mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Tulia.
Umejiuliza kwanini vijana wengi wa sasa wana matatizo ya UZAZI?
Umejiuliza kwanini vijana wengi wa sasa wana matatizo ya UZAZI?
acha uzwazwa yaani hebu Fikilia hadi sasa tunatumia chanjo ngapi kutoka kwa mabeberu? Hivi Kama lengo lingekua hilo Kwann wakutumie chanjo ambazo tayari tumezizoea hadi wasubili hii?
akili za kushikiwa hizo