- Thread starter
- #21
Kweli Mkuu..CDF alitushtua viongozi wengi sio wazalendo wengi ni mamluki wa mataifa jirani.
Ndio maana hawaoni aibu kutuhujumu.
Usije kuta tunaongozwa na watoto wa wakimbizi bila kujua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Mkuu..CDF alitushtua viongozi wengi sio wazalendo wengi ni mamluki wa mataifa jirani.
Ndio maana hawaoni aibu kutuhujumu.
Kwa hiyo kwa akili yako ulitegemea SGR, JNHPP, SERIKALI KUHAMIA DODOMA, BUSISI/JPM BRIDGE, ZILE NDEGE ZA ATCL, KIJAZI INTERCHANGE, SALENDAR BRIDGE, FLYOVERS (KAMATA NA TAZARA-DSM) N.K viishe ndani ya muda wa miaka mingapi?🚮🚮 Mwendazake alianzisha na kukamilisha miradi gani Kwa wakati?
Pili tuoneshe figures za mfumuko wa bei huko Zanzibar tuthibotishe.
Mwisho kwani Bara Kuna mfumuko wa bei upi?
Hater wa Samia acha kutapatapa wewe ,Samia amefunika ligacy zote yaani Kwa miaka 3 ni game changer
Tuko pamoja Mkuu.Hussein Mwinyi yupo vizuri. Mimi namkubali.
Hata uwaambiaje, hawaelewi! Pesa zooote za Tanganyika zimeelekezwa Kizimkazi, sasa sehemu yenye bajeti ya 450bn kwa mwaka, leo unawapa 400bn kwa mkupuo, nje ya bajeti!Halafu je unajuwa kuwa Rais Samia anasukuma miradi mingi ZNZ kwa fedha za kutoka Serikali ya Muungano?
UmenenaWakati Rais Hussein Mwinyi anaingia madaralani, uchumi wa Zanzibar ulikuwa kunakuwa kwa asilimia zisizozidi 5. Lakini ndani ya kipindi cha miaka 3 tu uchumi wa Zanzibar leo unakua kwa asilimia 6.8 huku wa bara ulikuwa unakua kwa asilimia 7 kabla ya kifo cha Rais Hayati JPM tena katikati ya janga la dunia Covid 19, lakini mwaka mmoja tu baadaye (baada ya kifo cha JPM), uchumi wetu ukadorora hadi kufikia asilimia 4!
Leo hii Zanzibar miradi imekuwa inaanzishwa na kukamilika tena kwa wakati na ubora wa hali ya juu tena kwa Gharama zile zile zilizowekwa. Lakini kwa upande wa bara tumekuwa tunapigwa tu kalenda (mfano SGR, JNHPP, JPM Bridge n.k)!
Mfumko wa bei kwa Zanzibar ni karibu asilimia 0, lakini kwa huku bara toka aondoke Rais aliyepewa dhamana na wengi, leo mfumko wa bei kila mmoja ni shuhuda! Na bahati nzuri wengi wetu (ukiondoa mafisadi na familia zao) tunapigika ipasavyo. Mfano nauli za daladala toka 300 hadi 600, nauli za mabasi ya mikoani kama vile Mwanza hadi Dsm kutoka elfu 60 hadi zaidi ya elfu 80, sukari toka 1,600 hadi 5,000 kwa kilo, mche wa sabuni toka 1,500 hadi 3,500! N.k.
Kwa hayo machache, naona kama Mtanzania mzalendo, ninayeipenda nchi yangu na raslimali zake zote ikiwemo watu, Rais Hussein Mwinyi atatufaa zaidi akija huku Bara. Mama tunampenda sawa, lakini amalizie tu hii miaka yake ya urithi aende zake akalee wajukuu zake huko Kizimkazi.
Ushauri mzuri sana Mkuu japo kwa kila utawala kuna "wanufaika" ambao hawajali maslahi ya nchi bali maslahi yao na familia zao binafsi kama ilivyokuwa kipindi cha Hayati Nyerere. Kwa hao lazima watamlazimisha agombee urais 2025, lakini kwa maslahi ya nchi, na mimi nashauri achukue ushauri wako, apumzike.Nami nashauri kwa manufaa ya nchi hii pendwa...Rais Samia SH angempisha Rais Hussein AHM 2025 .....atupigie miaka 10....Msna amefanya kazi nzuri kutuvusha ila asiharibu akapata tamaa....hapana apumzike Abdul amkabidhi HAHM.....yeye abakie remote kake pale atspopenda...awe mshauriii.....kama anamasikio na asikie....na afanye hatajuta maishaniii
Laiti ungejua hata usingesemaHii nchi imekosa watu had huyo mwinyi mumpambe kila kukicha? Au kuna mgao wenu umeandaliwa?
