mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
acha uzwazwa yaani hebu Fikilia hadi sasa tunatumia chanjo ngapi kutoka kwa mabeberu? Hivi Kama lengo lingekua hilo Kwann wakutumie chanjo ambazo tayari tumezizoea hadi wasubili hii?
akili za kushikiwa hizo
Hao wengi unaosema walivaa barakoa ni akina nani?kama unazungumzia wananchi basi utakuwa hujui unachokiongea.Wengi wao walivaa barakoa tulifatilia na ambao hawakuvaa ni wale manyumbu ambao wao hadi wasikie mkuu amesema wavae ndo watavaa hata kama wanaona kabisa kuna vifo vingi.
Kaa na dhana yako [emoji107][emoji120]Ulishawahi kujiuliza kwanini VIJANA WENGI WANA wa miaka hii wana MATATIZO YA UZAZI?
Ulishawahi kujiuliza kwanini VIJANA WENGI WANA wa miaka hii wana MATATIZO YA UZAZI?
Kaa na dhana yako [emoji107][emoji120]
Kenya imepiga marufuku biashara ya mahindi kutoka nje kwa madai kuwa mahindi ya TZ na Uganda si salama, na kwa miaka mingi yameathiri afya za Wakenya.
Ujinga yupo juu ya mimbari anahutubia ujinga wake. Amezungukwa na waandishi na vipaza sauti vyao, Polisi na maguruneti yao, na mbwa hii ni kwasababu
Hekima anakata tamaa, Ujinga anaendelea kutawala mimbari yake.
Sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala mchina,waafrika etc
Wazungu wakitaka kutuuwa hata dakika hatufiki tusitake,hapo ulipo unatumia simu yenye ubunifu wao, Technology unayotumia kutoa hela kwenye mabenki ni ya kwao! etc
Haya mawazo unayotoa sasa walitolewa miaka ya nyuma wakiwa mababu zetu, cha msingi kila kitu kipo waambie wafanya sayansi walete chanjo yao narudi sayansi ni sayansi tu.
Point ni kupunguza watu kama ingekuwa issue ni kuuwa tu basi wangeshapiga mabomu kitambo tu,kwenye kupunguza watu ndio kuna kupunguza kuzaliana na kufa kwa maradhi n.kKenya imepiga marufuku biashara ya mahindi kutoka nje kwa madai kuwa mahindi ya TZ na Uganda si salama, na kwa miaka mingi yameathiri afya za Wakenya.
Ujinga yupo juu ya mimbari anahutubia ujinga wake. Amezungukwa na waandishi na vipaza sauti vyao, Polisi na maguruneti yao, na mbwa hii ni kwasababu
Hekima anakata tamaa, Ujinga anaendelea kutawala mimbari yake.
Sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala mchina,waafrika etc
Wazungu wakitaka kutuuwa hata dakika hatufiki tusitake,hapo ulipo unatumia simu yenye ubunifu wao, Technology unayotumia kutoa hela kwenye mabenki ni ya kwao! etc
Haya mawazo unayotoa sasa walitolewa miaka ya nyuma wakiwa mababu zetu, cha msingi kila kitu kipo waambie wafanya sayansi walete chanjo yao narudi sayansi ni sayansi tu.
Unaijua NEW WORLD ORDER. NA MALENGO YAKE?.
Moja ya lengo lao ni kuwa watu billion 1 hapa duniani.
Unadhani huo mpango utakamilika vipi bila kuleta magonjwa na chanjo zao kuzuia watu wasizaliane?.
Vijana wengi sana wa siku hizi wana matatizo ya UZAZI.hizo chanjo,mbolea za viwandani,vyakula vya kisasa kama kuku wa broiler n.k hivi vitu ndo chanzo.
Na huu ni mpango wanajua wanachokifanya.
Kama MTU haumwi unampa chanjo ya nini?
Ile sawa uliyompa inaenda kufanya kazi gani?View attachment 1718421
mzee hiyo ni sababu ya life style tuliyonayo Sasa. kwa taarifa yako hata ktk nchi ya italy kuna eneo ambalo serikali ilianza kutoa zawadi kwa wazazi ili kuongeza uwezo wa kuzalianaTulia.
Umejiuliza kwanini vijana wengi wa sasa wana matatizo ya UZAZI?
Point ni kupunguza watu kama ingekuwa issue ni kuuwa tu basi wangeshapiga mabomu kitambo tu,kwenye kupunguza watu ndio kuna kupunguza kuzaliana na kufa kwa maradhi n.k
Dr Mwinyi ni msomi wa Afya ya Binadamu toka Chuo Kikuu cha Afya tofauti na waganga wa kienyeji wa Bara wenye PhD za kuokoteza mradi wajiite Dr wanapotembeza tunguli ambazo sasa zimefika mpaka Mahospitalini. Awamu hii Bara tutapuliziwa mengi!Rais wa Zanzibar leo ametangaza rasmi kuwa Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa korona na ametaka taadhari za lazima sasa zichukuliwe.
