Tetesi: Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za Ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini

Tetesi: Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za Ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini

Bora atandikwe ila he had balls. Wewe ni shoga kukubali kushindwa kabla hujapambana. Watanzania wengi ni wanafiki sana na hii ni matokeo ya uoga uoga wa kishamba. Unashindwa kusimamia kichwa chako matokeo yake unapelekwa pelekwa kama gari bovu.
1. Sijapenda neno shoga, next time use gentleman's language. You are among the people I respect most on JF!
2. Well and fine, onja sumu ya cyanide kwa vile huwezi kutishiwa kabla ya kupambana! Taleban walionja sumu ujue na matokeo yake unayajua
3. Why not use diplomacy to resolve issues
 
1. Sijapenda neno shoga, next time use gentleman's language. You are among the people I respect most on JF!
2. Well and fine, onja sumu ya cyanide kwa vile huwezi kutishiwa kabla ya kupambana! Taleban walionja sumu ujue na matokeo yake unayajua
3. Why not use diplomacy to resolve issues
Shida ni kwamba you act like a fool excuse my strong words.

Kutumia diplomacy approach in African corrupt countries ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu. You will never achieve the purpose as long as walio kwenye power wananeemeka na situation iliopo. They wont allow you to win thus why we ended with a dead president.
 
Uthubutu na ujasiri ni jambo zuri lakini vilevile kufikiri kabla ya kutenda sio uoga ,,, ndio Africa tunahitaji viongozi majasiri lakini vipi pale unapokuwa jasiri lakini hauna mabavu ya kujitetea? Mi nadhani africa inabidi tuige East , tufanye mapinduzi kila nyanja muhimu , ikiwemo Elimu(hapa sio bora elimu , bali elimu bora kabisa kwa kila muafrica), kilimo, Afya, Jeshi, Technolojia(hii ni zao la elimu bora) , na mengine mengi yanayotuhusu, tofauti na hapo hawa mabeberu wa magharibi kupambana nao haitokuwa vyepesi kiiivoo,,, OVER OVER
 
Ila uyu mwamba:

1000113236.jpg
1000113237.jpg
1000113238.jpg
 
Shida ni kwamba you act like a fool excuse my strong words.

Kutumia diplomacy approach in African corrupt countries ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu. You will never achieve the purpose as long as walio kwenye power wananeemeka na situation iliopo. They wont allow you to win thus why we ended with a dead president.
shida ni kuwa You act like a stupid blood bastard boy! The best way to deal with bastard boys is to block them!
 
Baada ya shirika ka ndege la Ufaransa kusitisha safari zake za Burkina Faso na Mali Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini Ila marubani waruhusiwe kuondoka hadi pale ambapo watajiridhisha Kama hakuna rasilimali ufaransa wamewai beba nchini humo bila usawa


View attachment 2719864
Huyu jamaa hajawahi kumpa mtu mkono zaidi ya Putin...amejizatiti
images.jpeg-26.jpg
 
Comment yako ni kama ni Mfaransa hivii.I believe you are in the payrol of the NWO psycopaths and maniacs.Ni ajabu kwamba hata huyu👇 Mzungu anaionea huruma Africa kwa jinsi ambavyo Wazungu wanatufanyia. .Have a listen.Shame on you.
Hivi ni mimi tu peke yangu nikiangalia video kupitia browser nakua sisikii sauti au?
 
Anajazwa upepo na gas kama kina Slaa na Mwambukusi harafu waliowajaza wako kuchat jf [emoji1787][emoji1787]

Hajifunzi Kwa historia ya Dunia,hapo anajikuta yeye ni Kim au Putin [emoji2957][emoji2957]
Hawana cha kumfanya uyo jamaa kwa support aliyokuwa nayo nyuma yake ivi unafikiri asingekuwa na backup inayompa jeuri angethubutu kufanya ivyo?
 
Huyu jamaa hajawahi kumpa mtu mkono zaidi ya Putin...amejizatiti
View attachment 2720508
Huyo huyo Putin atammaliza mark my words this soldier has more muscle than brain and fear he will be an easy target for Russia every one has a price and especially they don’t respect Africans
 
Mibeberu inachemka kwa ghadhabu saa hizi. Ila cha ajabu sasa atakaekuja kumuondoa atakuwa ni mtu mweusi ambae atapewa bakhshish kidogo na mabeberu.

Adui wa jitihada za mtu mweusi ni mtu mweusi.
 
Mibeberu inachemka kwa ghadhabu saa hizi. Ila cha ajabu sasa atakaekuja kumuondoa atakuwa ni mtu mweusi ambae atapewa bakhshish kidogo na mabeberu.

Adui wa jitihada za mtu mweusi ni mtu mweusi.
This time Putin ameamua uyo jamaa labda aachie mwenyewe madaraka WAGNER PMC wapo pale kuhusu Intelligence,TECHNOLOGY na mengineyo Russia atashugulikia
 
Habari zilizofika izi punde ni kuwa France ameomba yaishe na yupo tayari kukaa chini na serikali ya kijeshi ya NIGER wapo tayari kuingia mikataba mipya itakayokuwa na faida kwa pande zote...
 
Back
Top Bottom