Rais Donald Trump kulihutubia taifa wiki hii. Ajenda kuu | Ubaguzi wa rangi na umoja wa kitaifa

The other day ulimuita Joe Bidden , the Sleepy Bidden. Leo unamuona opponent wake nae hafai.
Wewe kweli hamnazo
 
The other day ulimuita Joe Bidden , the Sleepy Bidden. Leo unamuona opponent wake nae hafai.
Wewe kweli hamnazo
hahaha jamaa alikua anamuona biden hafai
ila kaujua udhaifu wa DT nahisi ndio maana kabadilika
 
Trump hajawahi kupenda blacks hata siku moja. Hata sheria anazosaini kila mara za kuzuia wahamiaji kuingia USA sana sana analenga kuwazuia Waafrica kuingia nchini kwake.
Hata hao blacks hawajawahi kuwapenda waafrika, sema shobo zetu tu za kujipendekeza kwao
 
Kunasehemu nilisema kaleta yeye MKUU ?!

ila ana uwezo wakuyaondoa kama akiamua japokua hatayaondoa kwaamri yake

Kama anapinga ushoga aanze kuupiga vita uondoke

sijawahi mpinga turampet nandio maana natamani ashinde aendelee kua Rais wa states
Kwan mie kuna sehemu nimesema umesema kaleta yeye?!
Kwenye nchi ya kidemokrasia ushoga au kitu chochote kile kinaondoshwa kwa nguvu ya Rais?! Vipi hapa bongo ambapo hata sheria hauutambui vipi ushaondoka? Eti ana uwezo wa kuuondoa! We hujui mfumo wa kiutawala wa Marekani.
 
Ubaguzi hauwezi kuisha na utakuwepo ila wengine kama Jews wamejiongeza kwa kujua bila kuwa na hela na nguvu bado watanyanyashwa tu
Miaka ya nyuma Miami ilikuwa ni marufuku jews, black na mbwa lakini jews waliamua kuungana na kupambana na kununua sehemu nyingi ingawa waliwekewa vikwazo vingi lakini sheria zilibadilika
Blacks bado sana
Acha niwaachie hii makala kidogo
Ila Trump ni mbaguzi mkubwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

ss jamaa anaupiga marufuku ushoga wapi MKUU[emoji23][emoji23]
kama unajua ushoga upo kwenye nchi yakidemokrasia anayotawala Trump[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyie watu ni majuha kweli!

kwani siwezi kuwaona wote wawili kuwa hawafai?

Trump hovyo. Biden naye hovyo vilevile.
Ila kwawakati ule ulimuona joe sleepy kama ulivyomwita ndio alikua wahovyo zaidi MKUU ama ushasahau ?!

tulete zile kumbu kumbu hapa ?!
 
Ila kwawakati ule ulimuona joe sleepy kama ulivyomwita ndio alikua wahovyo zaidi MKUU ama ushasahau ?!

tulete zile kumbu kumbu hapa ?!
Duh! Hata kuandika vizuri na ukaeleweka ni shida!

Si ajabu ndo maana hata huelewi ninayoandika!

Ni hivi: kuwaona wote wawili kuwa ni wa hovyo, inawezekana. Hata wangekuwa 19, kama wote ni wa hovyo, ni wa hovyo tu.

Kilicho kigumu kueleweka hapo ni nini? Dah!

Haya, weka hapa hizo kumbukumbu....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

ss jamaa anaupiga marufuku ushoga wapi MKUU[emoji23][emoji23]
kama unajua ushoga upo kwenye nchi yakidemokrasia anayotawala Trump[emoji23][emoji23][emoji23]
Duh! Kazi kwelikweli, ila nimegundua shida yako wewe ni kubwa mno, ebu kajifunze kwanza kuhusu nguvu na madaraka ya Rais wa Marekani. [emoji23][emoji23][emoji23]Eti kwa kuwa Rais hapendi uislam au ukatoliki ndo anaweza kuamka tu na kuupiga marufuku[emoji3][emoji3]. Jitahidi basi kuhoji vitu vinavyoeleweka!
 
Tuombe mungu ashinde ili wakomunist wapate opportunity ya kuwa super power
 
Tuombe mungu ashinde ili wakomunist wapate opportunity ya kuwa super power
Natamani sana jamaa ashinde tena ule ushindi wakishindo kabisa

Maana sasa hv huko ndani kunawaka moto sijawahi kuiona US ilogawanyika kama yahuyu BABU.....
 
Natamani sana jamaa ashinde tena ule ushindi wakishindo kabisa

Maana sasa hv huko ndani kunawaka moto sijawahi kuiona US ilogawanyika kama yahuyu BABU.....
Kwani unadhani Russia wali muweka pale kwa bahati mbaya ??
 
Kwani unadhani Russia wali muweka pale kwa bahati mbaya ??
waliona mbali japokuna raia watasema jamaa hajaekwa sababu uchunguzi ulishakamilika kama jamaa hakuekwa

Ila hata mm naamini majamaa walikua namaalengo yao maalum kabisa sababu walijua jamaa hamnazo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hataki kubadirisha sura yake kisa kura.Kabaki Trump yule yule hajataka kujifake
 
Ukiona anashinda basi ujue anafaa kwa mahitaji ya America
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…