Rais Joe Biden awaalika Viongozi wa Africa kwa majadiliano Washington

Rais Joe Biden awaalika Viongozi wa Africa kwa majadiliano Washington

Jengo la AU limejengwa na Wachina, inasemekana wamepandikiza vifaa vya "kutrepu" watu katika mifumo yake ya mawasiliano
Hivi kwa nini yeye ndo asije kwenye mkutano wa AU huku Africa.
Yani aite nchi zote kama mbuzi huko Marekani wakati yeye anaweza kuja AU Ethiopia.
 
Ma Raisi wanaojielewa hawataenda, watatuma tu wawakilishi ila kimsingi ni mtego huo wa kuona nani anaunga mkono ushoga na nani haungi mkono ili kusudi waje kuanzisha vurugumechi na kuiba rasilimali.

Siku zote tulikuwa tunafanyiwa the easy way through bogus treaties ila kwa sasa kitakachofata ni the hard ways kwa njama za vurugu wanachukuliwa kundi la walamba asali wanalambishwa buyu vurugu zinaanza kuikataa CCM biashara inaisha.😂😂😂
 
Una uhakika hutaki Microsoft Office, Dell, HP Iphone, Coca-Cola, Pepsi, DHL, Gmail, Yahoo, Boeing, converse, Ford Ranger, Movies, mziki, Hennesy, Jack Daniel, Nike,Levi, Dockers, snickers, pringles, KFC, mieleka vya Mmarekani??
Upo sahihi, Africa hana uncle wala aunt kokote huko duniani: si mmarekani, si mchina, si mrusi. Tofauti ya mchina na mrusi na mmarekani ni namna wanavyofanya biashara zao. Mchina atakwambia straight kwamba mi siyo uncle ako wala aunt yako hapa tunafanya biashara nipe hiki nikupe hiki. Kwangu mimi mchina ni mtu simple kudeal naye na hana viajenda ajenda. Mrusi hajawekeza sana Afrika na sioni interest ya Urusi Afrika miaka ya hivi karibuni zaidi ya kuuza Kalashnikovs zake. Sasa njoo kwa marekani na washirika wake. Yaani tab tupu. Marekani anataka akutawale kuanzia unavyofikiri, unavyovaa hadi unavyokula kupitia slogans zake za uhuru, demokrasia na utawala bora. Shida ya msingi niliyonayo kwa Mmarekani ni vile vimifumo vyake vya kuitawala Afrika na dunia visivyoacha nafasi ya waafrika kujitambua na kujitegemea kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo. Ilifikia wakati kuna kizazi cha Tanzania kiliibuka na kuanza kujichukia na kuimba eti bongo bahati mbaya. Na anapotokea kiongozi wa Afrika anayejitambua atapigwa vita hadi ikiwezekana auawe kama ilivyokuwa kwa Patrice Lumumba, Sonkor, Ghadafi na hapa kwetu hivi karibuni Magufuli. Wanawapenda sana viongozi wa Afrika mazombi.
 
Ma Raisi wanaojielewa hawataenda, watatuma tu wawakilishi ila kimsingi ni mtego huo wa kuona nani anaunga mkono ushoga na nani haungi mkono ili kusudi waje kuanzisha vurugumechi na kuiba rasilimali.

Siku zote tulikuwa tunafanyiwa the easy way through bogus treaties ila kwa sasa kitakachofata ni the hard ways kwa njama za vurugu wanachukuliwa kundi la walamba asali wanalambishwa buyu vurugu zinaanza kuikataa CCM biashara inaisha.😂😂😂
"Mabwana wa mshindo nyuma"
Yeyote atakae enda huko lazima abebeshwe majukumu ya kutekeleza kwa lazima atakaporudi kwao..
 
Una uhakika hutaki Microsoft Office, Dell, HP Iphone, Coca-Cola, Pepsi, DHL, Gmail, Yahoo, Boeing, converse, Ford Ranger, Movies, mziki, Hennesy, Jack Daniel, Nike,Levi, Dockers, snickers, pringles, KFC, mieleka vya Mmarekani??
Bibi na babu yako walishawahi kunywa Cocacola? Cha kushangaza kizazi cha waafrika ambacho hakivijui hivi vitu vya wamarekani ndicho kilichokuwa na guts za kudai hata uhuru kutoka kwa mkoloni, hiki cha sasa kinachovijua hivi vitu na baadhi kuvishiriki wanaomba hata mkoloni arudi tena atutawale. RIP Magufuli.
 
Bibi na babu yako walishawahi kunywa Cocacola? Cha kushangaza kizazi cha waafrika ambacho hakivijui hivi vitu vya wamarekani ndicho kilichokuwa na guts za kudai hata uhuru kutoka kwa mkoloni, hiki cha sasa kinachovijua hivi vitu na baadhi kuvishiriki wanaomba hata mkoloni arudi tena atutawale. RIP Magufuli.
Mwamba Wala asingethubutu kwenda huko,,, ungekuta ashajiunga na BRIKS muda mrefu
 
Back
Top Bottom