Ndoto za alinacha
haujui hata nani anatwala hii dunia au unafikiri mambo yanatokea tu?
[/QUOTE
Utaikumbuka post yangu 2025 sis there to stayUtakumbuka hii post yangu na Habari zako za vijiweni hizo, 2025 Samia is there to stay.haujui hata nani anatwala hii dunia au unafikiri mambo yanatokea tu? raisi wako anashikilia tu nafasi muulizeni ndugu yenu uhuru kenyata na raila odinga kilichowapata na kwa nini wamemshindwa ruto ? Au unafikiri ni ruto ndiye aliyeshinda uraisi wa kenya?
Utakumbuka hii post yangu na Habari zako za vijiweni hizo, 2025 Samia is there to stay.haujui hata nani anatwala hii dunia au unafikiri mambo yanatokea tu? raisi wako anashikilia tu nafasi muulizeni ndugu yenu uhuru kenyata na raila odinga kilichowapata na kwa nini wamemshindwa ruto ? Au unafikiri ni ruto ndiye “aliyeshinda” uraisi wa kenya?
Mkuu usikute huyu ndo Mh. Makamu mwenyeweKwani makamu mwenyewe kalalamika...?
Puuza!Acha kuidhalilisha TEC....
Yaani mtu akiwa muislam wa Sunni basi nguvu yake "BAKWATA"?!!!
Uzwazwa huu ni wa kutoka tumboni kwa mama yako ?!!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Utakumbuka hii post yangu na Habari zako za vijiweni hizo, 2025 Samia is there to stay.
Quote
Wewe hujielewi. Makamu hufanya kazi anazotumwa na Rais. Sasa kama Rais kaona afanye mwenyewe jukumu fulani ndo kutomwamini makamu? Acha uchonganishi kijana.Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.
Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na Rais mwenyewe tena nje ya nchi, kuna ulazima gani wa Rais kusaini nje ya nchi, kama kazi ndogo kama hiyo makamu haaminiwi ni kipi sasa kidogo atakachoaminiwa?
Wajuvi wa protokali ikoje hii.
View attachment 2770287