Sioni uhalisia na unachokisema leta data hapa, usiupoteshe umma. Wao wanakusanya kodi yao na wala haiwatoshi Bara wanawasaidia.Kiasi ujambe hivyo kwani mapato yote ya bait la jaibu Na sehemu Za historia Zanzibar yanapelekwa Tanganyika Na Pia pesa Za viza zote Za wanaingia Airport Na bandarini zinakwapuliwa Na Tanganyika pesa Za Wazanzibari walioko nje zinaingia Tanganyika nk