Rais hamuamini Makamu wake?

Rais hamuamini Makamu wake?

Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.

Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na Rais mwenyewe tena nje ya nchi, kuna ulazima gani wa Rais kusaini nje ya nchi, kama kazi ndogo kama hiyo makamu haaminiwi ni kipi sasa kidogo atakachoaminiwa?

Wajuvi wa protokali ikoje hii.

View attachment 2770287
kwani ccm wanatambua uwepo wa hiyo Katiba? Subiria waandae mtaala wa twisheni!
 
ni kweli kabisa kulingana na mtazamo wako.

Lakini, ni lini Rais amekua hayupo kazini hata amuachie Makamu wake?

Rais yupo kazini iwe yupo ulaya, Amerika ama Asia. Anatekeleza majukumu yake vizur sana akiwa ndani ama nje ya nchi.

Lakini pia taasisi ya Urais ina ukubwa wa kipekee kutekeleza majukumu na kazi za Rais kwa weledi mkubwa sana na kwa mujibu wa sheria.
Kwa uelewa wangu Rais akiwa nje ya nchi amekwenda kwa majukumu muhimu, ambayo yanahitaji aweke mawazo na akili yake yote kwenye alichokiendea.

Sioni kama kutakuwa na ufanisi kama ataendelea pia kushughulikia masuala ya nyumbani, ambayo yangeweza kusubiri arudi au yafanywe na mtu aliyekasimu mamlaka kwake.
 
Kwa weledi, uchaji wa Mungu na AKILI NYINGI za Dr. Mpango, ni kazi kubwa kufanya kazi na SAMIA
 
Kwa uelewa wangu Rais akiwa nje ya nchi amekwenda kwa majukumu muhimu, ambayo yanahitaji aweke mawazo na akili yake yote kwenye alichokiendea.

Sioni kama kutakuwa na ufanisi kama ataendelea pia kushughulikia masuala ya nyumbani, ambayo yangeweza kusubiri arudi au yafanywe na mtu aliyekasimu mamlaka kwake.
bas sawa kama ni kwa uelewa wako.

hayawezi kusubiri hadi arudi yuko ofisini kazini ndio maana mambo yanafanyika na kusonga mathalani teuzi na tenguzi kila mara awepo ndani au nje ya nchi.

Makamu ni Principal assistant tu hana difined responsibility zaidi ya ili muhimu ya kua Rais pale ambapo Rais alieko mamlakani hawezi tena kutekeleza majukumu yake kwasabb za kiafya, kufariki n.k

Tofauti na hapo Makamu wa Rais atafanya yale tu atakayo elekezwa na Rais afanye.
 
ulichoeleza ni kifungu cha ngap?

akiwa nje ya nchi kwa maana ya mathalani ni mgonjwa asiweza kutekeleza majukumu ya Rais ndipo Makamu anaweza chukua nafasi yake.

Lakini sasa Rais yupo nje kikazi,
yupo timamu,
na ana afya njema
anatekeleza majukumu na kazi zake vizur,
na wajibu wake kwa mujibu wa sheria anamuajiaje asie husika?
Ili avunje sheria right?
kwahiyo alivyosafiri hajamkaimisha mtu madaraka yakuongoza nchi?.anatembea namadaraka ya uonhozi wa nchi hadi nje ya nchi?.Kama ni hivyo mmmmmh
 
Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.

Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na Rais mwenyewe tena nje ya nchi, kuna ulazima gani wa Rais kusaini nje ya nchi, kama kazi ndogo kama hiyo makamu haaminiwi ni kipi sasa kidogo atakachoaminiwa?

Wajuvi wa protokali ikoje hii.

View attachment 2770287
Sijawahi ona VP akisaini barua ya Uteuzi Toka Tzn iundwe
 
Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.

Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na Rais mwenyewe tena nje ya nchi, kuna ulazima gani wa Rais kusaini nje ya nchi, kama kazi ndogo kama hiyo makamu haaminiwi ni kipi sasa kidogo atakachoaminiwa?

Wajuvi wa protokali ikoje hii.

View attachment 2770287
Onesha hiyo barua alosaini Rais upate milioni moja ya Kenya.
Kenge wewe
 
kwahiyo alivyosafiri hajamkaimisha mtu madaraka yakuongoza nchi?.anatembea namadaraka ya uonhozi wa nchi hadi nje ya nchi?.Kama ni hivyo mmmmmh
sio madaraka tu na mamlaka Kamili ya Urais ndio maana anapokelewa kwa heshima na salute ya utii na heshima ya Rais huko aliko.

