Rais Hussein Mwinyi: Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa Corona

Rais Hussein Mwinyi: Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa Corona

Sasa ndo maana nakwambia hawa wazungu lengo lao sio zuri.wana mpango wa SIRI wa kuitawala dunia.
Sasa hivi tupo watu billion 7.
Lakini mpango wa new world order ni kuwa watu wabaki bilioni 1 duniani.
Hivi HAUJIULIZI KWANINI WANALAZIMISHA HIZO CHANJO ZILETWE KWANZA AFRICA?
hivi kati ya Africa na Asia na ulaya na marekani ni wapi kuna athari kubwa ya corona?
Haitowezekana labda watumie Silaha za maangamizi tena waanze na China
Hizo ni Conspiracy theories lakini kwenye uhalisia ni ngumu
 
Chanjo zote zina madhara..
Hauwezi jua wameweka nini ili kutuzuia TUSIZALIANE.
maana lengo lao ni kubaki na watu wachache duniani.
Tunaweza tukadhani wanatusaidia kumbe wanatumaliza na hizo chanjo zao.
Nimeuliza kuhusu hizo chanjo zingine mbona bado tunazipikea tena kwa gharama kubwa serikali inaingia.
 
Mpango wa new world order mmoja wapo ni dunia KUBAKI NA WATU BILLION 1.UNADHANI HUO MPANGO UTAKAMILIKA VIPI BILA KUPUNGUZA WATU KWA MAGONJWA NA CHANJO?View attachment 1718328
Unaweza kunipa sababu za msingi hasa kwanini wanataka idadi ya watu ibaki bilioni moja pekee.Pia ukumbuke endapo idadi ya watu inatakiwa kubaki bilioni moja basi itabidi nao wazungu wauawe kupitia hiyo chanjo kwa kiasi kikubwa maana kama lengo ni kuua population ya Africa pekee bara zima la Africa lina population ya billion moja.

Kwahiyo hata ukiua bara zima la Africa bado hawatafikia lengo maana dunia itabaki na zaidi ya watu billion 7.
 
Mwinyi is "Down to earth" bila shaka ni tofauti ya umbali wa mbingu na Ardhi.
 
Chanjo zote zina madhara..
Hauwezi jua wameweka nini ili kutuzuia TUSIZALIANE.
maana lengo lao ni kubaki na watu wachache duniani.
Tunaweza tukadhani wanatusaidia kumbe wanatumaliza na hizo chanjo zao.
Sasa ndo maana nakwambia hawa wazungu lengo lao sio zuri.wana mpango wa SIRI wa kuitawala dunia.
Sasa hivi tupo watu billion 7.
Lakini mpango wa new world order ni kuwa watu wabaki bilioni 1 duniani.
Hivi HAUJIULIZI KWANINI WANALAZIMISHA HIZO CHANJO ZILETWE KWANZA AFRICA?
hivi kati ya Africa na Asia na ulaya na marekani ni wapi kuna athari kubwa ya corona?
Nimefuatilia vihoja vyako , huna maana na bado unaishi kwenye ulimwengu wa kufikirika. Mtz huwezi kuwa na hekima kuliko mJapani, mAmerika, mGermany, mUingereza nk. Chanjo zimekuwepo na zimesaidia sana labda kama wewe ni mdogo huwezi kuelewa. Watoto wadogo wanaoerekwa kliniki na kupigwa chanjo hamjawahi kuhoji !!. Mbona Corona mnaifanyia siasa ?!. Waulizeni Brazil walioiletea Corona kejeli . Leo hata Rais wao hawataki kumsikia , watu wanazikwa kwa greda

Huu ugonjwa umesababisha tuone , ni nani wanaongoza kwa hekima, na nani wanaongoza kwa mabavu. Kuzuia watu wasiongee siyo tiba ya ugonjwa unaotusumbua bali mabavu bila hekima.

Na watu wenye hekima ndogo ikiwa mmejipenyeza kwenye kumshauri Mzee , basi Tz imekwama kama si kuisha kabisa .
 
