Tetesi: Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za Ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini

Tetesi: Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za Ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini

Afrika tatizo ni elimu tu, mbona canada, USA, India, Brazil, etc zilitaliwa na leo the leading in economic in the world.

Asian countries zilikuwa makoloni but leo wamepiga hatua kuliko Afrika, nchi za weusi ni ujinga tu ukosefu wa elimu.

Kama ni kweli, anajisumbua bure labda anajiandaa kuwa rais wa maisha, hawezi chochote kama Gaddafi alishindwa sembuse huyu ambaye hata elimu hana.
Mkuu,

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Mibeberu inachemka kwa ghadhabu saa hizi. Ila cha ajabu sasa atakaekuja kumuondoa atakuwa ni mtu mweusi ambae atapewa bakhshish kidogo na mabeberu.

Adui wa jitihada za mtu mweusi ni mtu mweusi.
Ngozi nyeusi ina laana ya milele.
 
Air FRANCE [emoji632] walikuwa wamesimamisha safari zao za ndege kwenda Burkina Faso [emoji1059] kwa siku 5. Sasa wanataka KURUDI, Burkina Faso imekataa. Uyu kijana anawachezesha France vile anavyotaka
 
Mwamba uyu apa
1692341963668.jpg
 
Habari zilizofika izi punde ni kuwa France ameomba yaishe na yupo tayari kukaa chini na serikali ya kijeshi ya NIGER wapo tayari kuingia mikataba mipya itakayokuwa na faida kwa pande zote...
Unajua,viongozi wa nchi za magharibi ni wajinga sana.Yaani mnawaibia watu for all that long,halafu kirahisi rahisi tu mnasema yaishe!No that is not the way.

Walipie kwanza kila kitu walichoiba since 1960 in monetary terms walipo sign hiyo mikataba ya kipuuzi na hovyo,halafu walipe reparations to Nigers because of psychological, physical torture and shame they inflicted on them.I guess they should also pay reparations to families who have lost loved ones because of poverty caused by the theft.

Ufaransa wakishafanya hivyo,ndio wazungumzie kuingia mikataba mipya.However because of history,sidhani kama Ufaransa ni reliable partners,watafute partners wengine kama Russia or China.The West ni wezi na matapeli tu,they are not reliable partners,waachane nao kabisa.
 
Baada ya shirika ka ndege la Ufaransa kusitisha safari zake za Burkina Faso na Mali Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini Ila marubani waruhusiwe kuondoka hadi pale ambapo watajiridhisha Kama hakuna rasilimali ufaransa wamewai beba nchini humo bila usawa


View attachment 2719864
Sasa naelewa waliotaka igombea urais angalau uwe na 42..
 
Baada ya shirika ka ndege la Ufaransa kusitisha safari zake za Burkina Faso na Mali Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini Ila marubani waruhusiwe kuondoka hadi pale ambapo watajiridhisha Kama hakuna rasilimali ufaransa wamewai beba nchini humo bila usawa


View attachment 2719864
Mambo ya makenikia hayo..
 
Unajua,viongozi wa nchi za magharibi ni wajinga sana.Yaani mnawaibia watu for all that long,halafu kirahisi rahisi tu mnasema yaishe!No that is not the way.

Walipie kwanza kila kitu walichoiba since 1960 in monetary terms walipo sign hiyo mikataba ya kipuuzi na hovyo,halafu walipe reparations to Nigers because of psychological, physical torture and shame they inflicted on them.I guess they should also pay reparations to families who have lost loved ones because of poverty caused by the theft.

Ufaransa wakishafanya hivyo,ndio wazungumzie kuingia mikataba mipya.However because of history,sidhani kama Ufaransa ni reliable partners,watafute partners wengine kama Russia or China.The West ni wezi na matapeli tu,they are not reliable partners,waachane nao kabisa.
Ufaransa bila izo nchi uchumi wake una collapse faster ndio mahana hana pa kushika zaidi ya kukomaa kwenye izo nchi
 
Ngozi nyeusi ina laana ya milele.
Nahisi ngozi nyeusi ilitengenezwa maalum kwa ajili ya viraka vya matako, kwapa, nyayo. Sasa ile extra iliyobaki ndio ikatengezwa watu. Hatma yake ndio hizi akili zetu za kikwapa kwapa.
 
Huyo huyo Putin atammaliza mark my words this soldier has more muscle than brain and fear he will be an easy target for Russia every one has a price and especially they don’t respect Africans
Just a matter of perspective...ukoloni mamboleo wa ufaransa west Africa umefikia mwisho... France imelinda mafisadi na wala rushwa ili tu kulinda maslahi yake binafsi, Jeshi lilishtuka na wananchi wameshtuka.
 
Ufaransa bila izo nchi uchumi wake una collapse faster ndio mahana hana pa kushika zaidi ya kukomaa kwenye izo nchi
Mnachosahau,Ufaransa ilishaendelea kitambo kabla hata ya kukolonise hizo nchi.Ni sema tu wanaendelea kutumia any chance available as wenzetu wanawaza vizazi na vizazi vijavyo.
 
Back
Top Bottom