Anakasimisha nadharia tu,
kwamba ndugu yangu Makamu wa rais, ninasafiri kidogo ninakwenda nitarudi kaeni salama.
Ikiwa kuna jambo lisilo la kawaida msisite kunishirikisha na kuniarifu niwaelekeze cha kufanya.

CDF, big up sana nakuaminia, IGP unafanya kazi nzuri,endelea nenda nao taratibu siasa ndivyo ilivyo. Lazima wakulalamikie na wakulaumu sana.

Waziri mkuu na naibu waziri mkuu, tafadhali mtamuarifu speaker natoka kidogo. Endeleeni kuchapa kazi mkayasimamie tuliyokubaliana..

Jaji mkuu, mwende mkafanye kazi ya kusimamia haki kwa weledi. Nikirudi kuna jambo nahitaj tuliweke sawa. Tutafanya kikao kidogo.

Haya jaman mimi nakwenda.........
Kisha mama anaingia kwenye gari kuelekea uwanja wa ndege kukwea pipa huyo ughaibuni.

Kwenye ofisi yake sasa ndani ya BOING, anamuita Zuhura Yunusi na katibu Mkuu kiongozi,

Hebu ñjooni na lile faili la mapendekezo ya teuzi za wakuu wa wilaya na Wakurugenzi. Kazi inaendelea.....

Hadi anafika Dubai tayari pdf la teuzi lipo tayari na Zuhura yunusi kaisha upload na kuliposti katika kila page ya ikulu........

vivyohivyo wakat wa kurud nyumbani kazi inaendelea......
 
bas sawa kama ni kwa uelewa wako.

hayawezi kusubiri hadi arudi yuko ofisini kazini ndio maana mambo yanafanyika na kusonga mathalani teuzi na tenguzi kila mara awepo ndani au nje ya nchi.

Makamu ni Principal assistant tu hana difined responsibility zaidi ya ili muhimu ya kua Rais pale ambapo Rais alieko mamlakani hawezi tena kutekeleza majukumu yake kwasabb za kiafya, kufariki n.k

Tofauti na hapo Makamu wa Rais atafanya yale tu atakayo elekezwa na Rais afanye.
Hivi Katibu Kiongozi kazi yake nini?
Kama hawezi kusaini hata barua ya mteuliwa hadi Rais asaini akiwa ughaibuni kuna haja ya kuwa pale?
 
Hivi Katibu Kiongozi kazi yake nini?
Kama hawezi kusaini hata barua ya mteuliwa hadi Rais asaini akiwa ughaibuni kuna haja ya kuwa pale?
ni afisa masuhuli Ikulu ya Rais,
majuku yake kwa kiasi yanashabihiana na makatibu wakuu wa wizara na kwingineko.
Ni mtendaji mkuu ikulu,
wanachopanga katibu mkuu, na maafisa wengine ikulu na Rais ndicho hutangazwa na Zuhura Yunusi
 
Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.

Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na Rais mwenyewe tena nje ya nchi, kuna ulazima gani wa Rais kusaini nje ya nchi, kama kazi ndogo kama hiyo makamu haaminiwi ni kipi sasa kidogo atakachoaminiwa?

Wajuvi wa protokali ikoje hii.

View attachment 2770287
Ndgu, rejea kifungu hapo juu" kama ataagizwa"
Simply tu hawezi fanya kama ataagizwa. Aliagizwa ndipo kifungu kidogo"c"kitakuwa na nguvu.
 
Je, ni kweli kuwa Makamu hajawahi kumuwakilisha Rais mikutano ya nje ya nchi? Au uliamua kuruka sarakasi na taulo?
Sijasema kuwa huwa haendi! Hata wakati wa JPM, karibia Safari za nje zote alikuwa anawakilishwa na Makamu wake na si Rais wa Zenji!
 
Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.

Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na Rais mwenyewe tena nje ya nchi, kuna ulazima gani wa Rais kusaini nje ya nchi, kama kazi ndogo kama hiyo makamu haaminiwi ni kipi sasa kidogo atakachoaminiwa?

Wajuvi wa protokali ikoje hii.

View attachment 2770287
Labda katiba ndiyo iepitwa na wakati, kwani kwa mazingira ya sasa, rais anafanya kazi au vikao akiwa popote pale.
Hicho kipengele inabidi kiseme Makamu wa rais atafanya kazi kwa maagizo au atakapotumwa na rais.
 
Back
Top Bottom