Rais gani aliwahi kukubalika akiwa madarakani Tanzania?

Rais gani aliwahi kukubalika akiwa madarakani Tanzania?

Kama falsafa za Mwalimu zingefanikiwa kama alivyokuwa anataka Leo Tanzania ingekuwa mbali sana !! Angalia China walikuwaje miaka ya sitini na Leo wapo wapi !! Mkiendekeza kazi na bata mtasubiri sana !!!
 
Ff you iytttyybtyyyyyyyy6yygrgggggggggggggggggggggggggggggghhhhghhghhggggtyh thing butchering hjjjjhhggggjzbbbdoiffffsvugnbiifdsdvuhg
 
Kuna rais aliingia madarakani kwa rushwa waziwazi! Alihonga watu hovyo akaunda kikundi cha kumpigia mapambio kikaitwa mtandao....alikuwa mpiga dili, alitaka kumrisha mshikaji wake urais chama kikamkatalia, kwa hasira akamweka mwendawazimu madarakani!

Sasa hivi anaendesha nchi kwa remote control...anafanya mbinu ili mwanae mpiga dili kama yeye aje kuwa rais!

Huyu ndie rais mwovu kuliko wote kuwahi kutokea nchi!!
 
Hakuna wala hapatakiwepo Rais aliyekubalika Tanzania kama John Pombe Mahufuli.Kuanzia ushindi kwenye Sanduku la kura mpaka vichochoro vyote vya Tanzania.Kiongozi mwingine aliyefuatia ukimuacha Nyerere ni Edward Moringe Sokoine.Hao watu Mungu aliwaleta kwa kusudi maalum [emoji119]
 
Hakuna wala hapatakiwepo Rais aliyekubalika Tanzania kama John Pombe Mahufuli.Kuanzia ushindi kwenye Sanduku la kura mpaka vichochoro vyote vya Tanzania.Kiongozi mwingine aliyefuatia ukimuacha Nyerere ni Edward Moringe Sokoine.Hao watu Mungu aliwaleta kwa kusudi maalum [emoji119]
siyo nyie mlisema kajenga uwanja wa ndege kwao usio natija, mkabila dikteta, anakurupika siyo nyie
 
Wabongo ni vigeugeu sana kazi yetu ni kumuelewa Rais akimaliza muda wake, ila akiwa madarakani kazi ni hizi mwendo wa lawama, majungu, kashfa na figisu kibao. Ifike mahali tujifunze baadhi ya mambo.
 
kifupi wooote walichukiwa
1. haambiliki
2.dhaifu ushauri kwa mkewe!
3.kiwira inamuhusu mrafi haendi kwao!
4. dhaifu sijui anaupendeleo lkn msafi!
5,Yelewiii huyu ndo kichaa kabisaa kichwa naji mpaka kikamuaa!
6. mdada mpole mwelewa sana ila ameanza kula kona nchi naendeshwa na mwingine!

kila mtanzania isipokuwa mimi tu anafaa apigwe bakora kwa mdomo ili uvimbe aache kusema hovyo hovyo!
 
Kama falsafa za Mwalimu zingefanikiwa kama alivyokuwa anataka Leo Tanzania ingekuwa mbali sana !! Angalia China walikuwaje miaka ya sitini na Leo wapo wapi !! Mkiendekeza kazi na bata mtasubiri sana !!!

Yan tungefuata sera za nyerere leo tungekuwa ovyo sanaaaa
Hao China [emoji630] wenyewe deo ping ndo alileta mageuzi kama alivyofanya Mwinyi kwetu
 
Baada ya vyama vingi 1995 mpaka 2005 Mkapa alipondwa sana,ooh katili, fisadi n.k akatoka. Watu wakasema bora Mwinyi tu mzee wa ruksa.


2005-2015 Kikwete kasi mpya nguvu mpya ari mpya, rais kijana,mcheshi lakini alikumbatia wezi, majambazi mafisadi tuhuma zote ziliibukia kwake. Akatoka akapondwa sana mpole mno,mwizi sana.

2015-2021 Magufuli akasifiwa mwanzoni baadae akaanza kuonekana katili,mkali dikteta mkabila n.k. watu wakaanza kukumbuka mazuri na upole wa JK na wengine wakafikia hatua ya kusema bora Kikwete agombee tena.

Mungu si Athumani 2021- ... Samia
Anapondwa sana,ooh nchi inaongozwa na madalali sijui Kikwete ndio anaongoza sio mama. Je kwenye utawala wa Magufuli hamkumkumbuka JK? Kwanini sasa mnamkumbuka Magufuli baada ya Samia kushika usukani?

Je, ni rais gani alikubalika na watanzania wote akiwa madarakani? Leo Samia mtamwona ni bure lakini umuhimu utaonekana siku akitoka madarakani.

Vumilieni tu.
Si rahisi kwa binadamu yeyote yule kukubalika na kila mtu kwa yale atendayo au asemayo. Hata jua likiwa kali wapo wanaoshukuru na wengine hulalamika.

Muhimu ni kwa kiongozi kutenda kwa mujibu wa kanuni na taratibu zilizowekwa na si kwa matakwa yake binafsi. Tatizo la nchi yetu kila kiongozi hutenda vile anavyoona inafaa na ndio maana malalamiko yanakuwa mengi.
 
Haijawahi kutokea

Miaka yote malalamiko

Ova
 
Back
Top Bottom