#COVID19 Rais Hussein Mwinyi waombe radhi waliochanjwa Zanzibar, umewakosea sana

#COVID19 Rais Hussein Mwinyi waombe radhi waliochanjwa Zanzibar, umewakosea sana

Ni masikitiko kwamba watu watakuja kujua ukweli when it is too late. HII SI CHANJO. UNAPOIHESABU KUWA NI CHANJO WAMESHAKUPATA TAYARI. Hii ni gene therapy yenye lengo la kutengeneza toleo la pili la wanadamu - HUMAN 2.0. among other reasons.
 
Nipe maana hijja. Kufupisha ukiniambia ni maombi,basi nyumbani sehemu yenye utulivu MUNGU anakusikia zaidi kuliko sehemu ingine.
Elewa tu kuwa Hijja katika Uislam haifanyiki nyumbani kwa mtu. Kisharia katika Uislam Hijja ni tofauti na unavyoielewa wewe. Maana yake ya Kisharia ni tofauti na maana yake ya kilugha. Kama vile neno "Swala" maana yake ya kilugha (kama wanavyotumia waarabu kilugha) ni tofauti na maana yake ya Kisharia katika Sharia ya Uislam. Vile vile "Zakat" na maneno mengineyo katika Uislam.

Kiufupi "Hajj" katika Sharia ya Uislam ni moja ya nguzo tano za Uislam ambayo Muislam mwenye uwezo anatakiwa kuzuru Nyumba Tukufu ya Allah ya Al- Kaaba iliyopo Makkah, na kufanya matendo maalum akiwa huko kama alivyoyafundisha Mtume Muhammad (Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wasallam).
 
Ni masikitiko kwamba watu watakuja kujua ukweli when it is too late. HII SI CHANJO. UNAPOIHESABU KUWA NI CHANJO WAMESHAKUPATA TAYARI. Hii ni gene therapy yenye lengo la kutengeneza toleo la pili la wanadamu - HUMAN 2.0. among other reasons.
Pole sana.
 
Haina madhara mkuu msipotoshe.... Dkt.Janabi alishajibu hili.
Alifanya utafiti lini kujua haina madhara? Wapendwa afya za watu siyo kura, siasa tuiweke kando kwenye uzima wa mtu...Akifa au akioata madhara anayeumia ni ndugu zake...
 
Mimi binafsi siipendi CCM kabisa, Ila kuna baadhi ya viongozi kidogo naona wana afadhali mmojawapo ni Hussein Mwinyi.

Raisi Mwinyi ni kiongozi mzuri sana, lakini hii haifanyi yeye kutotenda makosa. Raisi Mwinyi wakati wa kuagiza chanjo ya corona aliwahakikishia Wazanzibar kuwa chanjo wanayoleta ni salama sana hivyo wasiwe na wasiwasi wowote.

Akaenda mbali na kusema wameamua kuagiza chanjo kwa kuwa kuna watu wanahitaji kwenda "hijja", hivyo ni lazima walete chanjo watu wachanje waende hijja.

Alisisitiza sana kuwa kwenda hijja kuna vikwazo kwa wasiochanjwa hivyo chanjo hizi zitafanya Wazanzibar kwenda hijja bila kikwazo. Leo serikali hii hii imetoa taarifa kuwa waliopata chanjo wanapaswa tena kuchanja kwa kuwa chanjo waliochanja mwanzo haitambuliki huko Saudi Arabia.

Haya ni masihara kabisa kwenye afya za watu, ilipaswa kabla ya kuagiza chanjo ilipaswa Serikali ijiridhishe. Leo unawaambia watu warudie kuchanjwa chanjo nyingine tofauti na Sinovac, ikiwa mwanzo ulitumia kigezo cha hijja ili wakubali kupata chanjo.

Haya ni makosa makubwa ambayo Rais umeyafanya, inapaswa uwaombe radhi wote waliopata chanjo.

