Rais Donald Trump kulihutubia taifa wiki hii. Ajenda kuu | Ubaguzi wa rangi na umoja wa kitaifa

Rais Donald Trump kulihutubia taifa wiki hii. Ajenda kuu | Ubaguzi wa rangi na umoja wa kitaifa

Too late!

Sidhani kama kuna atayemsikiliza.

Ni kama vile kalazimishwa tu kwa sababu za kisiasa na si jambo lenye umuhimu kwake.

Naamini ni wachache mno wataomwona kuwa anayaamini hayo atayoyaongelea.

Jamaa kachemsha sana kwenye hili suala la Floyd.

Sijawahi kuona incumbent president anayefanya kila juhudi ili asiweze kuchaguliwa kwa muhula wa pili kama ambavyo afanyavyo Trump!

Hivi ni nani kwanza atayeamini kwamba hayo atayoyaongea yanatoka moyoni?
MKUU wengine tunaposema TURAMPET nirais wahovyo kabisa kuwahi kumshuhudia akiwa anaiongoza US hua tunamaanisha
Japokua tukishasema haya watu wanatoa maneno yakashfa dhidi yetu ila hatujali sababu maneno tu

Ila Turampet hatakama atashinda Basi atabakia kuwa Rais wahovyo kabisa kuiongoza states ambae nimewahi Kumshuhudia

Kizee hakijitambui kile...
 
Trump ni baba wa ubaguzi wa rangi.
OkayLarge267x296.jpg
 
Trump anacheza kete za kuwafurahisha white nationalists ambao ni majority na wako silent kwa sasa. Anajua siku ya kura watampigia enmasse
kaa ukijua kua trump anawachukia maniga sana na maniga hawampendi kabisa trump wanamuona kama nguruwe kwaiyo kama trump atajifanya yuko na maniga n swala la kampen tu ila ndan ya moyo wake mtu mweus anamuona n wa mwshoo kabsa ktk usa
 
Ipo siku wamarekani watakuja kujuta kwann wanamdharau Trumpo. Trumpo ni mzalendo anayependa marekani na waafrika
 
Ipo siku wamarekani watakuja kujuta kwann wanamdharau Trumpo. Trumpo ni mzalendo anayependa marekani na waafrika
Trump hajawahi kupenda blacks hata siku moja. Hata sheria anazosaini kila mara za kuzuia wahamiaji kuingia USA sana sana analenga kuwazuia Waafrica kuingia nchini kwake.
 
Habari!

Katika kipindi kifupi kijacho, rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kulihutubia taifa la Marekani kulingana na vyanzo kutoka Ikulu ya White House huku ajenda kuu ikiwa ni masuala ya ubaguzi wa rangi pamoja na umoja wa kitaifa.

Jambo jingine linalotarajiwa kuzungumziwa zaidi na Trump ni kuhusu mauaji ya George Floyd sanjari na mvutano uliopo.

Maafisa kutoka White House wangali wakilifanyia kazi suala hilo na kipindi kifupi kuanzia sasa inatarajiwa kutolewa taarifa rasmi kuhusiana na hotuba hiyo.

Ni hayo tu kwa sasa. Asante!
Mmawia, chomekea kale kauzi kako hapa ka TRUMP AMPONGEZA TUNDU LISSU KWA KUAMUA KUGOMBEA URAIS.
 
Trump hajawahi kupenda blacks hata siku moja. Hata sheria anazosaini kila mara za kuzuia wahamiaji kuingia USA sana sana analenga kuwazuia Waafrica kuingia nchini kwake.
Kama blacks wenyewe kila tukio wao wanakua looters, acha awachukie na ninamuunga mkono.
 
Wewe Rais Trumpo anaipenda Afrika kwa matendo na si maneno,anasema ukweli wala si mnafiki, Trumpo anaifundisha afrika ili ijitambue.Afrika tutaendelea kama viongozi wetu anajitambua na kupenda nchi zao na kuwa wazalendo wa kweli kama Trumpo, Trumpo amesitisha vita anapenda Iraq,irani,saudi arabia, israel mataifa teule ya Mungu.Tutakufa na kutoa maisha wetu tukimtetea Trumpo kama nembo na alama ya uzalendo duniani
 
Dunia kwa ujumla iunge mkono Chama cha republican cha Trumpo ili kishinde uchaguzi miaka yote. Watanzania tuwapuuze democratic ya Obama kwa kutetea ushoga. Democratic inachafua sana marekani kwa kutetea mashoga. Live long Trump for peace of world
 
Kinachomponza Trump ananyoosha mno hapindishipindishi amesahau binadamu wamezoea kuishi kwenye unafiki. We jaribu tu kumuambia mvuta bangi ukweli kwamba anavuta bangi au mwambie Malaya ukweli kwamba yeye ni Malaya afu utapata majibu.
 
