalazimishwa tu kwa sababu za kisiasa na si jambo lenye umuhimu kwake.

Naamini ni wachache mno wataomwona kuwa anayaamini hayo atayoyaongelea.

Jamaa kachemsha sana kwenye hili suala la Floyd.

Sijawahi kuona incumbent president anayefanya kila juhudi ili asiweze kuchaguliwa kwa muhula wa pili kama ambavyo afanyavyo Trump!

Hivi ni nani kwanza atayeamini kwamba hayo atayoyaongea yanatoka moyoni?

Trump anacheza kete za kuwafurahisha white nationalists ambao ni majority na wako silent kwa sasa. Anajua siku ya kura watampigia enmasse
 
Huenda Mzee (Trump) akaitumia hiyo hotuba kuwashambulia mahasimu wake wa kisiasa na kuwahusisha na vurugu za maandamano.
 
Hisia zangu zinaniambia watu wameichoka tabia yake.

So far alikuwa ameanza vizuri kwenye hii ishu ya kifo cha Floyd, alikosea ile statement ya when looting starts the shooting starts, hapa it seems alikuwa anatuma message kwa supporters wake (white supremacists/nationalists) kuwa yuko incharge na anaweza kuwaweka hawa "nig.. rs" mahali pao wakizidi mipaka
 
kaa ukijua kua trump anawachukia maniga sana na maniga hawampendi kabisa trump wanamuona kama nguruwe kwaiyo kama trump atajifanya yuko na maniga n swala la kampen tu ila ndan ya moyo wake mtu mweus anamuona n wa mwshoo kabsa ktk usa
 
Back
Top Bottom