Kwa kuwa kama chanjo waliyopata haitambuliki sehemu takatifu Kama Makka, je usalama wa hiyo chanjo upo wapi?
Kwanza acha kelele, pili lazima ujue siasa za dunia, Kwenye siasa za dunia namba moja ni marekani na washirika wake, Namba 2 ni urusi na china,
Sasa kwa taarifa yako ili huonekane umechanjwa Chanjo ya Corona lazima uwe umechanja chanjo za Ulaya na Marekani, ukichanja za China na Urusi lazima uchanjwe tena, hivyo waliochanja Sputnik na Sinovax lazima wapate aidha shot za Pfizer-BioNTech,Moderna, Astrazenica na Johnson & Johnson’s Janssen.
 
Alisisitiza sana kuwa kwenda hijja kuna vikwazo kwa wasiochanjwa hivyo chanjo hizi zitafanya Wazanzibar kwenda hijja bila kikwazo. Leo serikali hii hii imetoa taarifa kuwa waliopata chanjo wanapaswa tena kuchanja kwa kuwa chanjo waliochanja mwanzo haitambuliki huko Saudi Arabia.

Haya ni masihara kabisa kwenye afya za watu, ilipaswa kabla ya kuagiza chanjo ilipaswa Serikali ijiridhishe. Leo unawaambia watu warudie kuchanjwa chanjo nyingine tofauti na Sinovac, ikiwa mwanzo ulitumia kigezo cha hijja ili wakubali kupata chanjo.

Haya ni makosa makubwa ambayo Rais umeyafanya, inapaswa uwaombe radhi wote waliopata chanjo.
Kosa lipo wapi? Zanzibar walianza kutoa chanjo mwezi July, wakati Saudi Arabia ilitoa tangazo la kuanza Umrah mwezi August. WHO waliwahi kutangaza kuruhusu Sinovac for emmergency use. UNICEF na wenyewe walikuwa wanasambaza hiyo chanjo!! Hata baadhi ya nchi za Ulaya hususani zile zisizo na elements kali za Kibeberu, na zenyewe zinaitambua Sinovac! Nchi nyingi za Asia zinatumia Sinovac!

Saudi Arabia, kama ilivyo kwa mataifa mengine, wana haki ya kutambua baadhi ya chanjo na kuzikataa baadhi ya chanjo! Hata hivyo, Saudi Arabia ambayo mara kwa mara amekuwa akiungana na Mabeberu, inakushangaza kuona Sinovac sio moja ya kinga zao pendwa?! Ukifuatilia taarifa. hata EU walilazimika kuisajiri hiyo Sinovac baada ya WHO kui-prove! Lakini ukiangalia ukaribu wa EU na USA unaweza kushangaa kuona wakisua sua kuisajili hiyo chanjo?

UPDATE:

Kwa mujibu wa Arab News, kumbe last week--
Saudi Arabia on Tuesday approved two further COVID-19 vaccines, Sinovac and Sinopharm. There are currently four vaccines approved for use in the Kingdom: Oxford-AstraZeneca, Pfizer-BioNTech, Johnson & Johnson, and Moderna.
 
Alifanya utafiti lini kujua haina madhara? Wapendwa afya za watu siyo kura, siasa tuiweke kando kwenye uzima wa mtu...Akifa au akioata madhara anayeumia ni ndugu zake...
Tafiti mbona zimefanywa toka mwaka jana.... Clinical trials mbona zilikua public na zilianza kwa hospitali ya kiyahudi!!

Dkt. Janabi ni mtaalamu hilo halina shaka, sasa kama hatuwezi kuwaamini wataalamu wetu wa afya ila tuwaamini wanasiasa wapiga kelele wasio na degree ya afya then tutakua taifa la ajabu sana.

Kikubwa chanjo ni hiari kma huiamini basi acha ila kutishana hakufai.
 
Alifanya utafiti lini kujua haina madhara? Wapendwa afya za watu siyo kura, siasa tuiweke kando kwenye uzima wa mtu...Akifa au akioata madhara anayeumia ni ndugu zake...
Nani huyo unayehoji "ALIFANYA" utafiti lini?!
 
Kweli kuchanjwa mara ya pili chanjo ya aina nyingine hapo wanawafanyia utafiti wazanzibar kama kuna effect kwa kuchanja mara mbili.
Sio hivyo Chifu! ZNZ mwanzoni kabisa walitumia chanjo ya Mchina. Wakati ZNZ wanatumia hii chanjo, Saudi Arabia walikuwa hawajatoa angalizo la kuingia nchini humo. Siku chache baadae, ndipo Saudi Arabia ikatangza muongozo, na chanjo ambazo Saudi wameziidhinisha ni zile za USA including Johnson & Johnson lakini ya Mchina haipo!