Kauli hii ni ya kwanza kutolewa na kiongozi wa juu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia ni tofauti kabisa na kauli zinazotolewa na Rais Magufuli.
======
Rais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi akiwa katika ibada ya Ijumaa katika msikiti wa Mfereji wa Wima amedokeza kuhusu kuwapo kwa gonjwa la Corona katika Kisiwa hicho.
Akiongea na Waumini baada ya swala ya ijumaa Dkt. Mwinyi amesema "Ndugu zangu tumekabiliwa na tatizo hili la ugonjwa wa Covid ulioathiri afya lakini pia umeathiri uchumi wa nchi yetu. Lakini Alhamudulillah muelekeo unaonekana ugonjwa huu unapungua na Insha Allah kwa dua zetu sote utakwisha na In Shaa Allah uchumi wetu utarudi katika hali ya kawaida na utaongezeka zaidi."
Zaidi ya hayo, Dkt. Mwinyi ameshukuru Viongozi wa msikiti kumpa nafasi ya kuongea
Acha uwongo Kwanini mnakua na akili duni kiasi hicho? Chanjo zimeanza hata kabla ya uhuru.Wanafanya makosa Sana.
Mimi nakupa HOJA moja.
Tafuta mtoto aliyezaliwa mwaka 1990 na kuendelea ambaye kwa sasa atakuwa na miaka 31 miaka hyo ndo mambo hayo ya chanjo yalianza anza Alafu muulize ana watoto wangapi?.
Alafu kama wewe ni MTU uliyezaliwa miaka ya 70 au 80.jiulize kipindi hicho kabla chanjo hazijaanza kijana wa miaka 30 alikuwa na watoto wangapi?
Acha uwongo Kwanini mnakua na akili duni kiasi hicho? Chanjo zimeanza hata kabla ya uhuru.
we unajua ugonjwa wa unyafunzi? Unajua ugonjwa wa polio? Influenza?? Kama hujui kitu kaa kimya
mzee hiyo ni sababu ya life style tuliyonayo Sasa. kwa taarifa yako hata ktk nchi ya italy kuna eneo ambalo serikali ilianza kutoa zawadi kwa wazazi ili kuongeza uwezo wa kuzaliana
Leo mtu mweusi huku afrika akitilia mashaka hizo chanjo akitaka ufafanuzi wa kisayansi ataonekana analeta fujo kisa wenyewe wazungu huko wamepitisha kwamba ni salama.Hekima anakata tamaa, Ujinga anaendelea kutawala mimbari yake.
Hizi ni point ambazo tumezisoma kwenye historia ya nchi za wenzetu, wenzetu wanetoka huko muda mrefu sana wapo kwenye Technology .
Sayansi ni sayansi tu hakuna sayansi ya mzungu wala waafrika maabara zipo tunashindwa kufanya kama wanavyofanya wao? Kama hoja ni hiyo!!
Kwahiyo usomi wake wa afya ndio unamwambia kuwa sasa ndio kuna corona ila huko nyuma corona haikuwepo? Hivi tokea yeye anaingia madarakani kulikuwa hakuna corona?Dr Mwinyi ni msomi wa Afya ya Binadamu toka Chuo Kikuu cha Afya tofauti na waganga wa kienyeji wa Bara wenye PhD za kuokoteza mradi wajiite Dr wanapotembeza tunguli ambazo sasa zimefika mpaka Mahospitalini. Awamu hii Bara tutapuliziwa mengi!
Leo mtu mweusi huku afrika akitilia mashaka hizo chanjo akitaka ufafanuzi wa kisayansi ataonekana analeta fujo kisa wenyewe wazungu huko wamepitisha kwamba ni salama.
Kutokuhoji kwa hizo zengine si sababu ya kufanya tusihoji na hizi,hili ni suala la kisayansi si imani hivyo usitake kusema kwamba tusihoji hizi chanjo za haraka haraka zisizo na majaribio ya kutosha kisa tu kuna chanjo zengine tumezikubali.Hizo Chanjo zingine hilizokuwepo zilipitaje?
Nataka kurudia tena!! Sayansi ni sayansi hakuna sayansi ya mzungu wala waafrika etc kama vyote hivo tunavipokea wazungu wakulazimishi, hapa kuwa mwasayansi wafanye utafiti walete kuku wasio na shida katika mwili wa mwanadamu!!
Chanjo zote zinazotoka kwao kwa miaka mingi hivi sasa wangezito tulete za kwetu. Neno NEW WORLD ORDER sio la leo wala jana kama kutuuwa wangefanye muda tu.
Kauli hizi uwezi kuzikuta ujerumani, china etc kwasababu wana wanasayansi kwao pia tuache maneno maabara ya taifa inafanya kazi gani?
Maana kila siku ni wazungu tu,