Rais Hussein Mwinyi kuongea na Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia Waislam

Rais Hussein Mwinyi kuongea na Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia Waislam

Mapato ya kuuza urojo yanatosha kweli?
Tangu Samia Suluhu Hassan kaitangaza Tanzania kwenye Utalii,cha kushangaza ni kuwa ndege nyingi za Watalii zinatua Zanzibar kuliko Tanganyika..

Nchi yoyote inayoweza kuingiza pesa za kigeni ki utalii basi ujue hiyo nchi ni tajiri

Population ndogo,watu wa dini moja,uchumi stable,kila masaa watu wanakuletea madola kwa njia ya utalii,.

Zanzibar ipate nini tena,sijui kwanini inachelewa kutoka kwenye hili janga la Mungano..

Mungano unaleta umasikini ZANZIBAR..!!
 
Hizbu..mbona mnachuki sana mioyoni mwenu.

#MaendeleoHayanaChama
Hizbu ni neno la kiarabu lenye maana ya CHAMA..,kwa hiyo ukisema hizbu bila ya kuunganisha neo unakuwa hujasema kitu..

Mfano,HIZBULLAH,HIZBU TAHARIR,HIZBU ALWATANI nk..

Kiongozi yoyote wa CCM Zanzibar ni kibaraka tu,hawa watu wanajali chama na matumbo yao kuliko maslahi ya ZANZIBAR..

CCM inairejesha Zanzibar nyuma kimaendeleo,Wazanibari maskini,nchi iliyokuwa Empire hivi sasa imekuwa omba omba

Yote haya yamesababishwa na CCM,chama kisichokuwa na Dira
 
Nimemsikia Rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waislam wanapoenda Hija.

Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kuitaka Serikali ya Muungano igharamie ibada ya dini moja?
Serikali ya Muungano ndio serikali Tsnganyika, Zanzibar inatawaluwa na Tanganyika, hawezi kufanya chochote bilia ruhusa ya bwana wake Tanganyika (Muungano).
 
Nilikuwa nafikiria kuwa angeweza kuwa rais Bora hata wa muungano, lakini hill la kuingiza dini kwenye siasa
Analeta wasiwasi Sana,
Mbona ameishiwa hoja mapema hivi hadi anatafuta Kiki kupitia dini
Je wakristo wakidai nao mfuko wa kwenda Israel au Vatican itakuwaje
Kama anapenda serikali itoe sadaka Basi angeshauri itoe kwa maskini wagonjwa na wengine wenye uhitaji
Pengine yule mzee aliyemsema alikuwa sahihi
 
Nilikuwa nafikiria kuwa angeweza kuwa rais Bora hata wa muungano, lakini hill la kuingiza dini kwenye siasa
Analeta wasiwasi Sana,
Mbona ameishiwa hoja mapema hivi hadi anatafuta Kiki kupitia dini
Je wakristo wakidai nao mfuko wa kwenda Israel au Vatican itakuwaje
Kama anapenda serikali itoe sadaka Basi angeshauri itoe kwa maskini wagonjwa na wengine wenye uhitaji
Pengine yule mzee aliyemsema alikuwa sahihi
 
Hata voda ni wabinafsi eti islamic offer nasisi wakristo offer iko wapi shush
 
Waanzishe na mfuko wa kwenda Yerusalem kwa wakristu kuuona ukuta
Ukuta ni kwa wale wanaofata dini ya KIYAHUDI sio kwa Wale wanaofata dini ya Yesu aka Jesus aka isa aka Joshua aka Christ aka Mungu aka Mtoto wa Mungu..

Usijichanganye mkuu Dini ya Kiyahudi inamchukulia Yesu kama tapeli aliekuja kujifanya muokozi wao

Bora hata Uislam unamchukulia Yesu kama Mtume aliletwa na Mungu kuja kuwaokoa Wayahudi waliopotoka..

Tafakari,unapotaka kundwa mfuko wa Wakristo wataokwenda Israel kuhiji tutakuona wewe kama tapeli unaetaka kwenda Israel kutembea kwa mgongo wa dini
 
Off course inashtua. Serikali kughalamikia safari binafsi ..... Na Waroma ambao huwa wanakwenda kuhuji Roma nao wakiomba wawezeshwe itakuwaje ......!!?

Waislamu wanatakiwa kwenda Hijja pale wanapokuwa uwezo huo .... Kama huna unabanana humuhumu. Hili la kuwawezeshana litatarget watu wachache tu na siyo sustainable. Anataka kujipatia umaarufu bila sababu ya maana .....!!
Nasisitiza Rais Mwinyi ameanza kujisahau.
Anafikiria popular politics kuwaridhisha wazenj at the expense ya watanganyika.
 
Nimemsikia Rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waislam wanapoenda Hija.

Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kuitaka Serikali ya Muungano igharamie ibada ya dini moja?
Kama anataka kibali cha kujiunga na OIC awe wazi tu maana baba yake alitaka kufanya hivyo kabla ya kuzuiwa na Mwl. Nyerere
 
Mwinyi amalizane kwanza na suala la kuuza visiwa vya zenji kwa wazungu na waarabu..hili suala kwake litakuwa msumari wa moto.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom