mbaghato chaka
JF-Expert Member
- Jun 6, 2021
- 521
- 664
Mbona hujawai kushituka serikali kila mwaka inatoa ruzuku kuyapa makanisa mabilion ya pesa ? Tangu miaka ya 90+ baada ya mkataba wa MouNimemsikia Rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waislam wanapoenda Hija.
Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kuitaka Serikali ya Muungano igharamie ibada ya dini moja?
Kwa vile walichomfanyia Mzee Shamte na jinsi alivyongea kumjibu Makamu wake ..... kwa kweli nimeondokewa na imani naye. Nilikuwa nampa benefit of doubt kuwa labda anaweza kuwa ni kiongozi mzuri ...... Nimeeamini siyo rahisi mtoto wa Kiongozi wa juu kuja kuwa kiongozi bora maana wamezoeshwa tabia fulani ambayo inwafanya wawe na kiburi, majivuno au kuaamini wao wamezaliwa kuwa viongozi .....!!Nasisitiza Rais Mwinyi ameanza kujisahau.
Anafikiria popular politics kuwaridhisha wazenj at the expense ya watanganyika.
Kwani govt wamezikanusha Na kutoa zao?Data za Zito hazina uhalisia, bring data from the GOV.
Hilo pendekezo mpelekee MwinyiKama ni hivyo wafanye waisilamu sio kuwachangisha na wasio waisilamu
Wewe umeleta data?Sioni uhalisia na unachokisema leta data hapa, usiupoteshe umma. Wao wanakusanya kodi yao na wala haiwatoshi Bara wanawasaidia.
Wacha kuleta uda umma PartyHizbu..mbona mnachuki sana mioyoni mwenu.
#MaendeleoHayanaChama
Si umfuate ukamwambie unakatika maini Bure??JKN alikosea sana kuacha zenji alitakiwa afyekelee mbali kabisa zenji..ibaki serikali moja tu..hawa watu wameanza kua mwimba ndani ya muungano wetu.
#MaendeleoHayanaChama
Sio kazi ya serikali kukanusha kila kitu ni kupoteza muda hazina mashiko ndugu. Huko ni kupoteza wakati Serikali haina huo muda wa kupoteza kwajibu wanasiasa.Kwani govt wamezikanusha Na kutoa zao?
Wewe ndie ulie quote za Zitto, mimi nakueleza data za Zitto sio halisia naona hunielewi. Narudia leta data za serikali kutetea hoja yako. Huu si ubishi wa simba na yanga mzee.Wewe umeleta data?
Ulielewa au japo kusikia alichosema na kumaanisha au unapuyanga tu? Kuna waliosema mapato ya serikalini wakristo wachangie pale???Kwani wao kwa mapato ya Serikali yao wameshindwaje?
Ni kwamba kodi zetu wakristo zianze kuchangia waislam kwenda hija ilhali wao huwa wanabomoa na kunyima viwanya makanisa Zanzibar.
Yani huku tuvuje jasho wao wajimegee tu, dah huu muungano huu wa kingese
iSio kazi ya serikali kukanusha kila kitu ni kupoteza muda hazina mashiko ndugu. Huko ni kupoteza wakati Serikali haina huo muda wa kupoteza kwajibu wanasiasa.
Sio kazi ya serikali kukanusha kila kitu ni kupoteza muda hazina mashiko ndugu. Huko ni kupoteza wakati Serikali haina huo muda wa kupoteza kwajibu wanasiasa.
Kwani serikali inakuwa Na muda wa kutoa data ?Wewe ndie ulie quote za Zitto, mimi nakueleza data za Zitto sio halisia naona hunielewi. Narudia leta data za serikali kutetea hoja yako. Huu si ubishi wa simba na yanga mzee.
Jaribu uje ile mchana wakati wa Ramadhani tena mbele ya watu utapatar jibuZanzibar si nchi ya kiisilamu, haijawahi na haitakuwa labda nje ya muungano.
Sikuwahi kudhani Mwinyi hana busara kiasi hicho
Hakuna sababu yoyote ya kuligawa taifa kwa itikadi za kidini.Serikali haiwezi kugharamia masuala imani ya mtu binafsi.
Anaona yeye na mama chama kimoja, dini moja na ni wazanzibari hivyo lolote wanaweza kulifanya bila pingamizi.Sikuwahi kudhani Mwinyi hana busara kiasi hicho
Hakuna sababu yoyote ya kuligawa taifa kwa itikadi za kidini.Serikali haiwezi kugharamia masuala imani ya mtu binafsi.
Data nyingine zipo wazi kwenye web-sites za serikali nyingine ni za kutafuta, tusilete data ambazo sio official na kuzijengea hoja period.Kwani serikali inakuwa Na muda wa kutoa data ?
Ndiyo nilikuambia ulete wewe hizo data Kama kweli serikali wanazoData nyingine zipo wazi kwenye web-sites za serikali nyingine ni za kutafuta, tusilete data ambazo sio official na kuzijengea hoja period.
Tena kodi zetu zingine zinatokna na mauzo ya vileo ambavyo wao hawavitaki viwe sehemu ya mapato ya serikaliKwani wao kwa mapato ya Serikali yao wameshindwaje?
Ni kwamba kodi zetu wakristo zianze kuchangia waislam kwenda hija ilhali wao huwa wanabomoa na kunyima viwanya makanisa Zanzibar.
Yani huku tuvuje jasho wao wajimegee tu, dah huu muungano huu wa kingese
Hoja ni yako mzee sio yangu, huna basi achana nayo.Ndiyo nilikuambia ulete wewe hizo data Kama kweli serikali wanazo