Rais hakuwatuma Polisi wamkamate Mbowe na kumpa kesi ya ugaidi

Rais hakuwatuma Polisi wamkamate Mbowe na kumpa kesi ya ugaidi

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
16,950
Reaction score
13,527
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,

Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
 
Mchina huwez ongea nae kwa lugha ya kihispania,utazungumza nae kichina,

Mreno huwez ZUNGUMZA nae kijeruman, utazungumza nae kireno,

Mkongo huwez ZUNGUMZA nae kiswahili, utazungumza nae kikongo,chadema wanapaswa kuongea nao lugha wanayoielewa vyema
 
Mchina huwez ongea nae kwa lugha ya kihispania,utazungumza nae kichina,

Mreno huwez ZUNGUMZA nae kijeruman, utazungumza nae kireno,

Mkongo huwez ZUNGUMZA nae kiswahili, utazungumza nae kikongo,chadema wanapaswa kuongea nao lugha wanayoielewa vyema
Chadema ni kama mwanamke wa kikurya… bila vibao ndoa haikaliki

wanapenda hizi popularity za drama, zinawapatia Pesa ya kuishi viongozi wao
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Waliojaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alichokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanai ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
Haha we jamaa ni mdini sana. Mwendazake ulimpinga mwanzo mwisho kwa sababu ya udikteta. Huyu anafanya yaleyale kuminya haki za watu unakata viuno kumshangilia kwasababu ya udini
 
Udikteta wa Magufuli ulikuwa unaukemea leo unausifia ili upate justification ya kumlinda mama yako alieko ikulu, nyie wajinga mpo tayari kuona watanzania wanapata matatizo ili kulinda "interest" zenu ni wanafiki na wasaliti wakubwa wa hili taifa.
 
Haha we jamaa ni mdini sana. Mwendazake ulimpinga mwanzo mwisho kwa sababu ya udikteta. Huyu anafanya yaleyale kuminya haki za watu unakata viuno kumshangilia kwasababu ya udini

Sikuwahi kuwa upande wa mwendazake siyo kwa kuwa ni mkristo,Kwan hawa chadema ambao mwendazake alikua akawapa kibano ni waislam?ni wakristo wenzake hawa kina Mbowe,lkn nilimkataa kwa movement zake,Ila amekuja ambae at least anaonesha kutaka kufanya kaz na hawa wanasiasa uchwara kama chadema wanajifanya wanataka kuwa majabali wataweza vip kushindana na dola?
 
Haha we jamaa ni mdini sana. Mwendazake ulimpinga mwanzo mwisho kwa sababu ya udikteta. Huyu anafanya yaleyale kuminya haki za watu unakata viuno kumshangilia kwasababu ya udini
Weka mbali na wananchi fikra hizo.
Udini na Ukabila ni kitu mbaya sana.
 
Wake up,chadema hawapo for constitution reforms,they are after regime changes,kama kweli wangekuwa Wana uchungu na katiba wangetuonesha mfano kwa kuanza na katiba ya Chama Chao kwanza,
Katiba ya Chadema imewahi kufanyiwa mabadiliko mengi
Labda ulitaka katiba ya CHADEMA iweje kwa mfano?
Unadhani kuna kitu gani kibaya ndani ya katiba ya CHADEMA?
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
Logically inaweza kuwa ndivyo sivyo kumbe ndivyo ilivyo.
Muda ndio mwamuzi wa kila kitu.
 
Mchina huwez ongea nae kwa lugha ya kihispania,utazungumza nae kichina,

Mreno huwez ZUNGUMZA nae kijeruman, utazungumza nae kireno,

Mkongo huwez ZUNGUMZA nae kiswahili, utazungumza nae kikongo,chadema wanapaswa kuongea nao lugha wanayoielewa vyema
Aisee...lugha ya Chadema ni ipi Sasa?
 
Chadema ni kama mwanamke wa kikurya… bila vibao ndoa haikaliki

wanapenda hizi popularity za drama, zinawapatia Pesa ya kuishi viongozi wao
True wanawake wa kikurya bila ubabe hawaendi.Ukitaka ndoa za kibabe au kijeshi oa mkurya huwa awakimbii nyumba utakimbia wewe ukichoka utarudi mwenyewe anadunda akihudumia familia kama kawaida na utaikuta familia ipo salama.
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
Ulishawahi kuwaza siku binti yako wa miaka 7 hivi anakuliza baba we we na mama usiku mnapokuwa mmelala mnaota ndoto na mnalia kwa sauti kubwa sana mpaka mnamshitua usingizini, utamjibu nini? Nanachotaka ujue kuwa we we ni bado mtoto ktk watu wazima. Unisamehe lkn nakuombea unielewe, uwe na amani anyway.
 
Kwann mnahangaika na chadema isiyo miliki hata rungu sembuse silaha au jeshi mna akili kweli,au mnapiga dili ya kulamba kodi zetu kupitia kamatakamata.
Maana KILA siku kamata achia kamata achia ieleweke hii biashara ya watu
 
Katiba ya Chadema imewahi kufanyiwa mabadiliko mengi
Labda ulitaka katiba ya CHADEMA iweje kwa mfano?
Unadhani kuna kitu gani kibaya ndani ya katiba ya CHADEMA?

Ukomo wa utawala ndan ya Chama,

Is freeman mbowe a lifetime chadema chairman??

Please naomba majibu
 
Back
Top Bottom