Rais Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Tanzania hapo mbeleni

Rais Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Tanzania hapo mbeleni

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.

Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.

Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.

IMG_20230331_195208.jpg
 
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.

Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.

Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.

Mwinyi anafaa mnooo. Apewe tu
 
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.

Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.

Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.

Hussein Mwinyi amalize awamu zake za Zanzibar atulie

Baada ya Samia inafuata zamu ya Mkristo

Ova
 
Hussein Mwinyi amalize awamu zake za Zanzibar atulie

Baada ya Samia inafuata zamu ya Mkristo

Ova
*Nakazia
Comment Hii Itunzwe Vema, Tulisema Mama Anaendelea Na Awamu Ya Tano Mkakataa Mkasema Awamu Yake Ni Ya Sita. Ajaye Ni Mgalatia, Mkolosai
 
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.

Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.

Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.

Ungejuwa
 
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.

Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.

Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.

Hapanq
 

Tunawakumbusha Mapema Sana

HATUTAKUBALI UJANJA, WAGALATIA, WAKOLOSAI Wapo Tele


Huu utaratibu ufeWagalatia always wamekuwa Wakatoliki. Nani alisema wakatoliki huwakilisha wagalatia wote???!!!
Jambo la muhimu apatikane Kiongozi kwanza.
Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu
Mwenye kutenda haki na kuwa na utashi wa kujua thamani ya utu.
Asiye mwizi na fisadi wala haana tamaa ya kujilimbikizia mali kwa njia za kilaghai na dhuluma.
Anaye jua fika,maisha haya ya duniani hii ni ya kitambo kidogo tu na niya kuipata.
Avae viatu vya watu wenye hali ya chini kimaisha na atoe kipaumbele kuwatumikia na kuona wanapata fursa za kujikwamua kutoka hali zao.
Awe Nzalendo aliyekunywa maji ya Bendera kwa maana hiyo.
 
Suala la Udini au ukabila sio msingi wa Uongozi wa Taifa hili. Wadini na Wakabila ndio pekee watag'ang'ana na utamaduni huo usio na tija kwa Taifa na kwakweli ni wachache mno, maoni na mtazamo wao naamini utaheshimiwa sana but hautazingatiwa sana, I know wapo wagalatia shupavu ukimuondoa Dr. Isdory Mpango but Mwigulu Nchemba, Emanuel Nchimbi, Anton Mtaka, Makongoro Nyerere, Tulia Ackson, Angelina Mabula, Angela Kairuki and many others can make a very good vice president and later on a very good President. Historia ya Baba,ataishi Mwana
 
Naona wanataka kuusahau huo utaratibu !
Wanajisahulisha na kutaka kuleta janja janja kama ya kipindi cha Ali Hassani Mwinyi

Kipindi cha Mwinyi walikuwa wanasuka mpango wa mwislamu mwingine afuate

Atoke Mwinyi aingie Kikwete 'Muslim to Muslim'....hadi John Malecela alitaka kubadili dini

Leo hii eti atoke Samia aingie Hussein Mwinyi ama January Makamba...Big No
 
Back
Top Bottom