Rais gani aliwahi kukubalika akiwa madarakani Tanzania?

Rais gani aliwahi kukubalika akiwa madarakani Tanzania?

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Baada ya vyama vingi 1995 mpaka 2005 Mkapa alipondwa sana,ooh katili, fisadi n.k akatoka. Watu wakasema bora Mwinyi tu mzee wa ruksa.


2005-2015 Kikwete kasi mpya nguvu mpya ari mpya, rais kijana,mcheshi lakini alikumbatia wezi, majambazi mafisadi tuhuma zote ziliibukia kwake. Akatoka akapondwa sana mpole mno,mwizi sana.

2015-2021 Magufuli akasifiwa mwanzoni baadae akaanza kuonekana katili,mkali dikteta mkabila n.k. watu wakaanza kukumbuka mazuri na upole wa JK na wengine wakafikia hatua ya kusema bora Kikwete agombee tena.

Mungu si Athumani 2021- ... Samia
Anapondwa sana,ooh nchi inaongozwa na madalali sijui Kikwete ndio anaongoza sio mama. Je kwenye utawala wa Magufuli hamkumkumbuka JK? Kwanini sasa mnamkumbuka Magufuli baada ya Samia kushika usukani?

Je, ni rais gani alikubalika na watanzania wote akiwa madarakani? Leo Samia mtamwona ni bure lakini umuhimu utaonekana siku akitoka madarakani.

Vumilieni tu.
 
Twaweza ndio wanaweza kukupa majibu sahihi
 
Urio kachafua hali ya hewa mkuu...

Hahahahahahahahahahana.......
Nchi ngumu sana hii mkuu....
Hangaya.yeye anakula keki tu..
 
Hakuna kazi ngumu kama kumuongoza binadamu na kumridhisha,yan katika mambo ya utawala hakutakuja kutokea kiongozi akapendwa na wote na wala kuchukiwa na wote,Uchungu wa kiongozi huuona kila anapokuwa madarakani na uzuri wa kiongozi huonekana mara baada ya yeye kuachia madaraka.
Zingatia:Kila kiongozi ni mbaya sana kwa huyu,kila kiongozi ni mzuri sana kwa yule.
 
Hakuna kazi ngumu kama kumuongoza binadamu na kumridhisha,yan katika mambo ya utawala hakutakuja kutokea kiongozi akapendwa na wote na wala kuchukiwa na wote,Uchungu wa kiongozi huuona kila anapokuwa madarakani na uzuri wa kiongozi huonekana mara baada ya yeye kuachia madaraka.
Zingatia:Kila kiongozi ni mbaya sana kwa huyu,kila kiongozi ni mzuri sana kwa yule.
Asante
 
Hakuna kazi ngumu kama kumuongoza binadamu na kumridhisha,yan katika mambo ya utawala hakutakuja kutokea kiongozi akapendwa na wote na wala kuchukiwa na wote,Uchungu wa kiongozi huuona kila anapokuwa madarakani na uzuri wa kiongozi huonekana mara baada ya yeye kuachia madaraka.
Zingatia:Kila kiongozi ni mbaya sana kwa huyu,kila kiongozi ni mzuri sana kwa yule.
Acha ngonjera za uongo.hakuna rais mbaya kama magu.kamrithisha hadi uyu
 
Baada ya vyama vingi 1995 mpaka 2005 Mkapa alipondwa sana,ooh katili, fisadi n.k akatoka. Watu wakasema bora Mwinyi tu mzee wa ruksa.


2005-2015 Kikwete kasi mpya nguvu mpya ari mpya, rais kijana,mcheshi lakini alikumbatia wezi, majambazi mafisadi tuhuma zote ziliibukia kwake. Akatoka akapondwa sana mpole mno,mwizi sana.

2015-2021 Magufuli akasifiwa mwanzoni baadae akaanza kuonekana katili,mkali dikteta mkabila n.k. watu wakaanza kukumbuka mazuri na upole wa JK na wengine wakafikia hatua ya kusema bora Kikwete agombee tena.

Mungu si Athumani 2021- ... Samia
Anapondwa sana,ooh nchi inaongozwa na madalali sijui Kikwete ndio anaongoza sio mama. Je kwenye utawala wa Magufuli hamkumkumbuka JK? Kwanini sasa mnamkumbuka Magufuli baada ya Samia kushika usukani?

Je, ni rais gani alikubalika na watanzania wote akiwa madarakani? Leo Samia mtamwona ni bure lakini umuhimu utaonekana siku akitoka madarakani.

Vumilieni tu.
Mitanzania mingi haijitambui,imebakia lawama tu kwa kila jambo!
 
Baada ya vyama vingi 1995 mpaka 2005 Mkapa alipondwa sana,ooh katili, fisadi n.k akatoka. Watu wakasema bora Mwinyi tu mzee wa ruksa.


2005-2015 Kikwete kasi mpya nguvu mpya ari mpya, rais kijana,mcheshi lakini alikumbatia wezi, majambazi mafisadi tuhuma zote ziliibukia kwake. Akatoka akapondwa sana mpole mno,mwizi sana.

2015-2021 Magufuli akasifiwa mwanzoni baadae akaanza kuonekana katili,mkali dikteta mkabila n.k. watu wakaanza kukumbuka mazuri na upole wa JK na wengine wakafikia hatua ya kusema bora Kikwete agombee tena.

Mungu si Athumani 2021- ... Samia
Anapondwa sana,ooh nchi inaongozwa na madalali sijui Kikwete ndio anaongoza sio mama. Je kwenye utawala wa Magufuli hamkumkumbuka JK? Kwanini sasa mnamkumbuka Magufuli baada ya Samia kushika usukani?

Je, ni rais gani alikubalika na watanzania wote akiwa madarakani? Leo Samia mtamwona ni bure lakini umuhimu utaonekana siku akitoka madarakani.

Vumilieni tu.
Mzee Magu tulikuwa tunakura Bata na kazi
 
Back
Top Bottom