Rais hajui kuzungumza na wananchi, ziara za njiani zisitishwe

wewe ulishaacha kula rushwa toka lini?
Rais wenu naye ni mla rushwa, maana rafiki zake wote ni wala rushwa na Mafisadi,tokea ashike madaraka hajawai kukemea wala rushwa, uzembe na ufasadi.Ndio maana rushwa, uzembe na ufisadi vimerudi kwa mwendo wa 5g
 
Una roho mbaya sana na hii inaonesha uafrika ni ushetani. We unafurahia mtu kutumbuliwa. Yaani jpm alivyokuwa sheitwani basi riho ile aliwaambukiza na wewe na smai unataka aige ushetani huo, never!!

Umepaniki sana utafikiri uyo mama ni ndugu yako, kama kiongozi hafanyi kazi yake atumbuliwe apewe mwingine anayeweza sio wanakula kodi za wananchi bure
 
Hahahaha mwamba kweli imekugusa hii mpaka umeandikia uzi
 
Rais wenu naye ni mla rushwa, maana rafiki zake wote ni wala rushwa na Mafisadi,tokea ashike madaraka hajawai kukemea wala rushwa, uzembe na ufasadi.Ndio maana rushwa, uzembe na ufisadi vimerudi kwa mwendo wa 5g
Duuh
 
Huwa naona aibu, hana mvuto kabisa wala ushawishi...JPM kamzidi kwa mbali kabisa
 
Unamkandia FaizaFoxy wewe? Huna adabu.
 
Mlishazoeshwa tabia za kishamba za kufokea watu hadharani na kuwafukuza kazi bila utaratibu. Washamba bado mpo wengi mnaodhani kufokafoka ndio uongozi
Wewe mshamba huwezi kuelewa!
 
Wewe hata huelewi mambo huko maofisini saizi ni hovyo hovyo! Hujasikia mpaka daktari amnafumua nyuzi za mgonjwa kisa kakosa pesa! Uliza watu wa bandari pia fatilia kama kuna mfanya biashara anatoa risiti kwa ukamirifu! Umebaki kubweka tu! Hakuna nchi inaendeshwa kishikaji huu ujinga upo nchi zetu weusi tu!
 
We kweli kilaza, mkishaongea changamoto zenu huwa zinaandikwa na wasaidizi wa Rais, then zitafanyiwa kazi, tatizo mshazoea yule mwendazake aliekuwa anagawa maburungutu ya hela njiani, mama mtoto wa mjini sio limbukeni wakugawa fedha ovyohovyo
Kisa ni msukuma ndo sio wa mjini utoto wa mjini ndo nini? Mara nyingi watoto wa mjini ndo watu wapumbavu na wasiojielewa kazi kutafuta mteremko na ujuaji mwingi! Hata hapa Dar angali watu wengi wenye mafanikio ni watu wakuja wao wa mjini wengi wao ujinga ujinga tu!
 
Rais Kuzungumza na wananchi Mara kwa Mara kunaongeza uwajibikaji kwa watendaji wa chini
Hamasa ya watendaji wa chini maDC, maRC havikuja kwa bahati mbaya
Rais ukipoa na watendaji wako wanapoa
Hakujiandaa kuwa Ràis hivyo msimlaumu vumilieni tu
 
Waziri Mkuu ndiyo mtendaji mkuu wa Serikali, na yeye akifika sehemu fulani huwa tayari analo jambo lake. Hii ni tafauti na Raisi kusimama njiani tu na kuanza kutoa hukumu. Matukio kama haya mara nyingi yanaleta kudanganywa.
sawa ila mama simuelewi kabisa, bora aendelee kushoot movie yake tu, awaache watu waparuane mtaani mwisho atakuta ikulu wamemsaidia kukaa
 
Una roho mbaya sana na hii inaonesha uafrika ni ushetani. We unafurahia mtu kutumbuliwa. Yaani jpm alivyokuwa sheitwani basi riho ile aliwaambukiza na wewe na smai unataka aige ushetani huo, never!!
Mtu kama hawajibiki ni sahihi kabisa kutumbuliwa, there is no other way out, wala hakuna usheitwani hapo, kama huwezi kufanya kazi ni bora uwaachie wanaoweza kuifanya hiyo kazi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…