Machawa muwage mnajistukia muda mwingne.
Wengi hatuumii kwa sababu mtu kapata fedha, ila tunaumia kwa sababu wengi wenye fedha hawazipati kihalali, bali wanazipata kwa kutuibia.Mwinyi sio mjamaa mbuzi ni Rais wa reforms kama Samia ,kuanzia ubinafsishaji Hadi Demokrasia.
Bara kumejaa mbumbumbu kama wewe ambao mtu akiwa na Mali mnaumia roho.
Mwinyi alisema leta pesa kokote yeye haulizi zilikotoka,sasa thubutu kufanya hivyo ukutane na matakataka ya Bara
Wewe umekatazwa kuzipata isivyo halali?Wengi hatuumii kwa sababu mtu kapata fedha, ila tunaumia kwa sababu wengi wenye fedha hawazipati kihalali, bali wanazipata kwa kutuibia.
Wewe ulitaka ziishe ndani ya mda gani zaidi ya miaka 5?Kwa hiyo kwa akili yako ulitegemea SGR, JNHPP, SERIKALI KUHAMIA DODOMA, BUSISI/JPM BRIDGE, ZILE NDEGE ZA ATCL, KIJAZI INTERCHANGE, SALENDAR BRIDGE, FLYOVERS (KAMATA NA TAZARA-DSM) N.K viishe ndani ya muda wa miaka mingapi?
Figures za Mfumko wa bei zanzibar ni karibu asilimia 0 (nimesema hapo juu) ilhali huku kwetu nadhani unazidi hata asilimia 7!
Hiyo ya Samia kufunika sina uhakika, labda atakuwa amefunika mfukoni mwako kwa vile karuhusu Kula kwa urefu wa kamba!
Vinginevyo, binafsi naona kwa sasa huu mwendo tunaoenda nao, hata wa kinyonga una nafuu!
Changamoto ni kwamba akija bara nani atamuwezesha?Wakati Rais Hussein Mwinyi anaingia madaralani, uchumi wa Zanzibar ulikuwa kunakuwa kwa asilimia zisizozidi 5. Lakini ndani ya kipindi cha miaka 3 tu uchumi wa Zanzibar leo unakua kwa asilimia 6.8 huku wa bara ulikuwa unakua kwa asilimia 7 kabla ya kifo cha Rais Hayati JPM tena katikati ya janga la dunia Covid 19, lakini mwaka mmoja tu baadaye (baada ya kifo cha JPM), uchumi wetu ukadorora hadi kufikia asilimia 4!
Leo hii Zanzibar miradi imekuwa inaanzishwa na kukamilika tena kwa wakati na ubora wa hali ya juu tena kwa Gharama zile zile zilizowekwa. Lakini kwa upande wa bara tumekuwa tunapigwa tu kalenda (mfano SGR, JNHPP, JPM Bridge n.k)!
Mfumko wa bei kwa Zanzibar ni karibu asilimia 0, lakini kwa huku bara toka aondoke Rais aliyepewa dhamana na wengi, leo mfumko wa bei kila mmoja ni shuhuda! Na bahati nzuri wengi wetu (ukiondoa mafisadi na familia zao) tunapigika ipasavyo. Mfano nauli za daladala toka 300 hadi 600, nauli za mabasi ya mikoani kama vile Mwanza hadi Dsm kutoka elfu 60 hadi zaidi ya elfu 80, sukari toka 1,600 hadi 5,000 kwa kilo, mche wa sabuni toka 1,500 hadi 3,500! N.k.
Kwa hayo machache, naona kama Mtanzania mzalendo, ninayeipenda nchi yangu na raslimali zake zote ikiwemo watu, Rais Hussein Mwinyi atatufaa zaidi akija huku Bara. Mama tunampenda sawa, lakini amalizie tu hii miaka yake ya urithi aende zake akalee wajukuu zake huko Kizimkazi.
Tanzania tuko nyuma sana kwa mambo mengi, tunapaswa kupata viongozi wenye kasi hasa kwa mambo ya maendeleo ya nchi kwa ujumla. Kwa hili naona Mh. Rais Hussein Mwinyi, atatufaa sana.
Mkataa Kwao Mtumwa 🐼Miradi ya Zanzibar sifa ziende kwa samia maana ndio anayemrushia mwinyi deals so unajua nyumbani ni nyumbani
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app