Rais Hussein Mwinyi: Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa Corona

Rais Hussein Mwinyi: Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa Corona

Kutokuhoji kwa hizo zengine si sababu ya kufanya tusihoji na hizi,hili ni suala la kisayansi si imani hivyo usitake kusema kwamba tusihoji hizi chanjo za haraka haraka zisizo na majaribio ya kutosha kisa tu kuna chanjo zengine tumezikubali.

Sahihi kabisa!!! Sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala waafrika etc sasa kwanini uhoji wakati hii ni sayansi pia maabara zipo?

Chukua chanjo zifanyie tafiti? Maneno haya wenzetu walitoka muda tu!! Sayansi ni sayansi tu.
 
Sasa mnataka MUULIWE MARA NGAPI?
Mna presha,MNA kisukari,MNA malaria,MNA ngoma n.k
wazee wenye miaka 100 africa wanahesabika
Ndio NEW WORLD ORDER HYO.
Ili mpungue watu waweze kuitawala dunia vizuri.
Itafika hatua HAUZAI MPAKA wakubwa wa dunia wakuruhusu.ulishawahi kujiuliza UZAZI WA MPANGO WA NINI?
Jina lako
 
Waanze kupima na kutoa takwimu sasa.
Kisiwa ni kidogo hicho, wakicheka na nyani watakuja kuacha historia ya majengo tu hapo.


Dini inatufundisha kusema ukweli. Na mtu mkweli sikuzote hupendwa na kubarikiwa na MUNGU.
 
Sasa mnataka MUULIWE MARA NGAPI?
Mna presha,MNA kisukari,MNA malaria,MNA ngoma n.k
wazee wenye miaka 100 africa wanahesabika
Ndio NEW WORLD ORDER HYO.
Ili mpungue watu waweze kuitawala dunia vizuri.
Itafika hatua HAUZAI MPAKA wakubwa wa dunia wakuruhusu.ulishawahi kujiuliza UZAZI WA MPANGO WA NINI?

Kauli zote nilizokupa bado ujaelewa!! Hayo yote watu wamezama maabara na pia sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala waafrika kwanini tunapenda kufikiria kwa nadharia?

Wenzetu wapo mwenye vitendo kwa muda sasa,tunashindwa nini kuwa huko!! Mpaka sasa hakuna nchi ya afrika iliyoifikia kwa vifo kama china na marekani!!

Hii point yako ni ujinga mtupu pili sayansi ya ukimwi kwangu mimi naona ipo kimantiki sana ,maana hapa tu kuna ukimwi lakini watu ni malaya kinoma sasa assume kungekuwa hakuna ugonjwa huo? Nadhani Mungu angetupa tukio lingine kama la sodoma.

“Uzazi wa mpango” Jiulize wanaume wangapi wakiwapa mimba wanakimbia? Na pia kuzaa sana au kidogo ni mbinu za wazungu hapana hii ni hekima kukata tamaa,

Ukitaka kujua hii jaribu kupita mahospitalini uone watoto wangapi wanakuwa na baba na mama? Wengi Baba wa watoto wamekimbia then mwanamke huyo hawezi kukubali kuzaa tena kwa style hiyo.

Mwisho nimetoka tu mwenye mada lakini sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala waafrika etc vitu hivi vimefanyika maabara.

Acha kauli za wanasiasa tutakufa bure wenzetu wanajua sehemu zenye matibabu bora!!
 
Sahihi kabisa!!! Sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala waafrika etc sasa kwanini uhoji wakati hii ni sayansi pia maabara zipo?

Chukua chanjo zifanyie tafiti? Maneno haya wenzetu walitoka muda tu!! Sayansi ni sayansi tu.
Sasa kama sayansi ni sayansi kwa nini ukataze watu kuhoji?watu wanahoji wanataka wapewe maelezo ya kisayansi ila hamtaki watu kuhoji kisa chanjo imetengenezwa na mzungu kwahiyo mtu mweusi hana nafasi ya kuhoji.
 
Waanze kupima na kutoa takwimu sasa.
Kisiwa ni kidogo hicho, wakicheka na nyani watakuja kuacha historia ya majengo tu hapo.


Dini inatufundisha kusema ukweli. Na mtu mkweli sikuzote hupendwa na kubarikiwa na MUNGU.
Corona imeanza toka mwaka jana kama kuisha wangekuwa washaisha toka hiyo mwaka jana.
 
Rais wa Zanzibar leo ametangaza rasmi kuwa Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa korona na ametaka taadhari za lazima sasa zichukuliwe.

