Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Ndoto za alinacha
haujui hata nani anatwala hii dunia au unafikiri mambo yanatokea tu? raisi wako anashikilia tu nafasi muulizeni ndugu yenu uhuru kenyata na raila odinga kilichowapata na kwa nini wamemshindwa ruto ? Au unafikiri ni ruto ndiye “aliyeshinda” uraisi wa kenya?