Elections 2015 Rais Jakaya Kiwete ashitakiwa Mahakama ya Kimataifa ya ICC

Afu eti siku hizi mnampenda, chandimu bwana aliyewaloga kashakufa kitambooo!
 
Duuh kumbe walianza huu upuuzi wa ICC siku nyingi..
 
Duuh kumbe walianza huu upuuzi wa ICC siku nyingi..
Aliyetoa taarifa kuhusu kufungua mashitaka huko ICC kwa sasa ni marehemu (RIP). Alikuwa mwandishi machachari sana asiyeficha mapenzi yake na chama fulani cha upinzani. Alijitokeza kwenye mijadala mbalimbali kwenye vyombo vya habari akitumia maneno makali dhidi ya serikali iliyoko madarakani lakini Mungu akamchukua mapema.
 
Kapo na kale ka mama ka kijarua kalikoolewa na mhamiaji. Nako kalisema kamepeleka, hadi leo hatusikii kalijibiwa nini. Sijui kelele huwa zinalipa!
 
Kumbe haya mambo chadema walishayaanza zamani lakini huwa hawajifunzi. Big up Jf kwa kutunza kumbukumbu.
 
Na utashangaa bado hata hii 2020 kuna watu wazima kabisa wanaamini hizi porojo za ICC!
 
Bahati njema juzi Lisu kakili kuwa hawana sifa za kufungua mashtaka kwenye mahakama ya ICC.Alisema hawaruhusiwi kufungua kesi za aina hiyo ndiyo maana hawajashtaki Tanzania ICC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…