  • Thanks
Reactions: bne
Kuna watu wame chanjwa na bado wamekufa kwa covid, niko kwenye sekta ya utalii Zanzibar toka mwaka jana mwezi wa nane mpaka leo, siamin kama sijawahi kupata corona, nahisi nimepata zaidi ya mara moja sema sijui tu ila naishi na wenzangu wanaugua na wanapona na wengine tunalala room moja, juzi hapa mmoja amepata mafua makali na hewa kubana amejifukiza sana mpaka mwisho ameenda kununua ugoro ili apige chafya apate unafuu, siku hizi mbili anaonekana ana nafuu, mwingine niko nae mpaka sasa kalala kitanda cha pili, anasema anajisikia ovyo sana anatafuna tangawizi na malimao kama hana akili nzuri, namwombea awe poa, Mungu atulinde sio siri corona ipo, tujilinde
Si kila anaepata covid anakufa, lakini matibabu yanasaidia. Tunachopiga kelele ni kutokua na vipimo stahiki na matibabu ya COVID.
 
Wanafanya makosa Sana.
Mimi nakupa HOJA moja.
Tafuta mtoto aliyezaliwa mwaka 1990 na kuendelea ambaye kwa sasa atakuwa na miaka 31 miaka hyo ndo mambo hayo ya chanjo yalianza anza Alafu muulize ana watoto wangapi?.
Alafu kama wewe ni MTU uliyezaliwa miaka ya 70 au 80.jiulize kipindi hicho kabla chanjo hazijaanza kijana wa miaka 30 alikuwa na watoto wangapi?
Nimeuliza kuhusu hizo chanjo zingine mbona bado tunazipikea tena kwa gharama kubwa serikali inaingia.
 
Sasa umeuliza swali zuri
Nia yao ni kupunguza USELESS PEOPLE.ambao wao wanaamini wanakula rasilimali za dunia BURE.wanataka watu wabaki wachache ili iwe rahisi kuitawala dunia.
Baadae watu watakuja kuwekewa microchip.ambazo ni kama chapa.itakayowawezesha kujua kila taarifa zako.watamjua kila MTU aliyepo duniani.
Sasa hapo ndo ile dhana DUNIA NI KIJIJI ITAKAPOKAMILIKA.
Unaweza kunipa sababu za msingi hasa kwanini wanataka idadi ya watu ibaki bilioni moja pekee.Pia ukumbuke endapo idadi ya watu inatakiwa kubaki bilioni moja basi itabidi nao wazungu wauawe kupitia hiyo chanjo kwa kiasi kikubwa maana kama lengo ni kuua population ya Africa pekee bara zima la Africa lina population ya billion moja.

Kwahiyo hata ukiua bara zima la Africa bado hawatafikia lengo maana dunia itabaki na zaidi ya watu billion 7.
 
Naomba unijibu HYO HOJA KWANZA NDO TUENDELEE.
Wanafanya makosa Sana.
Mimi nakupa HOJA moja.
Tafuta mtoto aliyezaliwa mwaka 1990 na kuendelea ambaye kwa sasa atakuwa na miaka 31 miaka hyo ndo mambo hayo ya chanjo yalianza anza Alafu muulize ana watoto wangapi?.
Alafu kama wewe ni MTU uliyezaliwa miaka ya 70 au 80.jiulize kipindi hicho kabla chanjo hazijaanza kijana wa miaka 30 alikuwa na watoto wangapi?
Nimefuatilia vihoja vyako , huna maana na bado unaishi kwenye ulimwengu wa kufikirika. Mtz huwezi kuwa na hekima kuliko mJapani, mAmerika, mGermany, mUingereza nk. Chanjo zimekuwepo na zimesaidia sana labda kama wewe ni mdogo huwezi kuelewa. Watoto wadogo wanaoerekwa kliniki na kupigwa chanjo hamjawahi kuhoji !!. Mbona Corona mnaifanyia siasa ?!. Waulizeni Brazil walioiletea Corona kejeli . Leo hata Rais wao hawataki kumsikia , watu wanazikwa kwa greda

Huu ugonjwa umesababisha tuone , ni nani wanaongoza kwa hekima, na nani wanaongoza kwa mabavu. Kuzuia watu wasiongee siyo tiba ya ugonjwa unaotusumbua bali mabavu bila hekima.

