JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Unapigania legacy kuliko afya ya watoto wako.Hao MATAGA wanacho bishia ni kutaka kuhalalisha uongo wa Jiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapigania legacy kuliko afya ya watoto wako.Hao MATAGA wanacho bishia ni kutaka kuhalalisha uongo wa Jiwe
Ufipa lazima mchanjwe mtake msitake
Umesema niachane na maswali basi itabidi niatizame tu maelezo yako.Achana na maswali
Point ni kuwa Kuchanjwa si lazima kuwe na mlipuko nchini. Nchi inaweza isiwe na corona lakini raia wakachanjwa kujikinga na corona hivyo usishangae raisi kutovaa barakoa au raia kujiachia halafu raisi wao akawaambia kutakuwa na chanjo ya ugonjwa ambao wewe huoni kama upo nchini.
Maswali yangetutoa kwenye hoja ya msingi niliyotaka uisikie. Hoja yenyewe ni chanjo si lazima itolewe kipindi kuna mlipuko wa ugonjwa.Umesema niachane na maswali basi itabidi niatizame tu maelezo yako.
Jiandae kuchanjwa! Utake usitakeFashisti anapigwa kote kote daadeki....
Yaani upuuzi wake uli wabrainwash vibaya mno
Jiandae kuchanjwa! Utake usitake
OkMaswali yangetutoa kwenye hoja ya msingi niliyotaka uisikie. Hoja yenyewe ni chanjo si lazima itolewe kipindi kuna mlipuko wa ugonjwa.
Endelea kuchanjwa mkuu!Huku nchi nilipo nisha chanjwa Mara zote mbili. Sasa huyo mchawi wenu endeleeni kumlindia legacy
Mwenye jina la mkopo ni wakumwogopa kwani hata akili zaweza kuwa za mkopo.Mimi ntakuwa karibu kuwashika matkle bavicha ili chanjo iingie vizuri
Wacha Sukuma Gang waendelee kubwabwaja wakati dunia inasonga mbele!
Endelea kuchanjwa mkuu!
K wewe! Unadhani wote wanamsujudu shetani mtu wenu!Acha ujinga, Rais wa Tanzania na Zanzibar wamewekwa kwa kiasi kikubwa na msio mpenda.
Wamewezeshwa kukaa pale. Ulinzi na Usalama unazingatiwa.
Mimi ntakuwa karibu kuwashika matkle bavicha ili chanjo iingie vizuri
Hata jiwe alikuwa na mawazo kama yako
Mimi Sweettablet SITACHANJWA. Ila ninyi mtakaochanjwa, I wish you all the best. Lakini, tutaendelea kukutana humu humu JF na machanjo yenu na mabarakoa yenu!Hii inaitwa late fear of magufuli