Kauli hii ni ya kwanza kutolewa na kiongozi wa juu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia ni tofauti kabisa na kauli zinazotolewa na Rais Magufuli.

======

Rais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi akiwa katika ibada ya Ijumaa katika msikiti wa Mfereji wa Wima amedokeza kuhusu kuwapo kwa gonjwa la Corona katika Kisiwa hicho.

Akiongea na Waumini baada ya swala ya ijumaa Dkt. Mwinyi amesema "Ndugu zangu tumekabiliwa na tatizo hili la ugonjwa wa Covid ulioathiri afya lakini pia umeathiri uchumi wa nchi yetu. Lakini Alhamudulillah muelekeo unaonekana ugonjwa huu unapungua na Insha Allah kwa dua zetu sote utakwisha na In Shaa Allah uchumi wetu utarudi katika hali ya kawaida na utaongezeka zaidi."

Zaidi ya hayo, Dkt. Mwinyi ameshukuru Viongozi wa msikiti kumpa nafasi ya kuongea
Ila hajatilia mkazo watu wajikinge vipi. Hapo kaminya.
 
Rais wa Zanzibar leo ametangaza rasmi kuwa Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa korona na ametaka taadhari za lazima sasa zichukuliwe.

Kauli hii ni ya kwanza kutolewa na kiongozi wa juu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia ni tofauti kabisa na kauli zinazotolewa na Rais Magufuli.

======

Rais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi akiwa katika ibada ya Ijumaa katika msikiti wa Mfereji wa Wima amedokeza kuhusu kuwapo kwa gonjwa la Corona katika Kisiwa hicho.

Akiongea na Waumini baada ya swala ya ijumaa Dkt. Mwinyi amesema "Ndugu zangu tumekabiliwa na tatizo hili la ugonjwa wa Covid ulioathiri afya lakini pia umeathiri uchumi wa nchi yetu. Lakini Alhamudulillah muelekeo unaonekana ugonjwa huu unapungua na Insha Allah kwa dua zetu sote utakwisha na In Shaa Allah uchumi wetu utarudi katika hali ya kawaida na utaongezeka zaidi."

Zaidi ya hayo, Dkt. Mwinyi ameshukuru Viongozi wa msikiti kumpa nafasi ya kuongea
Katika siasa za Tanzania ya sasa ataambiwa athibitishe ama akanushe kauli.Atakuja na mbwembwe kwamba amenukuliwa vibaya.
 
Rais wa Zanzibar leo ametangaza rasmi kuwa Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa korona na ametaka taadhari za lazima sasa zichukuliwe.

Kauli hii ni ya kwanza kutolewa na kiongozi wa juu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia ni tofauti kabisa na kauli zinazotolewa na Rais Magufuli.

======

Rais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi akiwa katika ibada ya Ijumaa katika msikiti wa Mfereji wa Wima amedokeza kuhusu kuwapo kwa gonjwa la Corona katika Kisiwa hicho.

Akiongea na Waumini baada ya swala ya ijumaa Dkt. Mwinyi amesema "Ndugu zangu tumekabiliwa na tatizo hili la ugonjwa wa Covid ulioathiri afya lakini pia umeathiri uchumi wa nchi yetu. Lakini Alhamudulillah muelekeo unaonekana ugonjwa huu unapungua na Insha Allah kwa dua zetu sote utakwisha na In Shaa Allah uchumi wetu utarudi katika hali ya kawaida na utaongezeka zaidi."

Zaidi ya hayo, Dkt. Mwinyi ameshukuru Viongozi wa msikiti kumpa nafasi ya kuongea
Vibwengu wa jiwe huwaoni hapa
 
Sasa kama sayansi ni sayansi kwa nini ukataze watu kuhoji?watu wanahoji wanataka wapewe maelezo ya kisayansi ila hamtaki watu kuhoji kisa chanjo imetengenezwa na mzungu kwahiyo mtu mweusi hana nafasi ya kuhoji.

Kelele zote unazopiga aina maana wewe ni mwanasayansi? Sayansi ni tafiti ndio maana nakwambia sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala waafrika etc na pia tafiti wapigana na tafiti uwezi kusema mwili wako una umwa wakati ujafanyia tafiti!!

Sayansi sio nadharia ni vitendo!!!

Yani unaweza kukuta wewe umefika chuo kikuu kabisa lakini uwezo mdogo wa kutafakari! Natudia tena achana na mwanasiasa wa ambao ndio viongozi wetu ni wajinga sana.