Hata hivyo, kumbe last week, according Arab News, hata hiyo chanjo ya Mchina na yenyewe imeidhinishwa huko Saudi Arabia.
 
Mimi binafsi siipendi CCM kabisa, Ila kuna baadhi ya viongozi kidogo naona wana afadhali mmojawapo ni Hussein Mwinyi.

Raisi Mwinyi ni kiongozi mzuri sana, lakini hii haifanyi yeye kutotenda makosa. Raisi Mwinyi wakati wa kuagiza chanjo ya corona aliwahakikishia Wazanzibar kuwa chanjo wanayoleta ni salama sana hivyo wasiwe na wasiwasi wowote.

Akaenda mbali na kusema wameamua kuagiza chanjo kwa kuwa kuna watu wanahitaji kwenda "hijja", hivyo ni lazima walete chanjo watu wachanje waende hijja.

Alisisitiza sana kuwa kwenda hijja kuna vikwazo kwa wasiochanjwa hivyo chanjo hizi zitafanya Wazanzibar kwenda hijja bila kikwazo. Leo serikali hii hii imetoa taarifa kuwa waliopata chanjo wanapaswa tena kuchanja kwa kuwa chanjo waliochanja mwanzo haitambuliki huko Saudi Arabia.

Haya ni masihara kabisa kwenye afya za watu, ilipaswa kabla ya kuagiza chanjo ilipaswa Serikali ijiridhishe. Leo unawaambia watu warudie kuchanjwa chanjo nyingine tofauti na Sinovac, ikiwa mwanzo ulitumia kigezo cha hijja ili wakubali kupata chanjo.

Haya ni makosa makubwa ambayo Rais umeyafanya, inapaswa uwaombe radhi wote waliopata chanjo.

Kwa kuwa kama chanjo waliyopata haitambuliki sehemu takatifu Kama Makka, je usalama wa hiyo chanjo upo wapi?


Tulishatoa ushauri tusitumie chanjo ya China kwasababu haifanyi kazi vizuri .
 
Nendeni mkapigwe jab nyingine mkuu...

Maana sasa hivi kuna hadi boosters, yaani una update chanjo ya awali kupambana na vinyemelezi vipya...
Hivi windows ukitaka ku update si inabidi ku restart PC sasa hapa inakuaje
 
Tafiti mbona zimefanywa toka mwaka jana.... Clinical trials mbona zilikua public na zilianza kwa hospitali ya kiyahudi!!

Dkt. Janabi ni mtaalamu hilo halina shaka, sasa kama hatuwezi kuwaamini wataalamu wetu wa afya ila tuwaamini wanasiasa wapiga kelele wasio na degree ya afya then tutakua taifa la ajabu sana.

Kikubwa chanjo ni hiari kma huiamini basi acha ila kutishana hakufai.
Kwahiyo ikiwa hiari hatutakiwi kujua kama kuna madhara au la? Maana kama zote zinafaa na hawa wanakataliwa kwamba wanahitaji ya aina nyingine kisha mtu kauliza je hazina madhara zikichanganywa unaambiwa aliyesema ni mtaalamu kwani aliye recommend ile ya kwanza hakuwa mtaalamu?

Kuna jinsi mnapunguza public trust na kuwa mis lead decision makers bila kuona kwamba mnaweza sababisha public ku riot...Wataalamu wanafahamu jinsi ya kutoa facts zao na limit zao huku wakizingatia ethics...Lakini wataalamu wanapoamua kuwa wana siasa tatizo linaanzia hapo na siyo jambo la kushadadia kwakua public iki riot hakuna ambaye ataweza kui contain...Ili tusifike huko basi hizo ethics zizingatiwe...

Siasa isimame kama siasa na profession isimame kama profession...Kwenye profession kama kuna doubts au limits zinawekwa wazi ili public inapo amua kwa uhuru wafanye informed decisions
 
Back
Top Bottom