Putin aliwaeleza, yoyote atakayeingilia SMO yake na Ukraine atashika adabu hawakumwelewa.Na France wanakiona cha mtema kuni
Ufaransa wameibia sana Francophone Countries, kwa hiyo hizo ndege mbili is nothing compared to what they have looted.So ndege hizo ni mali halali kabisa ya Burkina Faso,kwa hiyo wazi-retain.Baada ya shirika ka ndege la Ufaransa kusitisha safari zake za Burkina Faso na Mali Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini Ila marubani waruhusiwe kuondoka hadi pale ambapo watajiridhisha Kama hakuna rasilimali ufaransa wamewai beba nchini humo bila usawa
View attachment 2719864
Ndege ya URUSI imetua kwenye uwanja uwo uwo unaosema umeshikiliwa na France na kingine wamepewa deadline zimebaki siku 5 wawe wameshaondokaAnazuiaje wakati Ufaransa ndo wanashikilia huo uwanja?
Comment yako ni kama ni Mfaransa hivii.I believe you are in the payrol of the NWO psycopaths and maniacs.Ni ajabu kwamba hata huyu👇 Mzungu anaionea huruma Africa kwa jinsi ambavyo Wazungu wanatufanyia. .Have a listen.Shame on you.Na France wanakiona cha mtema kuni
Amethubutu tena kwa jeuri inayohitajika kwa kila mwafricaUjasiri na uthubutu wa aina hii, unahitajika kwa maraisi wote wa Africa
Hata kama akifariki huyu kijana iwe kifo cha kawaida au la,km nitakuwa hai nita fanya utalii kaburini kwake.Baada ya shirika ka ndege la Ufaransa kusitisha safari zake za Burkina Faso na Mali Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini Ila marubani waruhusiwe kuondoka hadi pale ambapo watajiridhisha Kama hakuna rasilimali ufaransa wamewai beba nchini humo bila usawa
View attachment 2719864
Huyu atakipata anachokitafuta
Huyu wa kwetu alikuwa mwizi km hao wa makinikia.Ni suala la muda tu.
Alijaribi Jiwe kuhusu makinikia..
Hizo fitna alizokutana nazo, bila shaka anapoongoza malaika huwa haachi kuwasimulia
Na ndio maana wanaendelea sababu wanajua akiondoka mmoja kutokana uwepo wa wapuuzi wa kuweza kuwanunua mwingine atatokea baada ya miaka kadhaa...Ni suala la muda tu.
Alijaribi Jiwe kuhusu makinikia..
Hizo fitna alizokutana nazo, bila shaka anapoongoza malaika huwa haachi kuwasimulia
Alisikika mwana'UPINDE' akisema!Huyu atakipata anachokitafuta
Uchokozi huuBaada ya shirika ka ndege la Ufaransa kusitisha safari zake za Burkina Faso na Mali Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini Ila marubani waruhusiwe kuondoka hadi pale ambapo watajiridhisha Kama hakuna rasilimali ufaransa wamewai beba nchini humo bila usawa
View attachment 2719864
Mwanaume wa kweli huyoHuyu atakipata anachokitafuta
But, he has, at least done, something kama mkuu wa familia.Ni suala la muda tu.
Alijaribi Jiwe kuhusu makinikia..
Hizo fitna alizokutana nazo, bila shaka anapoongoza malaika huwa haachi kuwasimulia
Choose your battles wiselyBut at least he did something kama mkuu wa familia.
Uoga siku zote huzaa unafiki, na unafiki kujipendekezaWala hana muda huyu
But there are some who chose none, and rather opt to run cowardly.Choose your battles wisely
Ujasiri na uthubutu wa aina hii, unahitajika kwa maraisi wote wa Africa