Na watu wenye hekima ndogo ikiwa mmejipenyeza kwenye kumshauri Mzee , basi Tz imekwama kama si kuisha kabisa .
 
Ukishafanya jambo la kitaalam kuwa la kisiasa mpinzani wako analichukua kama ushindani na tarajia ushindwe tu.

Unajua kuna watu wao wanachotaka ni kusikia tu serikali imekiri kuwa kuna corona kwao huo ni ushindi
 
Wanafanya makosa Sana.
Mimi nakupa HOJA moja.
Tafuta mtoto aliyezaliwa mwaka 1990 na kuendelea ambaye kwa sasa atakuwa na miaka 31 miaka hyo ndo mambo hayo ya chanjo yalianza anza Alafu muulize ana watoto wangapi?.
Alafu kama wewe ni MTU uliyezaliwa miaka ya 70 au 80.jiulize kipindi hicho kabla chanjo hazijaanza kijana wa miaka 30 alikuwa na watoto wangapi?
Kwahivyo kwa uelewa wako ni kwamba uwezo wa kutia mimba kwa waliopata chanjo umepungua? Hoja muflisi kabisa tena hatari kutolewa na watu wa rika lako.
 
Sasa ndo maana nakwambia hawa wazungu lengo lao sio zuri.wana mpango wa SIRI wa kuitawala dunia.
Sasa hivi tupo watu billion 7.
Lakini mpango wa new world order ni kuwa watu wabaki bilioni 1 duniani.
Hivi HAUJIULIZI KWANINI WANALAZIMISHA HIZO CHANJO ZILETWE KWANZA AFRICA?
hivi kati ya Africa na Asia na ulaya na marekani ni wapi kuna athari kubwa ya corona?
acha uzwazwa yaani hebu Fikilia hadi sasa tunatumia chanjo ngapi kutoka kwa mabeberu? Hivi Kama lengo lingekua hilo Kwann wakutumie chanjo ambazo tayari tumezizoea hadi wasubili hii?
akili za kushikiwa hizo
 
Naomba unijibu HYO HOJA KWANZA NDO TUENDELEE.
Hoja yako hii haina mashiko dogo. Kinachosababisha uzazi usiwe kama zamani ni usomi na watu wamebase kwenye kutafuta maisha ya kisasa. Zamani hizo vijana wakimaliza la nne wanafungishwa ndoa. Leo mabinti wanataka wafike chuo kwanza. Na hata wale wanaooa baada ya form four , wanazaa kidogo wanaanza kukimbizana na kutafuta maisha . Wa zamani alijua akishaolewa ni kuzaa na kulima Mashamba
 
Ukishafanya jambo la kitaalam kuwa la kisiasa mpinzani wako analichukua kama ushindani na tarajia ushindwe tu.
Huko kushindwa ilitabiriwa toka mwaka jana kwamba atashindwa uchaguzi hata wizi wa kura hautomsaidia sababu wananchi watakuwa na hasira kutokana na hiyo corona.
Ajabu hao wapinzani wake nao wakaungana nae kuongeza maambukizi wakati wa kampeni.
 
Freemasons hawajawahi kumuacha mtu salama yaani Magufuli anawaza madaraja na barabara tu duh ,hayo mambo ya afya kila mtu achague mti wake wa kuchemsha anywe
 
Ulishawahi kujiuliza kwanini VIJANA WENGI WANA wa miaka hii wana MATATIZO YA UZAZI?
Hoja yako hii haina mashiko dogo. Kinachosababisha uzazi usiwe kama zamani ni usomi na watu wamebase kwenye kutafuta maisha ya kisasa. Zamani hizo vijana wakimaliza la nne wanafungishwa ndoa. Leo mabinti wanataka wafike chuo kwanza. Na hata wale wanaooa baada ya form four , wanazaa kidogo wanaanza kukimbizana na kutafuta maisha . Wa zamani alijua akishaolewa ni kuzaa na kulima Mashamba
 
Back
Top Bottom