Rais hakuwatuma Polisi wamkamate Mbowe na kumpa kesi ya ugaidi

Dola kweli dollar kiss my ass you idiot. The schemer at work.
 
Gaidi Mbowe yupo chini ya ulinzi salama wa Polisi, nchi nzima imetulia hakuna matukio ya ajabu ajabu kama Uamsho walivyowekwa sehemu salama na Zenji ikatulia.
 
Gaidi Mbowe yupo chini ya ulinzi salama wa Polisi, nchi nzima imetulia hakuna matukio ya ajabu ajabu kama Uamsho walivyowekwa sehemu salama na Zenji ikatulia.
Katiba mpya ndio tiba.
 
Acha uongo Mdini sana wewe
 
Takbiiirr!!!
 
Mnakuwaje Mwenyekiti wa chama yule yule Kwa zaidi ya miaka 20
Nyerere alikuwa mwnyekiti wa TANU na CCM kwa miaka 36 (1954 hadi 1990).

Uenyekiti ndani ya CCM hauna ukomo wa muda wa kuushikilia sema tu mtu akishatoka madarakani anaona ili chama chao kiendelee kuwa chama dola basi amuachie rais atokanaye na chama hicho awe mwenyekiti ili atumie nguvu za kidola kukipa manufaa chama
 
Hizi dini zilizoletwa na meli zimeharibu akili zetu waAfrika hadi tunatia kinyaa.

Tangu lini umekuwa msemaji wa Ikulu !.Rais angekuwa Irene au Stellah ungekuja na andiko lako la kipuuzi na unafiki.
Kitu pekee nilichompendea Magufuli ni kutuondolea hawa wapuuzi jf pamoja na kuwafekelea mbali wale magaidi wa Mkiru na wenzao wengi tu
 
Katiba hirai hilo nalo hujui
 
Kitu pekee nilichompendea Magufuli ni kutuondolea hawa wapuuzi jf pamoja na kuwafekelea mbali wale magaidi wa Mkiru na wenzao wengi tu
MKIRU palikuwepo na gaidi? Nani huyo mtaje
 
Mkuu wewe ndio msemaji wa polisi tz au msemaji wa ofisi ya raisi? Hao viongozi wa vyama vya upinzani wanatumia nguvu kubwa ipi? Wana silaha gani ya kuwawezesha watumie nguvu kubwa. Kati yao napolisi walio wakamata nani wanaotumia nguvu kubwa kama sio polisi, wenye kila aina ya silaha za moto. Walio kamatwa hata visu hawana. Mkuu dai la katiba mpya sio la wana siasa pekee hata sisi wananchi tusio kuwa wanachama wa vyama vya siasa tuna dai katiba mpya. Katiba mpya ni haki yetu wananchi na si hisani au huruma ya raisi tunaemuweka madarakani sisi wananchi
 

Be consistent, wakikimbilia kudai tume huru ya uchaguzi na kuacha mengine ya muhimu zaidi ndani ya katiba, ndio itakuwa dhahiri kabisa kuwa nia yao hasa ni REGIME CHANGE! basi. Tutawapuuza.

Katiba inatakiwa kuwekwa sawa ili tuondokane na mfumo wa CHAMA DOLA usioruhusu wananchi kuwa na uwezo wa kuisimamia na kuiwajibisha ipasavyo serikali na wawakilishi wao wakienda tenge. Bunge lenyewe haliko huru, mahakama haiko huru, jeshi na vyombo vya dola ni kama matawi ya chama, n.k.

Hayo na mengine mengi ndiyo yanatakiwa kuwekwa sawa. Mabadiliko muhimu yakifanyika, wananchi hawatakuwa na shida na nani anakuwa madarakani. Ile adha ya mtu mmoja kulazimisha watu wote kuita Covid-19 “changamoto za kupumua”, kwa mfano, haitakuwepo tena.

Mama SSH angefanya la maana sana kama angeamua kuumiliki na kuuongoza mwenyewe mchakato wa katiba mpya na kuuwekea kalenda badala ya kufuata msimamo uliokosa mantiki wa mtangulizi wake. Alichofanya sasa ni kama kuacha CHADEMA wachukue initiative ya suala hili lenye uzito mkubwa sana kwa taifa.

Hii si fair kwa wananchi. Si sawa kufanya suala muhimu kama hili kuwa la CHADEMA pekee kama serikali na watetezi wake kama mleta mada mlivyopania kulifanya. For sure, hii mipasho dhidi ya CHADEMA haina faida yoyote kwetu. Besides, you are unwittingly elevating CHADEMA.
 
Kama hadi boss wao anakiri kawaambia wasiwabambike kesi watu
 
Chama cha wapare na wachaga kina maslahi yake binafsi kuna wengine hapo wanafuata msafara tu.
 
Wewe ni mnufaika wa unyonge wa watanzania!
 

Unataka regime change kisha uje uongozwe na mbowe?

Ambae kwa miaka 17 yupo kwenye chama kama mwenyekiti,na hatak kutoka
 
Na hakuwa kutamka popote wakamatwe,na hastahili kuingilia kati kwa kuwa mama anafuata utawala wa sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…