ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Miezi 6 baada ya Rais wa Senegal Basirou Diomaye wa Senegal na Waziri wake Mkuu Ousmane Sonko wameanza kuleta visingizio Kwa Kushindwa Kutimiza Baadhi ya ahadi zao walizodai watazitatua ndani ya siku 100.
Serikali ya bwana Faye inasingia Bunge Kumkwamisha ambalo lina Wabunge wengi wa Upinzani(zamani chama Tawala).👇👇
My Take: Naendelea kuwakumbusha watu kwamba ni mjinga tuu ndio ataamini kwamba Wapinzani ndio watawatatulia shida zao.
Nawaambiaga mara nyingi kwamba Wanasiasa wote ni matapeli na siasa ni kazi kama kazi zingine so unapotumia Rasilimali zako hadi.kuandamana kulala risasi uwe unapima kama unachopigania utanufaika
Kwa taarifa yenu tuu Wapinzani hata Hawa wa hapa Tanzania Wana maneno meengi yasiyo na msingi na Wala hawana njia za kutatua Changamoto zenu sana sana wanachotafuta ni madaraka tu.
Imetokea Ghana, Malawi, Kenya, Senegal,Zambia na nk, and won't be different Kwa Tanzania.
Kumbuka ukiitiwa fursa jua wewe ndio fursa. SSH Anatosha na chenji inabaki.
==========
Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye, anaonekana kupata ugumu kutumiza baadhi ya ahadi zake wakati wa Kampeni, miezi sita baada ya kuchaguliwa kuongoza taifa hilo la Afrika magharibi.
Serikali ya Faye ikiongozwa na waziri wake mkuu, Ousamne Sonko imeendelea kutuhumu bunge la taifa kwa kuwa kizingiti kwa sera za serikali yao, kwani idadi kubwa ya wabunge ni wa upinzani, Sonko akikataa kuwasilisha sera za serikali bungeni kwa misingi kwamba bunge hilo halitambui cheo chake.
Rais Faye amekuwa mstari wa mbele kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na mataifa washirika, akiwa mpatanishi kati ya muungano wa Ecowas na matifa ya Mali, Niger na Burkina Faso ambayo yalitangaza kuijiondoa katika muungano huo.
Hata hivyo wakosowaji wake wanadai ni hiyo mbinu ya kuepuka majukumu yake nyumbani katika hilo ambalo linashuhudia uhaba wa juu wa ukosefu wa ajira kwa vijana na deni la taifa.
Serikali ya Faye pia inatuhumiwa kwa kukosa kuizngatia usawa wa kijinsia katika teuzi mbalimbali za serikali.
Raia wengi wa Senegal aidha wanadai taifa lao halijasonga mbele tangu kufanyika kwa uchaguzi, wakati huu waziri mkuu Osmane Sonko akidai huenda bunge likavunjwa na rais Faye ili kutoa nafasi ya uchaguzi mpya wa wabunge.
Pia soma Rais wa Senegal avunja Bunge kwa madai ya Kuvutana na Mhimili wa Serikali
Soma zaidi hapa Ushauri: Rais Mteule wa Senegal BD Faye Asikubali kuwa Kivuli na Kuendeshwa na Sonko.Kuna Watu Lazima Waishie Kuwa Ngazi
Serikali ya bwana Faye inasingia Bunge Kumkwamisha ambalo lina Wabunge wengi wa Upinzani(zamani chama Tawala).👇👇
My Take: Naendelea kuwakumbusha watu kwamba ni mjinga tuu ndio ataamini kwamba Wapinzani ndio watawatatulia shida zao.
Nawaambiaga mara nyingi kwamba Wanasiasa wote ni matapeli na siasa ni kazi kama kazi zingine so unapotumia Rasilimali zako hadi.kuandamana kulala risasi uwe unapima kama unachopigania utanufaika
Kwa taarifa yenu tuu Wapinzani hata Hawa wa hapa Tanzania Wana maneno meengi yasiyo na msingi na Wala hawana njia za kutatua Changamoto zenu sana sana wanachotafuta ni madaraka tu.
Imetokea Ghana, Malawi, Kenya, Senegal,Zambia na nk, and won't be different Kwa Tanzania.
Kumbuka ukiitiwa fursa jua wewe ndio fursa. SSH Anatosha na chenji inabaki.
==========
Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye, anaonekana kupata ugumu kutumiza baadhi ya ahadi zake wakati wa Kampeni, miezi sita baada ya kuchaguliwa kuongoza taifa hilo la Afrika magharibi.
Serikali ya Faye ikiongozwa na waziri wake mkuu, Ousamne Sonko imeendelea kutuhumu bunge la taifa kwa kuwa kizingiti kwa sera za serikali yao, kwani idadi kubwa ya wabunge ni wa upinzani, Sonko akikataa kuwasilisha sera za serikali bungeni kwa misingi kwamba bunge hilo halitambui cheo chake.
Rais Faye amekuwa mstari wa mbele kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na mataifa washirika, akiwa mpatanishi kati ya muungano wa Ecowas na matifa ya Mali, Niger na Burkina Faso ambayo yalitangaza kuijiondoa katika muungano huo.
Hata hivyo wakosowaji wake wanadai ni hiyo mbinu ya kuepuka majukumu yake nyumbani katika hilo ambalo linashuhudia uhaba wa juu wa ukosefu wa ajira kwa vijana na deni la taifa.
Serikali ya Faye pia inatuhumiwa kwa kukosa kuizngatia usawa wa kijinsia katika teuzi mbalimbali za serikali.
Raia wengi wa Senegal aidha wanadai taifa lao halijasonga mbele tangu kufanyika kwa uchaguzi, wakati huu waziri mkuu Osmane Sonko akidai huenda bunge likavunjwa na rais Faye ili kutoa nafasi ya uchaguzi mpya wa wabunge.
Pia soma Rais wa Senegal avunja Bunge kwa madai ya Kuvutana na Mhimili wa Serikali
Soma zaidi hapa Ushauri: Rais Mteule wa Senegal BD Faye Asikubali kuwa Kivuli na Kuendeshwa na Sonko.Kuna Watu Lazima Waishie Kuwa Ngazi