Hata Kama ingekuwa kweli sasa katiba ya chadema, act, nccr, ccm nk inahusiana vip na katiba ya Tanzania ya Watanzania? Kwani katiba ya nchi inazaliwa na katiba za vyama? Yaani baba unahalalisha kazi yako ya wizi kwa hoja kwamba hata mwanao wa kumzaa naye Ni mwizi!!!!!Wewe ndiyo bogus,we unakubali vip mbowe akupiganie katiba mpya Ili hali katika katiba ya chama chake kajiongezea muda wa kukaa madarakan kwa kuondoa Kikomo Cha kukaa madarakan??
Miaka 17 yupo hatak kutoka akipewa nchi si atakuwa kama museven huyo
Hamna rangi mtaacha kuona. JPM aliwajueni na mliufyata. Mama katekenya kidogo tu!
Majibu wanayo Cheyo Lipumba na Mrema,pia waulize CCM kwanini kwenye chama chao mgombea wa uenyekiti taifa anakuwa mmoja tu? Hayo ya CCM ndani ya chama Chao hayatuhusu mtajuana wenyewe,tunataka katiba mpya sio ya CCM Wala Cuf na CHADEMAUkomo wa utawala ndan ya Chama,
Is freeman mbowe a lifetime chadema chairman??
Please naomba majibu
andishiHilo la udini ni kweli,sisi ni wadini...
Ni waislam Alhamdulillah,tumezaliwa waislam na Inshallah tunaomba Allah tufe hali ya kuwa ni waislam,maana instead of kufa Muislam ni hasara katika maisha haya ya ulimwengu had kesho akhera,
Hatumtetei Samia kwa kuwa ni Muislam mwenzetu,Ila kama mutamzonga zonga kwa kuwa tuh yeye ni muislam. Basi tutakesha kumtetea,asihukumiwe kwa iman yake,ahukumiwe kwa sera zake na Chama chake
Choo kweli kweli huyu, ni mdini tuu na hawa ni hatari kuliko wale watekajithe big choo
Hivi SSH siyo amirijeshi mkuu wa Tz?Friends and Enemies,
Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,
Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...
Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,
Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,
After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,
Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??
Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
Wazee wa kuomba tende uarabuni.
Si unaona hata ziito kabwe kisa udini hana kelele sana si mnakumbuka hata kpnd cha kikwete
Maelekezo ya kuwakamata wapinzani na kuwafrem kesi za ugaidi ni maelekezo kutoka state!
Samia hakwepi laana, tupo humu vyomboni na tutavujisha kila kitu tumuaibishe shetani, ifike mahali ccm muheshimu wenye nchi yao(watanzania).
Hivi, mbowe kuwa mwenyekiti all these yrs, Huoni ubaya hapo. Au mkuki kwa nguruwe mtamuKatiba ya Chadema imewahi kufanyiwa mabadiliko mengi
Labda ulitaka katiba ya CHADEMA iweje kwa mfano?
Unadhani kuna kitu gani kibaya ndani ya katiba ya CHADEMA?
You nailed it dude! Hilo ndilo kosa kubwa la karne chadema walifanya. Wakasahau kwamba urais siyo mtu peke yake bali ni taasisi. Rais SSH aliwapa jibu sana, as you pointed out, ilikuwa ni issue ya kumpa muda tu ajiweke sawa ofisini then angekutana nao na wengine wote wenye issues za kuongea. Wao wakamuona ni dhaifu (mtu) wakasahau kwamba nchi inaongozwa kitaasisi. Rais hata angekuwa mpya, mwanamke, kijana au mzee, ni ujinga wa hali ya juu kudhani kuwa huyo mtu ni dhaifu na kwa hiyo na serikali ni dhaifu. Huwezi kutaka kumwendesha rais kama gari bovu, hakuna nchi ya aina hiyo. Mkiwa na serikali ya aina hiyo basi mnaelekea kwenye anarchy. Hatuwezi kuruhusu nchi iangukie kwenye anarchy kwa ajili ya maslahi binafsi ya watu wachache. JPM aliwaweza sana hawa wapuuzi.Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,
Eti na sasa yupo motoni, bavicha design kama mko na vinyesi kwa kichwaKwahiyo mama wa kambo ameshindwa kuwakamata waliojiunganishia bomba la mafuta hapa Dar kwakuwa ni mwanamke ama? Leo naona hujasema kwakuwa yeye ni muislamu japo utetezi wako ni wa mrengo huo. Huyo Magufuli unayesema eti watu walinyamaza kuhusu katiba mpya, si ndio huyo alizuia mikutano nchi nzima, na bado kwenye chaguzi zote ilibidi anahisi uchaguzi? Si ndio huyo alimiliki kundi la watu wasiojulikana ili kuteka na kuua watu? Ni kesi ngapi zimewakuta wapinzani kipindi chake kama watu walikuwa kimya?
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule dhalimu na sasa yuko motoni. Sasa hivi tuko na huyu mama wa kambo ambaye kwako ni muislamu. Ni hivi, tunataka katiba mpya, awe ni mama wa kiislamu au baba wa kikristo ni lazima ipatikane. Hiyo reforms ya cdm kaidai ww, sisi tumeamua kudai hii ya nchi. Hutaki kunywa sumu ufe.
Ai unaona kaenda sasa wanamisi Makori?Kuna ccm ataweza kuwa mbabe Kama mwendazake? Leo mbona aliwa na funza tu Kama wengine!!
Friends and Enemies,
Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,
Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...
Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,
Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,
After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,
Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??
Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
Gwajima anampuuza na watamtoa kaka ya 2025a hana sauti ndio maana wasukuma wanampuuza.