Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeanza ramli..Wabongo noma sana.Haaa, muda wowote Harris anachukua nchi
Rais Joe Biden wa Marekani mwenye miaka 78 ameanguka mara tatu kwenye ngazi za ndege ya Airforce one akiwa anaelekea mji wa Atlanta. Lakini baadae aliamka na kuendelea na safari.
Rais Biden ndie Rais mzee zaidi kuwahi kuchaguliwa Marekani.
Source: THE INDEPENDENT
View attachment 1729520
Tatizo muda brother umri ule tayari anashindwa kupanda kwenyekitu kilichotengenezwa kwa uwiano sawa,lile nitatizo lakiakili sio uzeeMmeanza ramli..Wabongo noma sana.
Mara 3! ...labda sema kusudi kama sio tatizoSasa si bahati mbaya tu! Na Kujikwaa siyo kuanguka[emoji848]
Mugabe pamoja na uzee wote hajawahi teleza akipanda vitukama vile....ubongo wamtu umeruuziKuteleza siyo kuanguka...
[emoji3]Bi Kamara lazima aje ubaoni hapa hakuna namna! ni swala la siku kadhaa tu
Na huyo Nyani Ngabu aliyeweka hiyo Video angekua kashakamatwa Kwa kusambaza taarifa za uzushi na uchocheza na taharuki na jinai.Ingekuwa ni hapa kwetu hiyo habari ingefanywa siri kubwa na angeweza kutokea waziri na kusema hilo jambo sio la kweli bali ni uvumi wa maadui zetu wa kiuchumi. Kweli nchi hii ndani ya hii miaka mitano na nusu tuligeuzwa mazuzu.
Video hii hapa🤣🤣
mungu wa Tanzania hajikwai, haumwi na hawezi kufa yeye ni jiwe.Ingekuwa ni hapa kwetu hiyo habari ingefanywa siri kubwa na angeweza kutokea waziri na kusema hilo jambo sio la kweli bali ni uvumi wa maadui zetu wa kiuchumi. Kweli nchi hii ndani ya hii miaka mitano na nusu tuligeuzwa mazuzu.
msije mkasema tu kuwa kamuiga magufuli ili tanzania iongozwe na mwanamkeHuyu sijui kama ataimaliza hiyo term moja. Wamarekani wajiandae nao kuongozwa na Madam Harris
Mara tatu?Itakuwa bahati mbaya
Umeandika ujinga uliotukuka.Sasa kitu cha ajabu ni nini hapo?
Ni kawaida mtu akiwa kwenye uchovu kujikwaa
Mbaya zaidi mzee wa zaidi ya miaka 70 anajikwaa kijana anachekelea
Mbadilike
Unapanda ngazi unajikwaa mara tatu.Mchovu hasa huyo Joseph BidenKujikwaa kawaida anabidi aitawale USA vizuri bila uchawi