Vatican sio nchi wanajihusisha na Nini katika hizo baloziUbalozi wa Vatican upo mpaka Saudia!!sasa sijui hoja yako ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vatican sio nchi wanajihusisha na Nini katika hizo baloziUbalozi wa Vatican upo mpaka Saudia!!sasa sijui hoja yako ni nini?
Mfano NGO gani ya kiislam ilitoa msaada Tanganyika, wa shilingi ngapi ambazo zilitakiwa Kwenda Zanzibar hazikwenda?Mambo ya ndani ya Zanzibar sio mambo ya Mungano..
Mikopo na misaada kutoka nchi za nje ni mambo ya Mungano
NGO za kiislam zinatoa misaada ya mfuko wa Hijja lakini hazifiki Zanzibar direct,zinafikia kwenye serikali ya Mungano,..
Hizo ndio pesa Mwinyi anazozizungumzia
Da nimecheka Sana kaka sijui ndugai kaiona hiiNa mimi namuomba Mama anisaidie nauli nikamuone mke wa Yesu kule Israel,maana ni miaka mingi imepita sijaenda.
Mimi Tanzania sihami Ila wanangu ruksa wakitaka kuhama nchi.
Unahamaje, kwenye stress free country ya Tanzania?
Ili kuondoa upendeleo,huo mfuko uwe kwa kila anayetaka kwenda kuhiji(hata wakristo huenda hija,Israel).
Kama vile serikali ikiombwa huwa inapunguza Kodi au kutoa ruzuku kwa taasisi za kidini,kama hospitari na shule.basi huo mfuko usiwe kwa Islam peke yao,hiyo pesa ni Kodi ya umma,haiwezi kutumika kuendeleza dini moja,
Mkuu mbona unamsakama sana mheshimiwa Rais kwa mambo mazito hivyo?
Issue ya (a) visiwa kila akikutana na wanahabari huwa anagusia maana maswali huwa hayakosekani, but yeye ndiye wa kwanza kufanya hivyo?.
(b) masoko na barabara yanayojengwa bububu, kwerekwe ni pesa mliyokuwa mnapiga kuruhusu mizigo ya rafiki na ndg zenu pale bandarini au uwanja wa ndege.
Pale darajani ni mkataba kati wa watu binafsi, serikali na chama cha mapinduzi.
Mapato ya kuuza urojo yanatosha kweli?Kwani wao kwa mapato ya Serikali yao wameshindwaje?
Ni kwamba kodi zetu wakristo zianze kuchangia waislam kwenda hija ilhali wao huwa wanabomoa makanisa Zazibar
Iran ina balozi wake Vatican piaVatican sio nchi wanajihusisha na Nini katika hizo balozi
Polepole naona dish limeanza kuyumbaNimemsikia Rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waislam wanapoenda Hija.
Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kuitaka Serikali ya Muungano igharamie ibada ya dini moja?
Kuna za riba ambayo ni haramu kwenye uislamu,kuna kodi za pombe ambazo ndizo nyingiHizo fedha hazifai kwendea hijja maana baadhi zimetokana na faida za mauzo ya vileo.
Umepotosha mpaka nikajisikia kichekoKwani wao kwa mapato ya Serikali yao wameshindwaje?
Ni kwamba kodi zetu wakristo zianze kuchangia waislam kwenda hija ilhali wao huwa wanabomoa makanisa Zazibar
Washaanza tena..!! Kwa hiyo wale wasio waislamu na ambao huwa wanakwenda hija nao watengewe mfuko wao? Halafu hao wasio waislamu, nani awapelekee ombi lao kwa serikali ya muungano? Hivi nini kinampa ujasili wa kupeleka maombi hayo? Au wazanzibari kuwepo madarakani pande zote? Au waislamu kuwepo madarakani pande zote..!!?? HatariNimemsikia Rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waislam wanapoenda Hija.
Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kuitaka Serikali ya Muungano igharamie ibada ya dini moja?
Vatican ni nchi ama sio nchi ikiwa sio nchi balozi zake zinashughulikia niniIran ina balozi wake Vatican pia
Kwavile Zanzibar hairuhusiwi kupata mikopo ya nje,Mf
Mfano NGO gani ya kiislam ilitoa msaada Tanganyika, wa shilingi ngapi ambazo zilitakiwa Kwenda Zanzibar hazikwenda?
Ngoja tusubiri ukweliNimemsikia Rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waislam wanapoenda Hija.
Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kuitaka Serikali ya Muungano igharamie ibada ya dini moja?
Wewe mwarabu hayo yote kama hayapo zenji..nakushauri nenda oman utayapata yote.Uhuru wa kusaini mikataba ya kimataifa, uhuru wa kuwa na mwakilishi UN, uhuru wa kuwa na benki kuu yetu, sarafu yetu, uhuru wa kuchagua tunayemtaka siyo hao vibaraka wenu mnaotulazimishia mpaka mnauwa.
Mnacho kata ni misaada tu lini nyie mtajisaidie..lazy piece of..Iachieni ZANZIBAR,Zanzibar nchi yenye waislam wengu
wapeni Zanzibar pesa zao zinazotoka nchi za Kiislam kwa ajili ya kuwasaidia waislam kwenda HIJA
Hizbu..mbona mnachuki sana mioyoni mwenu.Huyo Si Raisi ni tapeli kibaraka aliyewekwa Na Magufuli kuimaliza Zanzibar , alianza Na magarini ya kujitia misikitini kuzubaisha watu lakini ummar umeshamstukia. Siku zake zinahesabika ataondoka Tu muuwaji huyo
Hija kwa msaada wa kodi ya kiwanda cha kutengeneza kimea...hii imekaa poa sana.Kuna za riba ambayo ni haramu kwenye uislamu,kuna kodi za pombe ambazo ndizo nyingi
Breweries itaanza kupeleka watu hija
JKN alikosea sana kuacha zenji alitakiwa afyekelee mbali kabisa zenji..ibaki serikali moja tu..hawa watu wameanza kua mwimba ndani ya muungano wetu.Kwavile Zanzibar hairuhusiwi kupata mikopo ya nje,
mikopo yote ya nje inatolewa kwa jina la Tanzania,
Zanzibar inabidi iipigie Magoti Tanganyika kuomba mgao wake..
Zanzibar ni kama Palestina ndani ya Israel,haina uhuru wa kujiwezesha
Huwezi kutaka kitu tu kwa vile mwenzio wmekihitaji. Huo unakuwa ni tamaa na wivu wa kijinga.Kama zazibar itawekewa mfuko huo na waislamu wa bara pia watahitaji huo mfuko ilihali ni wengi kuliko waislamu wa Zanzibar