MKUU wengine tunaposema TURAMPET nirais wahovyo kabisa kuwahi kumshuhudia akiwa anaiongoza US hua tunamaanisha
Japokua tukishasema haya watu wanatoa maneno yakashfa dhidi yetu ila hatujali sababu maneno tu

Ila Turampet hatakama atashinda Basi atabakia kuwa Rais wahovyo kabisa kuiongoza states ambae nimewahi Kumshuhudia

Kizee hakijitambui kile...
Huyu Rais toka apinge wazi wazi mapenzi ya jinsia moja mnamuandama sana. Mnamzushia kila baya lakini anatoboa sababu anayoyapinga hata Mungu anayakataa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu Rais toka apinge wazi wazi mapenzi ya jinsia moja mnamuandama sana. Mnamzushia kila baya lakini anatoboa sababu anayoyapinga hata Mungu anayakataa.
Kijana mbona unakurupuka ?!
Kwahio sasa hv ndoa zajinsia moja pale US marufuku kwa amri ya Turampet ?!


Mimi mbona namuombea ashinde hakuna hata sehemu moja nimetamani jamaa ashindwe hakuna nahakuna

Natamani jamaa ashinde ushindi wakishindo

Ila Ndoa zajinsia Moja toka turampet aingie WH zimepigwa marufuku !??.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kijana mbona unakurupuka ?!
Kwahio sasa hv ndoa zajinsia moja pale US marufuku kwa amri ya Turampet ?!


Mimi mbona namuombea ashinde hakuna hata sehemu moja nimetamani jamaa ashindwe hakuna nahakuna

Natamani jamaa ashinde ushindi wakishindo

Ila Ndoa zajinsia Moja toka turampet aingie WH zimepigwa marufuku !??.
Marekani haiongozwi kwa amri kijana, amri ya Rais ni katika Mambo ya ulinzi na usalama tu. Lakini hili suala lingekuwa ndan ya uwezo wa Rais na jinsi jamaa anavyonyoosha mambo, hakika angetumia amri ya Rais kuzuia huo uchafu.
Rais Trump anachukia ushoga na ndo maana mnamuandama sana.
 
Marekani haiongozwi kwa amri kijana, amri ya Rais ni katika Mambo ya ulinzi na usalama tu. Lakini hili suala lingekuwa ndan ya uwezo wa Rais na jinsi jamaa anavyonyoosha mambo, hakika angetumia amri ya Rais kuzuia huo uchafu.
Rais Trump anachukia ushoga na ndo maana mnamuandama sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nimuandame mtu kwakuchukia Ushoga pole sana kijana

Ila jibu langu hujajibu bado.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nimuandame mtu kwakuchukia Ushoga pole sana kijana

Ila jibu langu hujajibu bado.
Jibu huwa linajibiwaje? Maliberal mnamchukia Trump sababu anapinga ushoga, hata Mungu anakataa ushoga.
 
Jibu huwa linajibiwaje? Maliberal mnamchukia Trump sababu anapinga ushoga, hata Mungu anakataa ushoga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushoga unatambulika naserikali KUU ambayo ipo under DT halaf unaongea PUMBA

Trump namkubali kinyamaaaaaa...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushoga unatambulika naserikali KUU ambayo ipo under DT halaf unaongea PUMBA

Trump namkubali kinyamaaaaaa...
Hayo mambo Rais kayakuta wala hajayaleta yeye na wala hawezi kuyaondoa peke yake. Mainstream Media ndo zinatangaza ushoga na Sasa zinapambana na Rais mpinga ushoga, na nyie akina Bwana Utam mmeungana na hizo media kutetea Utam.
 
Hayo mambo Rais kayakuta wala hajayaleta yeye na wala hawezi kuyaondoa peke yake. Mainstream Media ndo zinatangaza ushoga na Sasa zinapambana na Rais mpinga ushoga, na nyie akina Bwana Utam mmeungana na hizo media kutetea Utam.
Kunasehemu nilisema kaleta yeye MKUU ?!

ila ana uwezo wakuyaondoa kama akiamua japokua hatayaondoa kwaamri yake

Kama anapinga ushoga aanze kuupiga vita uondoke

sijawahi mpinga turampet nandio maana natamani ashinde aendelee kua Rais wa states
 
... hapo ndipo nawapendea hawa jamaa! Ingekuwa kule kwingine, kwanza internet ingezimwa nchi nzima; habari zote zinazotoka na kuingia zingechujwa na serikali; habari zisizoipendeza serikali zingezuiwa kutoka; waandishi makini wangewekwa detention kwa muda; Kiongozi Mkuu angesimama hadharani kuitukana Marekani and the West kuonesha ndio waliosababisha mauwaji nchini mwake hata kama askari wao (wa hiyo nchi) ndio waliohusika. Mwisho yangeandaliwa maandamano makubwa sana ya kumsifu Kiongozi wao na kuilaani Marekani! Marekani ni Katiba na sheria tu; longolongo tupa kule.
Acha kupepesa macho
Sema ingekuwa ni Tanzania mitandao ingezimwa na vinguru vya kutosha vingetembea.
 
Back
Top Bottom