Hahaha apunguze speed kidogo tu
Kaanguka kikamanda, anaonekana yupo fit mzee
The sun, mabingwa wa udaku.
Ndiyo wenye hiyo video.Sun iko wapi? 😳
Ndiyo wenye hiyo video.
Hujaona?
Mungu amtie nguvu!Taarifa hii ni kwa mujibu wa Fox News
Rais huyo wa Marekani alijikwaa mara mbili na kisha kuanguka alipokuwa akipanda ndege maalumu ya Rais wa Marekani Air Force One
Tukio limetokea Ijumaa katika uwanja wa ndege wa Joint Base Andrew Marekani
Taarifa zaidi ya tukio hilo pamoja na video tafadhali tembelea ukurasa rasmi wa Fox News
Pia akamalizia kwa kusema tumepokea kuanguka kwake kwa mikono miwili.Assuming it was in Bongo Mzee wa Mbeya angeshajitokeza hadharani na kujinadi kuwa muda mfupi amezungumza na meneja wa uwanja huo wa ndege na amemuhakikishia kuwa hakuna tukio kama hilo lilitokea😀😀