Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Wangekuwa wanajua kulikuwa na ulazima Gani wa kusafir na treni masaa 9? Air force 1 SI ipo? Acheni porojo supapawa wa mchongo mwenyewe kaduwaa tuRussia walijua kama Biden anaenda,
Wana utaratibu na sheria ipo ya kuwalinda Diplomats mzee.
Na hazivunji kamwe kwa maslah yao wakubwa.