Labda nikupe mfano halisi “ Tunapewa msaada wa dawa za HIV toka miaka na miaka lakini umewahi kujiuliza kuna watafiti hapa Tanzania wameshindwa kugundu hii dawa ina identity gani na sisi tutengeneze za kwetu? Lakini kila siku unalalamika kama mtoto.

Haya kuna vyuo vikuu kibao hapa Nchini lakini umewahi kujiuliza wameshindwa hivi kusafisha maji ya chumvi kunayotumia kila siku yawe hayana chumvi?

Jambo unalopaswa kuhoji ni serikali yako sio wazungu,wenzetu wapo kivitendo. Nadharia baki nayo na viongozi wako hapa nchini.

Wazungu wapige kwa vitendo ingia maabara fanya tafiti toka tuambie sio kuhoji kwa mfano ya historia hapa!

Na mwisho tatizo kubwa ambalo linakusumbua na kushindwa kuelewa ni mfumo mbovu wa nchi hii

Nadharia > Vitendo hili ndio kosa.
 
Ebu soma hayo malengo ya NEW WORLD ORDER
Kauli zote nilizokupa bado ujaelewa!! Hayo yote watu wamezama maabara na pia sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala waafrika kwanini tunapenda kufikiria kwa nadharia?

Wenzetu wapo mwenye vitendo kwa muda sasa,tunashindwa nini kuwa huko!! Mpaka sasa hakuna nchi ya afrika iliyoifikia kwa vifo kama china na marekani!!

Hii point yako ni ujinga mtupu pili sayansi ya ukimwi kwangu mimi naona ipo kimantiki sana ,maana hapa tu kuna ukimwi lakini watu ni malaya kinoma sasa assume kungekuwa hakuna ugonjwa huo? Nadhani Mungu angetupa tukio lingine kama la sodoma.

“Uzazi wa mpango” Jiulize wanaume wangapi wakiwapa mimba wanakimbia? Na pia kuzaa sana au kidogo ni mbinu za wazungu hapana hii ni hekima kukata tamaa,

Ukitaka kujua hii jaribu kupita mahospitalini uone watoto wangapi wanakuwa na baba na mama? Wengi Baba wa watoto wamekimbia then mwanamke huyo hawezi kukubali kuzaa tena kwa style hiyo.

Mwisho nimetoka tu mwenye mada lakini sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala waafrika etc vitu hivi vimefanyika maabara.

Acha kauli za wanasiasa tutakufa bure wenzetu wanajua sehemu zenye matibabu bora!!
Screenshot_20210305-110806.jpg
 
Mkuu umeandika haraka kama upo UCHI. Pili Mwinyi sio kiongozi wa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, tatu inabid umtafute Honi Sigara ujifunze kiswahili kidogo.
Ujumbe umeeleweka lakini?
 
Ebu soma hayo malengo ya NEW WORLD ORDERView attachment 1718548

Curriculum hii ni ya wazungu na sio sayansi ndugu!! Maana naona unatoka nje ya key [emoji360] umelalamika unaonewa na wazungu nakwambia ingia maabara na hao uliyowapa kura yako 2020 ili mtoke na solution, umeanza kuweka mabandiko.

Achana na mwanasiasa wanajua sehemu yenye matibabu bora.

Sayansi ni vitendo sio nadharia.
 
Kwa hyo wazungu na sayansi ni tofauti?
Curriculum hii ni ya wazungu na sio sayansi ndugu!! Maana naona unatoka nje ya key [emoji360] umelalamika unaonewa na wazungu nakwambia ingia maabara na hao uliyowapa kura yako 2020 ili mtoke na solution, umeanza kuweka mabandiko.

Achana na mwanasiasa wanajua sehemu yenye matibabu bora.

Sayansi ni vitendo sio nadharia.
 
Mkuu umeandika haraka kama upo UCHI. Pili Mwinyi sio kiongozi wa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, tatu inabid umtafute Honi Sigara ujifunze kiswahili kidogo.
Na wewe naona umeandika ugoro kabisa, sasa kwa nini Mwinye hasiwe mmoja wapo wa kiongozi mkuu katika Jamhuri ya ya Muungano wa Tanzania?? Kwani Zanzibar siyo sehemu ya Jamhuri??
 
Kwa hyo wazungu na sayansi ni tofauti?

Sema wew mwalimu wako wa historia ni shallow kinoma!

Sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala waafrika etc wala wazungu na sayansi sio tofauti? Ni tafiti ndizo tunaosema wazungu ni watafiti kwasababu vingi tunatumia kutoka kwao

Mifano ni mingi sana

Ingia fanya tafiti toka tuambie, hapo utakuwa umewapiga wazungu na tafiti zao ndio maana cha kwetu wakikisikia ni lazima wafanye tafiti.

Achana na mwanasiasa wamearibu nchi kwa sababu ya elimu ya nadharia na hii ni kutokana na nature ya wananchi kupena nadharia sana kuliko vitendo.

Waelimishe watanzania kuwa dunia inaendeshwa kwa vitendo.
 
Sema wew mwalimu wako wa historia ni shallow kinoma!

Sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala waafrika etc wala wazungu na sayansi sio tofauti? Ni tafiti ndizo tunaosema wazungu ni watafiti kwasababu vingi tunatumia kutoka kwao

Mifano ni mingi sana

Ingia fanya tafiti toka tuambie, hapo utakuwa umewapiga wazungu na tafiti zao ndio maana cha kwetu wakikisikia ni lazima wafanye tafiti.

Achana na mwanasiasa wamearibu nchi kwa sababu ya elimu ya nadharia na hii ni kutokana na nature ya wananchi kupena nadharia sana kuliko vitendo.

Waelimishe watanzania kuwa dunia inaendeshwa kwa vitendo.
Rudi tena darasani
 
Kelele zote unazopiga aina maana wewe ni mwanasayansi? Sayansi ni tafiti ndio maana nakwambia sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala waafrika etc na pia tafiti wapigana na tafiti uwezi kusema mwili wako una umwa wakati ujafanyia tafiti!!

Sayansi sio nadharia ni vitendo!!!

Yani unaweza kukuta wewe umefika chuo kikuu kabisa lakini uwezo mdogo wa kutafakari! Natudia tena achana na mwanasiasa wa ambao ndio viongozi wetu ni wajinga sana.

Labda nikupe mfano halisi “ Tunapewa msaada wa dawa za HIV toka miaka na miaka lakini umewahi kujiuliza kuna watafiti hapa Tanzania wameshindwa kugundu hii dawa ina identity gani na sisi tutengeneze za kwetu? Lakini kila siku unalalamika kama mtoto.

Haya kuna vyuo vikuu kibao hapa Nchini lakini umewahi kujiuliza wameshindwa hivi kusafisha maji ya chumvi kunayotumia kila siku yawe hayana chumvi?

Jambo unalopaswa kuhoji ni serikali yako sio wazungu,wenzetu wapo kivitendo. Nadharia baki nayo na viongozi wako hapa nchini.

Wazungu wapige kwa vitendo ingia maabara fanya tafiti toka tuambie sio kuhoji kwa mfano ya historia hapa!

Na mwisho tatizo kubwa ambalo linakusumbua na kushindwa kuelewa ni mfumo mbovu wa nchi hii

Nadharia > Vitendo hili ndio kosa.
Maneno yote hayo ni kuzuia watu wasihoji? imetumika sayansi kutengeneza hiyo chanjo na watu wanahoji wanataka maelezo ya kisayansi sasa tatizo liko wapi hapo?

Yani wewe wa ajabu sana et hutaki watu wahoji.
 
Rais wa Zanzibar leo ametangaza rasmi kuwa Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa korona na ametaka taadhari za lazima sasa zichukuliwe.

Kauli hii ni ya kwanza kutolewa na kiongozi wa juu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia ni tofauti kabisa na kauli zinazotolewa na Rais Magufuli.

======

Rais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi akiwa katika ibada ya Ijumaa katika msikiti wa Mfereji wa Wima amedokeza kuhusu kuwapo kwa gonjwa la Corona katika Kisiwa hicho.

Akiongea na Waumini baada ya swala ya ijumaa Dkt. Mwinyi amesema "Ndugu zangu tumekabiliwa na tatizo hili la ugonjwa wa Covid ulioathiri afya lakini pia umeathiri uchumi wa nchi yetu. Lakini Alhamudulillah muelekeo unaonekana ugonjwa huu unapungua na Insha Allah kwa dua zetu sote utakwisha na In Shaa Allah uchumi wetu utarudi katika hali ya kawaida na utaongezeka zaidi."

Zaidi ya hayo, Dkt. Mwinyi ameshukuru Viongozi wa msikiti kumpa nafasi ya kuongea
Huyu angefaa kuwa raisi wa awamu ya 6
 
Back
Top Bottom