Very soonHuyu atakipata anachokitafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very soonHuyu atakipata anachokitafuta
Kuna watoa rushwa wazuri Duniani kama DP world? Usiniulize waliokula rushwa zao hapa nchini ni akina nani?Waoga na wasiokuwa na umoja na wala rushwa ndiyo hunyanyasika. Je unafahamu kuwa Ethiopia haijawahi kutawaliwa? Tatizo la waafrica wengi huwa ni wanafiki utashangaa happ wanatokea wanalipwa kama akina Lisu na kuaza kusema ni makosa ila rasilimali zikiibwa siyo makosa.
Una mawazo ya kipimbi sana, nyinyi ndio utakuwa mnamshauri Samia kukopa bilion 70Huyu atakipata anachokitafuta
Hapa unadhihirisha ulivyo dhaifu kutetea uhuru wako. Hapo kuna uwezekano wa 90% mmarekani akikwambia inama nikukaze, utainama chapu chapu.Ni suala la muda tu.
Alijaribu Jiwe kuhusu makinikia..
Hizo fitna alizokutana nazo, bila shaka anapoongoza malaika huwa haachi kuwasimulia
Nyinyi mnaowaza kujikomba na umoja wa Ulaya ndio mnaofikiri sawasawa ?Hiyo sio njia bora, huwezi kupita njia unayojua fika haikufikishi ilimradi uonekane nawe unatembea.
Huu ni ulimwengu wa kucheza very smart na sio huo upumbavu kama wa huyo Mjinga na Putin.
Zaidi anajiandaa kuwatesa raia kwa kiwango cha juu.
Waafrika huwa hatufikiri sawasawa
KabsaHuyu atakipata anachokitafuta
mrusi anamtumia huyo kuipiga ulayaHuyu atakipata anachokitafuta
kiukwel ni makosa hizo sio ndege za serikali ya ufaransa ila ndege za raia wa ufaransa , walioibia serikali za afrika walikuwa serikali ya ufaransaWaoga na wasiokuwa na umoja na wala rushwa ndiyo hunyanyasika. Je unafahamu kuwa Ethiopia haijawahi kutawaliwa? Tatizo la waafrica wengi huwa ni wanafiki utashangaa happ wanatokea wanalipwa kama akina Lisu na kuaza kusema ni makosa ila rasilimali zikiibwa siyo makosa.
Nyie ndio waafrika wa kuwatandika risasi hamuwezi kusaidia liberation of Afrika from neocolonialist.exactly, atatandikwa aondke kwenye madaraka. Mpuuzi huwezi kupambana na ufaransa, atakunyonyoa
Nenda umsaidie ndege zisiondokeNyie ndio waafrika wa kuwatandika risasi hamuwezi kusaidia liberation of Afrika from neocolonialist.
Lissu akutie mimba utulie.Waoga na wasiokuwa na umoja na wala rushwa ndiyo hunyanyasika. Je unafahamu kuwa Ethiopia haijawahi kutawaliwa? Tatizo la waafrica wengi huwa ni wanafiki utashangaa happ wanatokea wanalipwa kama akina Lisu na kuaza kusema ni makosa ila rasilimali zikiibwa siyo makosa.