Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Jengo la AU limejengwa na Wachina, inasemekana wamepandikiza vifaa vya "kutrepu" watu katika mifumo yake ya mawasiliano
Hivi kwa nini yeye ndo asije kwenye mkutano wa AU huku Africa.
Yani aite nchi zote kama mbuzi huko Marekani wakati yeye anaweza kuja AU Ethiopia.